crazyrider
Member
- Jun 10, 2019
- 27
- 26
Habari wakuu,
Umri wangu ni miaka 28. Nimekuja kwenu kuomba ajira au mtu yoyote anayeweza kunisaidia kupata ajira au Connection.
Ninaweza kufanya kazi kama vile;
Sifa za ziada
Au yeyote anaehitaji kuona CV yangu pia nitamtumia
Asanteni.
Umri wangu ni miaka 28. Nimekuja kwenu kuomba ajira au mtu yoyote anayeweza kunisaidia kupata ajira au Connection.
- Jinsia: Me
- Elimu: Bachelor Degree of Banking and Finance.
- Ninapoishi: Dodoma
- Uzoefu wa kazi : Sina uzoefu mkubwa kwenye Carrier yangu zaidi ya kufanya Field mara mbili Bank flani.
- Uzoefu wangu mkubwa nje ya Carrier yangu ni Kazi za Sheli ambayo nimewahi kufanya kazi kama Manager, Assistant Manager na Pump Attendant, kwa maana hiyo nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika issue za sheli au Petrol Station.
Ninaweza kufanya kazi kama vile;
- Bank teller
- Customer Service
- Finance Officer
- Loan Officer
- Manager
- Assistant Manager
- Pump attendant pia
Sifa za ziada
- Ninajua kutumia computer.
- Ninafahamu kutumia Microsoft word, excel na PowerPoint.
- Ninajua kutumia accouting software kama excel.
- Uwezo wangu katika lugha ya kingereza ni mzuri, ninaongea (90%), kusikia na kuelewa (100%), kusoma na kuandika kwa ufasaha (100%).
- Pia ni mchapakazi na ni muaminifu.
Au yeyote anaehitaji kuona CV yangu pia nitamtumia
Asanteni.