Tripo9
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 4,352
- 3,533
Umofia kwenu
Sikumbuki niliwahi kusikia yawezekana mtoto ktk umri fulani yawezekana mzazi au mlezi ukaona vitu au viashiria flani kwamba huyu mtoto ukubwani mwake hatakua na uwezo wa kuzalisha au kuzaa.
Je, hii ina ukweli wowote? Na kama ni kweli nini hivyo viashiria au vithibitisho?
Mungu awaepushie janga hili waja wake.
Sikumbuki niliwahi kusikia yawezekana mtoto ktk umri fulani yawezekana mzazi au mlezi ukaona vitu au viashiria flani kwamba huyu mtoto ukubwani mwake hatakua na uwezo wa kuzalisha au kuzaa.
Je, hii ina ukweli wowote? Na kama ni kweli nini hivyo viashiria au vithibitisho?
Mungu awaepushie janga hili waja wake.