johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,736
- 141,599
Akijibu swali kwanini anagombea ubunge wakati huko nyuma aliwahi kusema hawezi kugombea vyeo vya kisiasa kwa sababu atajishusha hadhi, askofu Gwajima amesema yeye hajaacha uchungaji bali atafanya kazi mbili kwa pamoja yaani mchungaji na mbunge.
" ni kwamba nimepanua tu Huduma ili kuwafikia watu wengi zaidi " amesisitiza askofu Gwajima.
Maendeleo hayana vyama!
" ni kwamba nimepanua tu Huduma ili kuwafikia watu wengi zaidi " amesisitiza askofu Gwajima.
Maendeleo hayana vyama!