Mara Paaap nafungua Instagram naambiwa James Bond Amekufa🙆
Uuuuwi jamaan kwanini umekufa weweee
Mwanzilishi wa Sinema za James abond Duniani na Owner WA Copy Right ya James Bond Movies, Dead and Gone today😭
Pumzika Kwa amani ya Bwana na Mimi nitaendelea kukupenda kama Money Penny
Mara Paaap nafungua Instagram naambiwa James Bond Amekufa🙆
Uuuuwi jamaani kwanini umekufa weweee
Mwanzilishi wa Sinema za James abond Duniani na Owner WA Copy Right ya James Bond Movies, Dead and Gone today😭
Pumzika Kwa amani ya Bwana na Mimi nitaendelea kukupenda kama Money Penny
Sikuizi mapenzi ni kusomana sana tena kwa umakini wa hali ya juu, unaweza mpeleka mpenzi wenu kwenu akakuta mambo sivyo na
alivyo kuwa anategemea so tarajia atabadilika mana mategemeo yake ni tofauti na alicho kuta kwenu au kwa ndugu zako
SOMA MCHEZO
Unaweza ukamtambulisha mpenzi wako kwenu...
Nina mpenzi ambaye ananipenda sana (mi nazuga tu kwqmba nampenda, licha ya kwamba Zamani nilikuwa nampenda Sana). Kwa kadiri siku zinavyosonga mbele ndivyo upendo wake kwangu unavyozidi kuongezeka huku wa kwangu ukizidi kuyeyuka na kupoteza kabisa.
Binti wa watu kaacha dini yake kaja kwangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.