mungu

  1. S

    GE2020 Kabla ya hii miaka mitano haijaisha, uwezo wa Mungu utakuwa umejidhirisha kwa wanaotuhumiwa kuhujumu uchaguzi

    Kama ambavyo uwezo na maajabu ya Mungu yamejidhihirisha katika tukio la Lissu kupigwa risasi na yote yaliyofuata baada ya hapo mpaka anakuja kugombea uraisi, ndivyo ambavyo uwezo na Mungu utajidhirisha kwa wale wote wanaotuhumiwa kuhujumu huu uchaguzi na hii itakuwa ni ndani ya miaka hii...
  2. GE2020 Sisi Watanzania tunakushukuru sana Tundu Lissu kwa kampeni zako za kiwango cha juu, Tunakutakia kila la heri, Mungu aendelee kukulinda

    Nikiwa mmoja wa maripota wa Kampeni za Tundu Lissu humu JF na kwingineko kuanzia mwanzo hadi mwisho na kwa kadri ya umri nilionao na uzoefu wangu katika siasa za Tanzania na za kimataifa, Tundu Lissu amefanya kampeni za kiwango cha juu mno, huyu mtu hakuwa tu mgombea wa Urais bali alikuwa...
  3. T

    Je, Mungu ametusahau Watanzania?

    Je, Mungu ametusahau watanzania? Jibu ni hapana. Baada ya kila neno kusemwa na kila lililosemwa kutimia basi ndio utukufu wa Mungu utakapo shuka Kwa Watanzania. Watanzania ni watu wakarimu Sana na niwatu wasio weza kujipambania pale wanaitaji Lao la msingi. Niwatu wasio penda fujo na ghasia na...
  4. Mungu akitaka kukuokoa humtuma mtu yeyote yule

    Kaka mmoja anaishi Ughaibuni, alikuja likizo nyumbani. Siku moja akiwa matembezini alikutana na kijana wa miaka 15-16 amebeba mtoto mdogo wa mwaka mmoja. Mtoto yule alikuwa anaumwa sana. Yule kijana alikuwa anatafuta usafiri wa kwenda Mwananyamala hospital. Daladala zikiwa zimejaa na...
  5. Viongozi wa Dini wa nchi hii laana ya Mungu haitawaacha milele. Mkatubu

    Amani ya bwana iwe kwenu wandugu! Nimesikitishwa sana na viongozi wa madhehebu mbali mbali nchini kukaa kimya bila kutamka chochote juu ya hali ya uchaguzi ilivyo mpaka sasa. Viongozi hawa hawakuona kura bandia zilizokamatwa, viongozi hawa hawakuona mawakala wa vyama mbali mbali walivyozuiwa...
  6. Mwenyezi Mungu msaidie Trump ashinde uchaguzi kesho

    Mzuka wanaJF! Baba Muumba wa mbingu na nchi na mkambidhi President Donald Trump achaguliwe tena muhula wake wa pili. Silaha aliyoishika ni hatarii na ndio itamrudisha tena White House. Die hard Trump supporter!
  7. Ndugu yangu Mbowe, Mungu atakulipia yote

    Salaam, Kama kuna mwanasiasa ambaye amelipa gharama kubwa za kutetea upinzani hapa Nchini, basi Mbowe anaongoza kwa nyakati hizi. Tangu wakati wa Jakaya Mbowe ametumia sana rasilimali zake kuijenga CHADEMA, ameswekwa ndani na vipigo mara kwa mara. Muhimu tu Jakaya alilinda UTU na alikuwa na...
  8. V

    Tumuombe Mwenyezi Mungu

    Amani iwe nanyi, Kwa kuwa tumemaliza uchaguzi na umepitia katika hali ya kushangaza pale matokeo yalipotangazwa kuona chama tawala kikishinda katika chaguzi zote za uraisi, ubunge na udiwani kwa "kishindo", ni vyema tukajifariji kwa pande zote zilizoshinda na kushindwa kwa haki kwa Kumuomba...
  9. M

    Wazanzibar nguvu yenu Dua, amkeni usiku Tahajjud mumshitakie Mwenyezi Mungu

    Wazanzibar mnaodhulumiwa, enyi mnaoonewa, mtume Muhammad alishafundisha, silaha ya muumini ni dua!. Amkeni usiku, Tajeni lile jina kuu la Mwenyezi Mungu ambalo mtume alifundisha kuwa ukiomba kwalo Mungu anajibu. Amkeni usiku mswali Tahajjud, mumlilie Mwenyezi Mungu kwa dhulma hii mnayofanyiwa...
  10. J

    GE2020 Nawatakia Watanzania wote Uchaguzi wenye Baraka na Amani ya Mungu ile ipitayo fahamu zote

    Kwanza namshukuru Mungu kwa kutuvusha salama na hatimaye kuifikia siku hii ya leo tunapoenda kuchagua viongozi wetu. Ninamuomba mwenyezi Mungu awatie nguvu ninyi nyote ili tuweze kukamilisha jukumu hili la kikatiba kwa amani. Tukumbuke kuwa kuna maisha baada ya uchaguzi na kwamba siasa haijengi...
  11. GE2020 Mbowe: Ndani ya saa 72 nitakuwa Waziri Mkuu

    Mbowe amesema katika saa 72 zijazo Tundu Lissu atakuwa Rais wa Tanzania na Mimi nitakuwa Waziri mkuu Chanzo: Mwananchi online ==== Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe, amesema ndani ya saa 72 zijazo, mgombea wao wa Urais, Tundu Lissu anakwenda kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
  12. J

    GE2020 Askofu Gamanywa: Mungu amemteua Rais Magufuli kuwa kiongozi wa Tanzania, uchaguzi ni utaratibu wa kikatiba tu!

    Askofu Gamanywa amesema kuna watu wanamzushia kuwa yeye ni usalama wa taifa ila kiukweli yeye ni " usalama wa mbinguni" Anasema yeye huwa habwabwaji kwa sababu yuko well informed na ndio sababu anawataka wampigie kura Rais Magufuli kwa sababu ni mtu mwenye hofu ya Mungu. Askofu Gamanywa...
  13. J

    Askofu Gwajima: Sijaacha utumishi wa Mungu bali nimepanua Huduma na kuwafikia watu wengi zaidi

    Akijibu swali kwanini anagombea ubunge wakati huko nyuma aliwahi kusema hawezi kugombea vyeo vya kisiasa kwa sababu atajishusha hadhi, askofu Gwajima amesema yeye hajaacha uchungaji bali atafanya kazi mbili kwa pamoja yaani mchungaji na mbunge. " ni kwamba nimepanua tu Huduma ili kuwafikia watu...
  14. Tuchague kiongozi aliye kubalika na Mungu, kiongozi ambaye hatakandamiza wafanyakazi na NSSF

    Wafanya kazi tumekuwa tunateseka sana, maisha magumu, mishahara haipandi na bado wanavamia mifuko ya kijamii NSSF/PSSSF wanasema mpaka ufikishe miaka 55, huo ni onyonyaji, kodi za serikali zinakatwa PAYE, kwa kila mfanyakazi. Lakini bado mnataka hadi NSSF/PSSSF, Huu ni uonezi, ubabe wa...
  15. M

    Ni Mungu pekee ndiye hutoa haki na hukumu ya kweli na si mwanadamu

    Nimeamua kuwaelimisha watanzania walio wengi wanaojifanya kujisahaulisha kuhusiana na uwepo wa Mungu Kwanza naomba nimuonye mgombea wa CHADEMA, Tundu Lissu kwa kauli zake anapoomba kula kwa watanzania akidai atatenda haki. Pili nimpongeze Dkt. Magufuli kwa kauli zake za kumuogopa...
  16. GE2020 John Mnyika 'Kifo' huwa hakina 'Hodi' na ikipangwa imepangwa tu, usiihusishe 'Siasa' na Kazi ya Mwenyezi Mungu

    "Jumla ya mawakala wa chama watano wamefariki katika hekaheka za kukimbizana na haya marekebisho yaliyotolewa usiku na asubuhi kuambiwa sasa hamuapishwi hapa mnatakiwa mkimbilie kwenda kuapishwa hapa na unapewa muda mfupi wa kwenda kwenye eneo la tukio".Mnyika. ITV Tanzania Hata kama hawa...
  17. GE2020 Watu wa Mungu, Tutamchagua Tundu Lissu

    WATU WA MUNGU TUTAMCHAGUA TUNDU LISU. Na, Robert Heriel Sisi watu wa Mungu, wapenda haki, wakataaji wa dhuluma, wakataaji wa utesaji, wapinga umungu mtu, wapenda uhuru, sisi tunaopenda umoja, tutampigia kura Tundu Lisu. Nilishasema Kura ya Mungu aliyeumba mbingu na nchi ipo kwa Tundu Lisu...
  18. GE2020 Mufti Mkuu wa Waislamu Sheikh Zuberi leo Korogwe mbele ya Rais Magufuli

    Mufti Mkuu leo amepewa heshima ya kufungua kwa Dua mkutano wa kampeni wa mgombea urais wa CCM na kabla ya kuanza dua amesema ana mambo mawili; 1. Kukanusha kile kinachodaiwa kuwa Waumini wa Dini ya Kiislam wana udini. ( hili linahitaji mjadala wake) 2. Amemuomba Dkt.Magufuli ajenge barabara...
  19. Uongozi ni kipawa cha Muda mrefu anachokipandikiza Mungu ndani ya binadamu ambacho hujitokeza baadaye

    Ukweli ni kwamba Kipawa cha uongozi ndani ya Tundu Lissu kimewekwa na Mungu mwenyewe na wala hakuna binadamu wa kuzuia, hii ndio maana Wakubwa wengi wamechota busara kutoka kwa mtu huyu. Aina hii ya viongozi waliobarikiwa na Mungu ndio inayofanya nchi zao kuendelea kwa vile uongozi ni karama...
  20. J

    Mchungaji Mastai: Amani tuliyonayo hailetwi na vyama vya siasa bali Mungu wa mbinguni, Mungu iponye Mtwara!

    Mchungaji Mastai wa KKKT Kimara amewataka Watanzania kuwaombea wagombea wa vyama vyote tunaowapenda na tusiowapenda ili wapate kibali mbele zake Mungu. Mastai amesema amani tuliyonayo haijaletwa na chama cha siasa bali imeletwa na Yesu Kristo mwenyewe. Kadhalika Mchungaji ameomba rehema kwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…