muda

MuDA was the acronym of the Museum of Digital Art, an art space dedicated to digital arts. The institute was opened in February 2016 in Zurich by the non-profit Digital Arts Association. It closed by the end of June 2020.

View More On Wikipedia.org
  1. JamiiForums Tanzania Tupia nguo yako kali unayoikubali muda wote

    Nguo yako ni ipi ambayo unaviaa kwenye matukio muhimu na ukiivaa unajiona umewaka kinoma noma
  2. JamiiForums Tanzania Huwa unafanya nini pale ambapo jambo ambalo linaku stress likipita bila madhara yoyote

    Binafsi nimetulia sehemu napata kinywaji hasa baada ya leo kumaliza kikao cha bodi ya wakurugenzi salama bila mushkeli. Nipe uzoefu wako wewe mambo huwa yanaendaje baada ya jambo ambalo huwa linakupa presha kupita salama
  3. A

    JamiiForums Tanzania KERO Changamoto Ya Maji maeneo ya Ubungo Msewe na Kimara Baruti

    Kwa kipindi cha Wiki 3 sasa Kumekuwa hatupati Huduma ya maji tulipiga simu kwa Dawasa namba ya huduma kwa wateja wanapokea na kusema watatuma mafundi imeishia hapo tukimpigia Meneja amekuwa hapokei simu, pia hakuna taharifa zozote
  4. C

    JamiiForums Tanzania Muda wa Story: Tujifunze na kuburudika na Story ya kufurahisha ya Baraka

    Usiku ulikuwa mzito kuliko kawaida. Mvua ilinyesha polepole kana kwamba anga linafikiria kabla ya kuangusha kila tone. Kijana mmoja aitwaye Baraka alisimama dirishani akitazama taa za mbali za jiji zikicheza ndani ya maji yaliyokuwa yakitiririka kwenye vioo. Hakujua ni nini hasa kilikuwa...
  5. JamiiForums Tanzania Hivi hii Hali ni kwangu tu? Maana kuna muda kichwa kinapata moto

    Wakuu Kuna muda nakaa nafikiria mpaka naanza kujiuliza aliependekeza Mimi nizaliwe aliwaza Nini Picha linaanza mpaka Sasa Nina umri wa miaka 23 Lakini Hali yangu haieleweki pangu pakavu tia mchuzi Nipo nipo tu Sina mke,Sina mtoto,Sina kiwanja,Sina nyumba hata kazi ya kueleweka sina Mwaka wa...
  6. W

    JamiiForums Tanzania Hifadhi ya makazi ya muda kwa mpambanaji

    Maisha yana mambo mengi sana, upatapo nafasi na wasaa wa kumsaidia mtu usisite kufanya hivyo. Ninatoa fursa ya makazi kwa mtafutaji/mpambanaji (Jinsi yoyote), mwenye tabia njema, mwenye mtaji na shauku ya kufanyia harakati zake Dsm na hajui aanzie wapi kwa upande wa makazi. NB: Awe na mtaji.
  7. C

    JamiiForums Tanzania Hii ndo aina ya watu ambao utawakuta JF online muda wote

    hawa huwa wanafanya kazi za kukaa wapweke muda mrefu mfano: Kuuza mapazia, kuuza mabegi, kuuza cover za simu n.k hawa watu utawakuta maranyingi wamekaa dukani kusubiri wateja. mtu kama MIN -mi atakua anafanya kazi ya kuuza duka la dawa kwasababu anaonekana ni mdau wa afya. hivyo muda wa...
  8. JamiiForums Tanzania Iran kuanza kula kipondo muda wowote kuanzia sasa

    Nukuu Kuu za JD Vance (Islamabad, Pakistan): Aprili 12, 2026 asubuhi na mapema. Kuhusu Msimamo wa Iran: "Tumekaa nao usiku kucha, tukiwapa nafasi ya wazi ya kurejesha amani na utulivu katika eneo hilo. Lakini viongozi wa Iran wamechagua njia nyingine. Wamechagua kutokubali masharti yetu...
  9. JamiiForums Tanzania Iani Dialo from kenya Radio presenter wangu Bora wa muda wote huyu jamaa ana IQ kubwa sana.

    Aliwahi kufanya kazi EA redio katika kipindi cha EAST AFRICA DRIVE ndinga mpya town akiwa na David rwenyagira. Jamaa ana madini sana.
  10. JamiiForums Tanzania Admini wa Page ya Polisi alipo-like mambo ya ajabu! Kila mtu atachanganyikiwa kwa muda wake

    Wakuu, Itakuwa mizimu ya Oktoba 29 imeanza kuwasalimia na Polisi😌😌 Admini wa Page ya Jeshi la Polisi kajichanganya huko, kaenda kulike mambo ya fezea, mambo ya hajabu, vitu za rikiboy na genge lake:KEKLaugh:. Imebidi nikawafolo Polisi kuhakikisha bana isijekuwa Eiai🌚 Hyyu afande amelike...
  11. JamiiForums Tanzania Muda wa kuishambulia miundombinu ya Iran umefika!!!!

    Kauli ya mwisho ya Rais Trump kwa Tehran inaisha saa 2:00 PM saa za Washington (saa 3:30 AM saa za Iran, saa 3:00 Tanzania) usiku wa leo, ikiacha chini ya saa 10 tu. Tarehe ya mwisho, iliyowekwa wiki moja iliyopita kutokana na mvutano unaoongezeka kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran, imesababisha...
  12. R

    JamiiForums Tanzania Trump atishia kuiangamiza Iran usiku wa leo kama hawatofanya maamuzi ya Makubaliano kabla ya muda uliowekwa kuisha

    Kupitia Mtandao wake wa Truth Social Rais wa Marekani Donald Trump amechapisha kuwa usiku wa leo inawezekana akaangamiza mji mzima wa Iran endapo hawatofanya maamuzi ya mapema ya Makubaliano ikiwa muda uliowekwa ukaisha, pia ametsihia Iran kufungua mlango wa bahari ya Hormuz Trump’s deadline...
  13. R

    JamiiForums Tanzania Usanii hauishi, eti wameongezewa muda

    Ile so called tume eti umeongezwa! Muda ili kuongeza nini kwenye maandishi ya kubumba? ? Kuchakachua? Wanamchakachulia nani ? Nani ambaye hajui kilichotokea? Alisema the brutality used was proportional to what was on the ground!
  14. JamiiForums Tanzania Iran yakataa usitishaji vita wa muda uliopendekezwa na wapatanishi wa Pakistan

    Wanaukumbi. 🇺🇸🇮🇷 Iran yakataa usitishaji vita wa muda uliopendekezwa na wapatanishi wa Pakistan Afisa wa ngazi ya juu wa Iran alisema Tehran haitafungua tena Mlango-Bahari wa Hormuz kwa kubadilishana na usitishaji mapigano kwa muda na anaamini kwamba Marekani "haina utayari wa kusitisha...
  15. JamiiForums Tanzania Pasi hii umedumu nayo kwa muda gani?

    Kuna pasi alafu kuna hii pasi Ya kwako imedumu kwa muda gani?
  16. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nimekuwa addicted na tadalafi (Viagra) kwa muda mrefu

    Habar wakuu mim nimwanume umri miaka39 baada yakuhangaika sana na tatizo la nguvu za kiume kwa muda mrefu takribani miaka 9 bila kupata ufumbuzi.mwaka2023 nilibahatika kukutana na professor mmoja wa urology baada nae pia kunifanyia vipimo nakugundua Sina tatizo lolote Zaid ya tatizo la hormones...
  17. C

    JamiiForums Tanzania Ukiambiwa utaje top 3 ya nyimbo bora kwa muda wote utataja zipi ?

    Tangu uzakiwe mpaka unaanza shule ukijumlisha nyimbo zote ulizowai kusikia kuanzia mabata madogomadogo yanaogelea, napenda kuhesabu namba, hadi nyimbo za bongofleva nyimbo za dini zote, nyimbo kutoka tz na nje ya Tanzania. Katika zote ukiambiwa utaje 3 bora utataja zipi Mimi kwa harakaharaka...
  18. JamiiForums Tanzania Wanaoponda watumishi wanaochukua mikopo wengi wao unakuta hawana hata hiyo kazi, mtu asiyeogopa mikopo ni risk taker kutoboa ni suala la muda tu

    Watu wanaoponda watumishi kuchukua hela benki na kwenda kujenga lipagara na kununua kigari chake cha kumzungusha wengi wao hawana hata hizo kazi na Hawajui kuwa mishahara ni midogo hata usipokatwa marejesho bado hela yake haitoshi tu. Unaweza ukaajiriwa na take home ya laki 6 wewe ukakopa let's...
  19. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna muda mtu akiniuliza “ntaoa lini?” Kichwani kwangu naona ni sawa na mtu anayeniuliza "Ntapoteza furaha yangu lini?"

    1/ Dunia ya leo, upendo wa kweli ni nadra. Watu wengi wanaishi maisha ya ku-pretend tu. Ukiwa na mtu, akagundua hawezi kupata kitu, huondoka. Hii ndio ukweli wa mahusiano. 2/ Wengi wanafanya ndoa kwa sababu ya pressure ya jamii au familia. Lakini ndani, maisha yao ni siri na maumivu. Wake na...
  20. A

    JamiiForums Tanzania KERO Taasisi ya TAWA iwafikirie Vijana waongoza watalii (Tour Guides) wanaojitolea muda mrefu bila kupewa ajira

    Kuna kero kubwa inayowakumba vijana wengi waliokuwa wakijitolea kama waongoza watalii (Tour Guides) katika Taasisi ya TAWA kwa muda mrefu sana. Wapo vijana wamejitolea kwa miaka mingi wakifanya kazi ya kuongoza watalii, wakilitangaza taifa na vivutio vyake, wakiamini siku moja watapata ajira...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…