mpya

  1. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Hivi ndivyo Papa mpya anavyopatikana

    Papa anapofariki au kujiuzulu, mchakato wa kumchagua papa mpya huanza na kongamano, ambapo makadinali walio na umri wa chini ya miaka 80 hukusanyika katika Kanisa la Sistine Chapel. Baada ya kifo cha papa (au kujiuzulu), Camerlengo inasimamia masuala ya Kanisa kwa muda. Vatikani inajiandaa kwa...
  2. T

    JamiiForums Tanzania Lissu na wengine ni Tanzania Mpya heros. Vizazi vitawatambua hivyo.

    Salaam! Miaka mingi sana sijaandika. Nipo busy ughaibuni. Lakini, leo nimelazimika kuandika ili kuwasihi. Nikiwa huku nilipo napata wasaa mzuri wa kuona siasa za Tanzania na uelekeo wake kwa ujumla. Tanzania inakwenda kubadilika kwa mara ya kwanza tangu ianzishwe. Mikononi mwa Rais Samia...
  3. E

    JamiiForums Tanzania Tujikumbushe: Mfanyabiashara wa Ghana Kofi Amoah aivyomtaka Elon Musk kuinunua Afrika, kisha kufuta viongozi wote!

    Mfanyabiashara Toka Ghana Dr.Kofi Omoha amtaka Billionaire Elon Musk kuinunua Africa Kisha kufuta viongozi wake wote
  4. Dalali wa kimataifa

    JamiiForums Tanzania Apartment mpya inauzwa Kariakoo, Bei ni TSh. 280 milioni

    Apartment mpya inauzwa Kariakoo Vyumba vitatu ya kulala Kimoja master Ina Furniture Ipo ghorofa ya Nane Jengo lina Lifti Jengo ni jipya Bei TSh. 280m Call/WhatsApp +255758 844 717
  5. Kekule Wa Benzene Ring

    JamiiForums Tanzania Mdhamini mpya wa Jezi wa Klabu ya Simba aliwahi kutuhumiwa kwa makosa haya

    Kwanza nimpongeze Mtanzania mwenzangu Joseph Rwegasira Samson kwa kushinda tenda ya kuzalisha jezi za mnyama. Pili niwapongeze SIMBA SC Kwa Mkataba mnono WA jezi wenye thamani ya BILLION 38.6 Kwa Miaka mitano. Ukiwa pamoja na Extra bonuses kama vile Ujenzi wa uwanja...Media production...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Ufadhili mpya wa Simba, Je nani anahusika kwa mlango wa nyuma?

    Simba imepata ufadhili mkubwa mno haijawahi tokea Tanzania. Ikumbukwe Rais Samia kipindi cha nyuma kidogo aliahidi kuzitafutia Simba na Yanga ufadhili. Je, hii inaweza kuwa ndo utekelezaji wenyewe wa ahadi. Huyo mzabuni aliyeshinda ni geresha tu kuna watu wako nyuma,tutajua zaidi. Ngoja...
  7. dalalitz

    JamiiForums Tanzania NYUMBA MPYA, VYUMBA 5, MADUKA 2, TSHS.37 MILIONI, KINYEREZI-MWISHO.

    ...
  8. dalalitz

    JamiiForums Tanzania Nyumba mpya ya kisasa, vyumba vitatu (3) inauzwaTshs.330 milioni, Madale

    ....
  9. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Kwa wajuvi wa mambo tunajua wanaJF wakongwe wengi wamekuja na ID/Avatar mpya wakijaribu kukaa na GenZ

    Kuna miandiko humu jukwaani unaiona kabisa huu ni mwandiko wa mzee, ila anajifanya joined 2024. Hata uvae kaptula, ushazeeka. Sledi pendwa!
  10. Msigazi Mkulu

    JamiiForums Tanzania Wizi mpya kivuko cha Kigongo Busisi risiti haziskaniwi, inascaniwa moja kwa wateja wote.

    Kama kawaida kila nikipita pale kivukoni huwa naangalia mapungufu, nilianza na la chenji ya mia mia kutorudishwa. Na leo nimebaini abiria wakinunua tiketi pale dirishani pale sehemu ya kuscania inawekwa nyuma ya tiketi nyingine huku ikitunzwa vizuri bila kuharibiwa. Hii inamaanisha zinarudishwa...
  11. Dalali wa kimataifa

    JamiiForums Tanzania Nyumba mpya inauzwa, bahari beach Dar es salaam

    Gorofa la kumalizia linauzwa ni nzur sana”” Lina vyumba vitano master Ukumbwa wa kiwanja ni square mitter 1200” Price million 500” maongez yapooo Kuna hat miliki Locationbahar beach 🇹🇿call/whatsapp +255758844717
  12. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Mohamed Salah asaini Mkataba mpya wa miaka miwili na Liverpool

    Mshambuliaji Mohamed Salah hatimaye amesaini mkataba mpya kuendelea kubaki Liverpool kwa mshahara wa Pauni 350,000 kwa wiki baada ya mvutano wa muda mrefu kuhusu suala la Mkataba wake ambao ulitarajiwa kumalizika Juni 2025. Baada ya kusaini amesema “Nimefurahi, tuna timu nzuri, tuna nafasi ya...
  13. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Ukiwa na $8,000 unapata Mac Pro mpya kutoka Apple, au unapata BYD Seagull EV na makaratasi yake!

    Maisha ni kuchagua, hustle zako, pesa yako! Mac Pro kutoka Apple official website inauzwa $8,000+ tu, mpya. Kwa wataalamu wa computer, hii ni CPU peke yake bila screen (monitor yake), ila utapewa na touchpad na keyboard kwa hiyo bei. (Total bei cheki picha hii kwa juu)! Specifications: RAM...
  14. Solo Traveller

    JamiiForums Tanzania X wangu kaja hivi baada ya kujua nimepata mpenzi mpya

    Ametoa povu baada ya kuona Nina mpenzi mpya....! Comment ziwe fupi fupi.
  15. Extrovert24

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu mtaala mpya Kwa level ya Advance

    Habari Wana JamiiForum, naomba msaada wa topics zinazopatukana kwenye mtaala mpya wa A level katika masomo ya Biology, Chemistry na Physics, watakao anza nao form five wa mwaka 2025. Lakini pia kama Kuna mwenye pdf anisaidie kupata nitashukuru sana. Naomba kuwasilisha wakuu
  16. Extrovert24

    JamiiForums Tanzania Mtaala mpya wa A level Kwa 2025/2026

    Habari wakubwa, natumai mko vizuri, Niende Moja Kwa Moja kwenye maada, nilikuwa naomba Kwa wale wadau wa elimu wanisaidie nifahamu topics za Biology, Chemistry na Physics hasa Kwa Form five, lakini pia kama naweza kupata Pdf ya hivyo vitabu nitashukuru sana. Naomba kuwasilisha
  17. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Katiba mpya pekee haitoweza kuleta mabidiliko yanayohitajika kwenye taifa kama mamlaka hazitoacha pia na uchawa

    ili nchi iweze kupata mabadiliko makubwa yanoyohitajika, kupata katiba mpya pekee kama suluhisho la mambo yote kwenye nchi haitoshi kama kitu cha kuleta usawa, haki na uwajibikaji bali lazima pia na mamlaka ziache uchawa ili kuruhusu sheria iweze kufanya kazi ipasavyo. Uchawa kwenye mamlaka...
  18. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Tafiti mpya yabainisha ubora wa kinywaji kijulikanacho kama mbege!

    -UTAFITI UNAPINGWA NA UTAFITI-- Utafiti mpya uliofanyika nchini Tanzania na kuchapishwa na jarida kubwa la Nature Medicine la nchini Uingereza, umebaini kuwa lishe ya asili ya Kiafrika ina faida kubwa kwa afya ya binadamu ikilinganishwa na lishe ya Kimagharibi. Utafiti huo uliofanywa na...
  19. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Ukiona namna Majaji wanavyomnyoosha Trump Marekani alafu ukiwaangalia Majaji wetu wanavyowalamba miguu CCM unasema tu tupate Katiba Mpya

    Katika sehemu za Watu Wanaojielewa Duniani Mhimili wa Mahakama ndo Kimbilio la Haki kwa Wananchi Wote Mhimili wa Mahakama ndo Chombo cha kuhakikisha Mamlaka ya Dola (Executive) na Bunge hayakinzani na Sheria pamoja na Haki. Mhimili wa Mahakama ndo chombo kinachopaswa kuhakikisha mamlaka ya...
  20. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Orodha mpya ya Wanachma wa TP OK Jazz ambao bado wapo hai

    1. Lokombe Ntal (mwimbaji) - Ufaransa 2. Makosso Kindudi (gitaa la rhythm) - Ufaransa 3. Flavien Makabi (gitaa la besi) - Ufaransa 4. Sam Mangwana - Angola 5. Kakoma Nado (ngoma) - Paris, Ufaransa 4. Mukulu Muki (Tarumbeta) - Brussels, Ubelgiji 5. Dele Pedro (Sax) - Brussels, Ubelgiji 6. Iblo...
Back
Top Bottom