Kuna siku maalumu kabisa mtapewa pasi na mtaruhusiwa kwenda kuapply vyuo mvitakavyo na kila kitu kitakua sawa .Samahan Wana jf nimechaguliwa jkt mujibu wa sheria 2022 .msaada kuhusu kuapply mkopo na chuo ukiwa JKT
Lkn si lazima uende na hazo nakalaKuna siku maalumu kabisa mtapewa pasi na mtaruhusiwa kwenda kuapply vyuo mvitakavyo na kila kitu kitakua sawa .
Nenda kaongeze apetite ya kula please.
Sawa ....ila binafsi chet changu cha kuzaliwa jina limekosewa kidogo hvyo huko jkt watanikubalia kweli akat naxkia hauingii bila chet cha kuzaliwa.Utaaply vp bila kua nazo?
mkuu vitu vp vinahusik katika kuapply chuoKama wengi wanavyosema ukienda jkt acha vyeti vyako vyote kwa mtu unaemuamini akuombee mkopo ila chuo utaomba mwenyewe huko. Nimetoka jkt mwaka jana naelewa kila kitu fuata ushauri wangu usimsikilize yoyote
Mkuu , ulikuwa kambi ipi na je waliitoa facilities zipi ili kukuwezesha kuchagua vyuo?Kama wengi wanavyosema ukienda jkt acha vyeti vyako vyote kwa mtu unaemuamini akuombee mkopo ila chuo utaomba mwenyewe huko. Nimetoka jkt mwaka jana naelewa kila kitu fuata ushauri wangu usimsikilize yoyote
Mkuu ni documents zipi zinatakiwa wakati wa kuomba mkopo?Kama wengi wanavyosema ukienda jkt acha vyeti vyako vyote kwa mtu unaemuamini akuombee mkopo ila chuo utaomba mwenyewe huko. Nimetoka jkt mwaka jana naelewa kila kitu fuata ushauri wangu usimsikilize yoyote
Mwaka jana, Hawakuruhusiwa kurudi majumbani kutokana na janga LA koronaUkweli inategemea kambi. Kijana wangu 2021 alikwenda Mgambo. Hawakupewa muda wa kufanya hizo selections na hawakuwa na simu hivyo haikuwa rahisi kukamilisha hilo zoezi. Na mkopo ni hivyo hivyo. Tuliwalaani jkt lakini ndio hivyo.