The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,899
Kuna wakati inabidi tuachane na ushabiki wa wa hizi timu za kariakoo na kukosoa bila ushabiki
Kinachoendelea ni ushamba Na hakipaswi kabisa kushabikiwa.
Simba kujaribu kumchukua Morrison ni ushamba sana.
Yanga kumchukua CEO wa Simba ushamba pia sana, sana.
Hii vita ya kukomoana ushamba mtupu, haisaidii lolote kwenye mpira, sana sana linavunja moyo.
Wachezaji ambao ni decent na loyal kwa timu wanaona kumbe kuhamahama hizi timu ndo unapata hela unayotaka.
Tukemee huu ushamba.
Kinachoendelea ni ushamba Na hakipaswi kabisa kushabikiwa.
Simba kujaribu kumchukua Morrison ni ushamba sana.
Yanga kumchukua CEO wa Simba ushamba pia sana, sana.
Hii vita ya kukomoana ushamba mtupu, haisaidii lolote kwenye mpira, sana sana linavunja moyo.
Wachezaji ambao ni decent na loyal kwa timu wanaona kumbe kuhamahama hizi timu ndo unapata hela unayotaka.
Tukemee huu ushamba.