mpenzi

  1. Money Penny

    Mpenzi wangu JAMES BOND, naumia Kwa kufa kwako, nilikupenda tangu utotoni

    Mara Paaap nafungua Instagram naambiwa James Bond Amekufa🙆 Uuuuwi jamaan kwanini umekufa weweee Mwanzilishi wa Sinema za James abond Duniani na Owner WA Copy Right ya James Bond Movies, Dead and Gone today😭 Pumzika Kwa amani ya Bwana na Mimi nitaendelea kukupenda kama Money Penny
  2. Money Penny

    Mpenzi wangu JAMES BOND, naumia Kwa kufa kwako, nilikupenda tangu utotoni

    Mara Paaap nafungua Instagram naambiwa James Bond Amekufa🙆 Uuuuwi jamaani kwanini umekufa weweee Mwanzilishi wa Sinema za James abond Duniani na Owner WA Copy Right ya James Bond Movies, Dead and Gone today😭 Pumzika Kwa amani ya Bwana na Mimi nitaendelea kukupenda kama Money Penny
  3. yuda75

    Usikimbilie kumtambulisha mpenzi wako soma kwanza mchezo

    Sikuizi mapenzi ni kusomana sana tena kwa umakini wa hali ya juu, unaweza mpeleka mpenzi wenu kwenu akakuta mambo sivyo na alivyo kuwa anategemea so tarajia atabadilika mana mategemeo yake ni tofauti na alicho kuta kwenu au kwa ndugu zako SOMA MCHEZO Unaweza ukamtambulisha mpenzi wako kwenu...
  4. Bujibuji Simba Nyamaume

    Nitumie dawa gani mpenzi wangu aniache automatically?

    Nina mpenzi ambaye ananipenda sana (mi nazuga tu kwqmba nampenda, licha ya kwamba Zamani nilikuwa nampenda Sana). Kwa kadiri siku zinavyosonga mbele ndivyo upendo wake kwangu unavyozidi kuongezeka huku wa kwangu ukizidi kuyeyuka na kupoteza kabisa. Binti wa watu kaacha dini yake kaja kwangu...
Back
Top Bottom