DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 17,796
- 44,891
Nahitaji Bima ya NHIF mimi na watoto wangu wawili pamoja na Mama Mzazi.
Hiyo Bima iwe nation wide (nchi nzima)
Mimi sio mtumishi wa Umma Wala sekta binafsi nimejiajiri.
Wakuu Jambo la Pili nahiitaji ..Kupata mchanganuo wa gharama kwa mwaka Ahsante na Mchana mwema.
Muhaya original
Hiyo Bima iwe nation wide (nchi nzima)
Mimi sio mtumishi wa Umma Wala sekta binafsi nimejiajiri.
Wakuu Jambo la Pili nahiitaji ..Kupata mchanganuo wa gharama kwa mwaka Ahsante na Mchana mwema.
Muhaya original