Wakuu habari .
Naomba kusaidiwa upande wa calculation za Excel.
Nikiwa nimepanga majina ya wanafunzi, nimeweka marks za kila somo, jumla, wastani, Daraja la ufaulu na , nafasi aliyoshika kila mwanafunzi.
Je nikitaka majina yajiapange kulingana na ufaulu wao nafanyaje?
Yaani Kama John kwenye...