Unapochagua kusuka, hakikisha unaujua vyema mtindo utakaosuka, vile vile na kunyoa,
Nilipowapa ushauri wa nini Cha kufanya waliniona hamnazo, huku wakifikiri ni mjinga wao mmoja,
Leo kinawatokea puani, ni rahisi sana, kitaalamu niwafunze tena, chuki inapojenga Imani, hakuna mwenye kushindana...