1. Chama husika hakina uhusiano wa asili na TANU,chama hiki kilianzishwa 7/7/1954
2. Ukinzani wa malengo.TANU kilipigania uhuru wa Tanganyika,Chao kuleta vurugu na umwagaji wa damu.
3. Wajumbe (viongozi) wao hawana uhusiano wowote (hata wa damu) na wale waliokuwa TANU (waasisi wa Taifa letu)
4.Hakuna taratibu za kisheria zilizofuatwa mpaka Sasa, Kama mahali pa mkusanyiko na muda wa kuanza na kumaliza.
5. Mwisho na muhimu zaidi.Washiriki wa maandamano hayo ni kina nani ? au Bora liende 😭 !!!
"HARAMU,HARAMU,HARAMU TENA"
2. Ukinzani wa malengo.TANU kilipigania uhuru wa Tanganyika,Chao kuleta vurugu na umwagaji wa damu.
3. Wajumbe (viongozi) wao hawana uhusiano wowote (hata wa damu) na wale waliokuwa TANU (waasisi wa Taifa letu)
4.Hakuna taratibu za kisheria zilizofuatwa mpaka Sasa, Kama mahali pa mkusanyiko na muda wa kuanza na kumaliza.
5. Mwisho na muhimu zaidi.Washiriki wa maandamano hayo ni kina nani ? au Bora liende 😭 !!!
"HARAMU,HARAMU,HARAMU TENA"