Je, binadamu ni chakula cha anayeitwa Mungu?

Je, binadamu ni chakula cha anayeitwa Mungu?

Killing machine

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2022
Posts
2,396
Reaction score
3,436
Habari za sikunyingi ndugu Zangu jukwaani?

Mtu akifuga mbuzi Faida yake ni nyama na maziwa

Kadhalika ng'ombe ninyama na maziwa kuku kondoo na vinginevyo navyo vina faida juu ya mfugaji wake.

Je umewai jiuliza ni ipi Faida aipatayo mfugaji wa Hawa viumbe wanao itwa bin Adam/ mimi na wewe ?

Kwa ufahamu wangu Dunia imeumbwa kwa mfumo wa chukua kitu weka kitu

Sasa hizi mvua,Juan,mwezi,mito,maziwa,pumzi,atupaye vyote hivi anapata Faida gani?

Kuku humtazama mwanadamu kama mlinzi wake na apatapo tatizo hukimbilia nyumbani kwa mlinzi wake akiamini atakuwa sarama

Lakini mlinzi huyo huyo ndiye amtafunaye kuku kwa kumchemsha au kumchoma nakuku asijue siku ya kuliwa au kuuzwa na mfugaji wake

Je, hii Ina tofauti gani na mwanadamu ambaye apatapo tatizo hukimbilia kwa mungu/mfugaji wake

Akiamini kuna ulinzi na nimlinzi wake lakini hata hivyo mungu ndiye ajuaye siku yakufa kwa mwanadamu

kama kuku asivyo ijua siku ya kuchinjwa kwake na mwanadamu

Sawa sawa nakuku akimbiliapo kwa mwadamu/mfugaji wake akiamini ni mlinzi wake lakini kumbe ndiye mlaji wake

kwanini watu wema hufa mapema Au watu wema nichakula kizuri cha muumbaji Wetu?

Sawa na vile uendapo shambani kwako ukahitaji mhindi mbichi wa kuchoma

si utahitaji mhindi mzuri,Wenye afya na kuu Acha mbaya usio na afya?

Je, hii nisawa na wabaya kudumu na wema kufa mapema?

Biblia Ina mzungumzia mungu kama Kiumbe mpenda nyama ya kuchoma"

* Rejea kuhusu Sadaka za wanyama za kuteketeza

*Rejea pia kuhusu isaka kukoswa Koswa kupigwa kisu na baba yake kwa ajiri ya kumtolea mungu sadaka

Je, Mungu ni mla nyama za wanyama na watu?

Mungu anaizungumzia Dunia kama shamba na Ana wazungumzia binadamu kama mavuno kwa kusema hivi..

Shambani mwa bwana mavuno nimengi ila watenda kazi ni wachache

Kwanini mungu aifananishe Dunia na shamba?

Na kwanini atufananishe sisi watu na mavuno? Mbona kama biblia Ina tufungua akili hivi

Binafsi namwona mungu kama shetani na shenani kama mungu

Je, Bina damu ni chakula cha anaye itwa mungu?
 
Habari za sikunyingi ndugu Zangu jukwaani?

Mtu akifuga mbuzi Faida yake ni nyama na maziwa

Kadhalika ng'ombe ninyama na maziwa kuku kondoo na vinginevyo navyo vina faida juu ya mfugaji wake.

Je umewai jiuliza ni ipi Faida aipatayo mfugaji wa Hawa viumbe wanao itwa bin Adam/ mimi na wewe ?

Kwa ufahamu wangu Dunia imeumbwa kwa mfumo wa chukua kitu weka kitu

Sasa hizi mvua,Juan,mwezi,mito,maziwa,pumzi,atupaye vyote hivi anapata Faida gani?

Kuku humtazama mwanadamu kama mlinzi wake na apatapo tatizo hukimbilia nyumbani kwa mlinzi wake akiamini atakuwa sarama

Lakini mlinzi huyo huyo ndiye amtafunaye kuku kwa kumchemsha au kumchoma nakuku asijue siku ya kuliwa au kuuzwa na mfugaji wake

Je, hii Ina tofauti gani na mwanadamu ambaye apatapo tatizo hukimbilia kwa mungu/mfugaji wake

Akiamini kuna ulinzi na nimlinzi wake lakini hata hivyo mungu ndiye ajuaye siku yakufa kwa mwanadamu

kama kuku asivyo ijua siku ya kuchinjwa kwake na mwanadamu

Sawa sawa nakuku akimbiliapo kwa mwadamu/mfugaji wake akiamini ni mlinzi wake lakini kumbe ndiye mlaji wake

kwanini watu wema hufa mapema Au watu wema nichakula kizuri cha muumbaji Wetu?

Sawa na vile uendapo shambani kwako ukahitaji mhindi mbichi wa kuchoma

si utahitaji mhindi mzuri,Wenye afya na kuu Acha mbaya usio na afya?

Je, hii nisawa na wabaya kudumu na wema kufa mapema?

Biblia Ina mzungumzia mungu kama Kiumbe mpenda nyama ya kuchoma"

* Rejea kuhusu Sadaka za wanyama za kuteketeza

*Rejea pia kuhusu isaka kukoswa Koswa kupigwa kisu na baba yake kwa ajiri ya kumtolea mungu sadaka

Je, Mungu ni mla nyama za wanyama na watu?

Mungu anaizungumzia Dunia kama shamba na Ana wazungumzia binadamu kama mavuno kwa kusema hivi..

Shambani mwa bwana mavuno nimengi ila watenda kazi ni wachache

Kwanini mungu aifananishe Dunia na shamba?

Na kwanini atufananishe sisi watu na mavuno? Mbona kama biblia Ina tufungua akili hivi

Binafsi namwona mungu kama shetani na shenani kama mungu

Je, Bina damu ni chakula cha anaye itwa mungu?
Akikuvuna unaenda kuimba pambio mchana na usiku, sifa ni kama chakula chake,.... anahitaji byproduct ya binadamu na sio binadamu ni kama ufuge chatu upate ngozi ya kutengenezea viatu
 
binadamu ni kama wale Lab Rat ( panya wa kwenye experiment za kisayansi)
 
Habari za sikunyingi ndugu Zangu jukwaani?

Mtu akifuga mbuzi Faida yake ni nyama na maziwa

Kadhalika ng'ombe ninyama na maziwa kuku kondoo na vinginevyo navyo vina faida juu ya mfugaji wake.

Je umewai jiuliza ni ipi Faida aipatayo mfugaji wa Hawa viumbe wanao itwa bin Adam/ mimi na wewe ?

Kwa ufahamu wangu Dunia imeumbwa kwa mfumo wa chukua kitu weka kitu

Sasa hizi mvua,Juan,mwezi,mito,maziwa,pumzi,atupaye vyote hivi anapata Faida gani?

Kuku humtazama mwanadamu kama mlinzi wake na apatapo tatizo hukimbilia nyumbani kwa mlinzi wake akiamini atakuwa sarama

Lakini mlinzi huyo huyo ndiye amtafunaye kuku kwa kumchemsha au kumchoma nakuku asijue siku ya kuliwa au kuuzwa na mfugaji wake

Je, hii Ina tofauti gani na mwanadamu ambaye apatapo tatizo hukimbilia kwa mungu/mfugaji wake

Akiamini kuna ulinzi na nimlinzi wake lakini hata hivyo mungu ndiye ajuaye siku yakufa kwa mwanadamu

kama kuku asivyo ijua siku ya kuchinjwa kwake na mwanadamu

Sawa sawa nakuku akimbiliapo kwa mwadamu/mfugaji wake akiamini ni mlinzi wake lakini kumbe ndiye mlaji wake

kwanini watu wema hufa mapema Au watu wema nichakula kizuri cha muumbaji Wetu?

Sawa na vile uendapo shambani kwako ukahitaji mhindi mbichi wa kuchoma

si utahitaji mhindi mzuri,Wenye afya na kuu Acha mbaya usio na afya?

Je, hii nisawa na wabaya kudumu na wema kufa mapema?

Biblia Ina mzungumzia mungu kama Kiumbe mpenda nyama ya kuchoma"

* Rejea kuhusu Sadaka za wanyama za kuteketeza

*Rejea pia kuhusu isaka kukoswa Koswa kupigwa kisu na baba yake kwa ajiri ya kumtolea mungu sadaka

Je, Mungu ni mla nyama za wanyama na watu?

Mungu anaizungumzia Dunia kama shamba na Ana wazungumzia binadamu kama mavuno kwa kusema hivi..

Shambani mwa bwana mavuno nimengi ila watenda kazi ni wachache

Kwanini mungu aifananishe Dunia na shamba?

Na kwanini atufananishe sisi watu na mavuno? Mbona kama biblia Ina tufungua akili hivi

Binafsi namwona mungu kama shetani na shenani kama mungu

Je, Bina damu ni chakula cha anaye itwa mungu?
ni kweli kabisa, ndio maana mungu anahitaji sana kuabudiwa. ukielewa vizuri neno "kuabudu" na ukaelewa ishu nzima inayohusu maswala ya nishati (energy) utakuja kuelewa kuwa sio wanadamu tu ila kiumbe chochote ni chakula cha mungu. mtu anapoabudu, nishati inatoka kwake na inaelekea kwa anaeabudiwa ndio maana kwenye ibada inahitajika utulivu na umakini wa akili ili kuwe na ufanisi katika utumaji wa nishati, swala la mungu kudai sadaka ya mnyama pia ni sawa na kumla mnyama huyo kwa sababu kwenye damu kuna nishati ndio maana kafara ya damu ni dili sana kimwili na kiroho
 
Habari za sikunyingi ndugu Zangu jukwaani?

Mtu akifuga mbuzi Faida yake ni nyama na maziwa

Kadhalika ng'ombe ninyama na maziwa kuku kondoo na vinginevyo navyo vina faida juu ya mfugaji wake.

Je umewai jiuliza ni ipi Faida aipatayo mfugaji wa Hawa viumbe wanao itwa bin Adam/ mimi na wewe ?

Kwa ufahamu wangu Dunia imeumbwa kwa mfumo wa chukua kitu weka kitu

Sasa hizi mvua,Juan,mwezi,mito,maziwa,pumzi,atupaye vyote hivi anapata Faida gani?

Kuku humtazama mwanadamu kama mlinzi wake na apatapo tatizo hukimbilia nyumbani kwa mlinzi wake akiamini atakuwa sarama

Lakini mlinzi huyo huyo ndiye amtafunaye kuku kwa kumchemsha au kumchoma nakuku asijue siku ya kuliwa au kuuzwa na mfugaji wake

Je, hii Ina tofauti gani na mwanadamu ambaye apatapo tatizo hukimbilia kwa mungu/mfugaji wake

Akiamini kuna ulinzi na nimlinzi wake lakini hata hivyo mungu ndiye ajuaye siku yakufa kwa mwanadamu

kama kuku asivyo ijua siku ya kuchinjwa kwake na mwanadamu

Sawa sawa nakuku akimbiliapo kwa mwadamu/mfugaji wake akiamini ni mlinzi wake lakini kumbe ndiye mlaji wake

kwanini watu wema hufa mapema Au watu wema nichakula kizuri cha muumbaji Wetu?

Sawa na vile uendapo shambani kwako ukahitaji mhindi mbichi wa kuchoma

si utahitaji mhindi mzuri,Wenye afya na kuu Acha mbaya usio na afya?

Je, hii nisawa na wabaya kudumu na wema kufa mapema?

Biblia Ina mzungumzia mungu kama Kiumbe mpenda nyama ya kuchoma"

* Rejea kuhusu Sadaka za wanyama za kuteketeza

*Rejea pia kuhusu isaka kukoswa Koswa kupigwa kisu na baba yake kwa ajiri ya kumtolea mungu sadaka

Je, Mungu ni mla nyama za wanyama na watu?

Mungu anaizungumzia Dunia kama shamba na Ana wazungumzia binadamu kama mavuno kwa kusema hivi..

Shambani mwa bwana mavuno nimengi ila watenda kazi ni wachache

Kwanini mungu aifananishe Dunia na shamba?

Na kwanini atufananishe sisi watu na mavuno? Mbona kama biblia Ina tufungua akili hivi

Binafsi namwona mungu kama shetani na shenani kama mungu

Je, Bina damu ni chakula cha anaye itwa mungu?
Sisi ni mifugo ya Mungu
 
Mtu akifa anzikwa anaoza anaisha wachina na wahindi wanachoma mungu anakulaje?
Mungu hayupo ni fikra tu
SIsi binadamu tupo katika mwili wa nyama thus why tunakula nyama...perhaps cuz mungu ni roho nae ana benefit na roho za binadamu.

Nimewaza tu
 
Ninayo screenshot yangu hapa ya mda mnoooo kutoka kwa LIKUD
604233.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom