mpira

  1. Influenza

    JamiiForums Tanzania Mkwasa: Wachezaji wa Yanga wamepoteza uwezo wa kumiliki mpira

    Kocha msaidizi wa Young Africans, Charles Boniface Mkwasa amesema amegundua mambo mawili, baada ya kuanza mazoezi ya kikosi cha klabu hiyo jana jioni. Kikosi cha Young Africans kilianza mazoezi ya kwanza jana jioni katika uwanja wa shule ya sheria, jirani na kituo cha daladala cha Ubungo...
  2. Kichuguu

    JamiiForums Tanzania Kuotea (Offside) Kwenye Mpira wa Miguu

    Nimepeleka barua FIFA kuwataka waondoe sheria ya Off-side kwenye mpira wa miguu ila kupunguza mzigo kwa washmabuliaji bali kuhamisha mzigo huo kwa walinzi. Offside imekuwa inatumiwa vibaya sana na timu nyingi. Mnaonaje wapenzi wa mpira wa miguu
  3. toriyama

    JamiiForums Tanzania Mkoa wa Geita umeanza maandalizi ya kujenga uwanja wa kisasa wa mpira

    Mkoa wa Geita umeanza maandalizi ya ujenzi wa uwanja wa kisasa wa mpira wa miguu utakaokuwa na uwezo wa kuingiza mashabiki zaidi ya elfu themanini kwa wakati mmoja ili kuondoa changamoto za viwanja kwa mikoa ya kanda ya ziwa. Serikali imetangaza kujenga uwanja mkubwa wa mpira wilayani Chato...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Tunatakiwa tuwe wastaarabu tunaposhuhudia mapambano ya mpira uwanja wa Taifa

    Leo kupitia kipindi cha michezo asubuhi sikuamini masikio yangu niliposikia kuwa panapokuwa na mashindano makubwa ya mpira mfano Yanga dhidi ya Simba, Simba dhidi ya Azam, Azam dhidi ya Yanga n.k. wastani wa viti 500-800 huharibiwa na watzamaji katika mechi moja. Mbali na uharibifu wa viti...
  5. Influenza

    JamiiForums Tanzania Sheria za Soka za FIFA: Ifahamu Sheria namba Mbili ya FIFA inayohusu Mpira wa Soka

    Kwa mujibu wa Sheria za FIFA (Shirikisho la Soka Duniani) mwaka 2015/16, mpira unatakiwa uwe wa Mviringo wenye Mzingo/Mzunguko wa Sentimita 68 hadi 70 (Mpira Namba 5), ukitengenezwa kwa ngozi au malighafi yoyote inayofaa Mwanzo wa mechi, mpira unatakiwa uwe na uzito usiopungua Gram 410 na...
  6. F

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli jenga viwanja vya michezo kama vya majiji ya Mwanza, Arusha, Tanga na Mbeya

    Nimewaza na kuona ni vema tumuombe RAIS wetu wa JMT, pesa kwa ajili ya ujenzi wa viwanja vya michezo kwa majiji ya Mwanza, Arusha, Tanga na Mbeya. Najua DODOMA tulipata ofa za wahisani. Naomba na kushauri hivyo maana namna ya kukuza michezo kwa ngazi za kimataifa ni kuwa na miundo mbinu...
  7. H

    JamiiForums Tanzania Namungo wanapiga mpira mzuri sana

    Hapa naangalia game ya Namungo vs Azam, kusema ukweli Namungo wanampira mmoja mzuri sana. Namungo ka-dominate game nzima, Azam wanasakwa kwenye goal lao kama Polisi anamtafuta mhalifu.
  8. D

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wachezaji wa Mpira wa Miguu Tanzania Bado Wanaishi Kambini?

    Hili jambo hunitatiza sana. Kwanini wachezaji wawekwe kambini? Tutasema hawana nidhamu, lakini kama mchezaji hana nidhamu itakayomfanya awe kwenye kilele cha kucheza mpira basi huyo hastahili kuwa mchezaji tena. Binafsi naamini kambi zinaongeza gharama zisizohitajika.
  9. kavulata

    JamiiForums Tanzania Samatta cheza mpira acha kuchonga

    Samatta ni mchezaji mkubwa aliepitia changamoto nyingi hadi kufika pale alipo. Sidhani kama anapaswa kuhangaika na maoni ya mashabiki wake kwenye mitandao. Hakuna kocha au mchezaji mkubwa makini duniani ambaye atakisikiliza comments za mashabiki mitandaoni na kufanya maamuzi kuhusu mchezaji...
  10. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Utafiti: Mashabiki kindakindaki wa mpira huwa hatarini kupata msongo wa mawazo

    Mashabiki kindakindaki wa mpira wa miguu hupata msongo wa mawazo wanapokuwa wakitazama timu zao, wanaweza kujiweka hatarini kupata mshtuko wa moyo, utafiti umeeleza. Utafiti uliofanywa Oxford ulipima mate ya mashabiki wa Brazil wakati walipoweka historia ya kushindwa walipocheza na Ujerumani...
  11. TODAYS

    JamiiForums Tanzania Diamond kuanzisha Academy ya mpira wa miguu

    Mwanamuziki supa star nchini, Nasib Abdul (Diamond Platnumz) amefunguka kuwa atakutana na mshambuliaji wa zamani wa Barcelona Samweli Etoofu kuanzisha taaluma ya mpira wa miguu nchini. Akiongea jijini Dar es salaam mara baada ya kufika akitokea Misri, Diamond, anayefahamika kama Simba, alisema...
  12. S

    JamiiForums Tanzania Uwanja wa mpira ulioahidiwa kujengwa na Mfalme wa Morocco utajengwa kweli? Na kama utajengwa, utajengwa eneo la Nzuguni kama tulivyoambiwa?

    Tangu ahadi hii itolewa,nadhani sasa ni miezi tisa inakatika huku hakuna kinachoendelea kuhusu ujenzi wenyewe na kwa wale wanaotumia barabara ya Dar-es-Salaam kwenda Dodoma, watakuwa ni mashahidi wazuri kwani lile eneo lilliotengwa kwa ajli ya ujenzi wa uwanja huo liko tu na hamna...
  13. Lexus SUV

    JamiiForums Tanzania Ama kweli mpira wa miguu (kandanda) upo Brazil

    Dah kwa mechi ile ya jana ya FIFA CLUB WORLD CUP 2019, imeonesha kuwa brazil (america ya kusini) ndiyo kitovu , cha mpira wa kandanda aseee , dah jana nilicheki mpaka mwisho nkajisemea , ULAYA MPIRA WAO NI WA PESA TU , KWENDA KUCHUMA HELA .
  14. Last Seen

    JamiiForums Tanzania Mashabiki wa Arsenal tufarijiane hapa

    Habari wana jamvi, Msimu huu Arsenal tuna hali mbaya kuliko Misimu yote iliyopita, Emery alietegemewa kufanya makubwa na kikosi cha Arsenal akakibomoa kikosi kwa migogoro na wachezaji. Alianza kwa mbwembwe za kufika fainali ya Europa hatimaye akala kipigo kitakatifu kutoka kwa timu iliyokuwa...
  15. Z

    JamiiForums Tanzania Mheshimiwa Rais mkono wa CHADEMA umenyooshwa kwa maridhiano, mpira uko kwako

    Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mkono wa Chama Kikuu cha Upinzani Chadema UMENYOOSHWA kwako kwa ajili ya MARIDHIANO. Je, utaupokea au utausukumia mbali!!? Alichosema Mwenyekiti wa Chadema kina umuhimu wa pekee. Upinzani kwa ujumla wake una wanachama na wafuasi kwa mamilioni katika...
  16. Nabii kibonge

    JamiiForums Tanzania Mpira muda mwingine haupo fair, pole Wilfred Ndidi

    Maisha yanaenda kasi sana, juzi tu hapa tumetoka kumskia Wesley Sneidjer akisema anaamini kwamba angeweza kutajwa katika daraja moja na Cristiano Ronaldo pamoja na Lionel Messi kama angekuwa amejituma zaidi. Huyu apa “ Niwe mkweli na nikiri kwamba ningeweza kutajwa katika daraja moja na Ronaldo...
  17. Superbug

    JamiiForums Tanzania Utafiti wangu: Wachambuzi wa mpira hawapendwi na wanawake kinachowalinda ni suti zao tu na muonekano

    Huu ni ukweli mchungu wachambuzi wote wa mpira wa ligi kuu sio maarufu kwa wanawake wala hawawazimii ila kinachowalinda ni urefu wao na suti zao tu. Sababu kuu wanawake wachache wanapenda mpira ila hawauelewi ule uchambuzi wa kitaalamu (professional football analysists) pia wanawake kama wote...
  18. J

    JamiiForums Tanzania Kwa kuweka mpira " kwapani" je CCM inakwenda mbele au inarudi nyuma?

    Katika maisha yangu ya kisiasa sijawahi kushuhudia mgombea wa CCM akimkwepa au kukwepeshwa mpinzani wake hata mara moja kuanzia enzi za chama kimoja hadi vyama vingi. Kuanzia ubunge wa mzee Warioba vs Wassira, enzi za Augustino Lyatonga Mrema vs Abdul Cisco Mtiro hadi msimu wa mzee Malecela vs...
Back
Top Bottom