Kuna msemao mpende akupendae asiyekupenda achana naye
Je, ulishawahi kutumia nguvu na bidii kumuonesha mpenzi wako unampenda sana na unamjali sana lakini yeye akawa hana habari na wewe?
Imetokea tu..mmekutana baa
Wewe meza hii na yeye meza ya pembeni...dj akipiga wimbo gan utamshukuru sana..tena ikiwezekana utaimba kwa sauti/au kucheza kwa madoido
Wapendwa naombeni sijui ushauri au sijui niseme faraja mana hata sielewi mimi ni mdada umri 27 mwaka jana December nilifungua mtandao unaitwa Badoo huko ili nipate marafiki wa kuniliwa kama vile kuchat ikibidi kuonana sikuuchulia seriously Sana'a kwakuwa watu wengi niliobahatika kuchat nao...
Ndugu zangu kwa miaka ya sasa hivi ukihitaj mwanamke wa maisha(future) hakikisha inakupasa umshirikishe Mola wako.
Kwasababu sikuhizi wanawake wengi wameharibika wengi wanafanywa kinyume na maumbile mwanamke ameshakaa geto na mchizi zaidi ya mwezi magetoni jamaa anajilia vyombo na nyumbani kwao...
Upande wangu Mimi miezi tangu miwili iliyopita hadi Leo sijamsikia mpenzi wangu akinitamkia ananipenda wala kuniita darling Bby love zaidi zaidi ya kuniiita jina langu sijui kwanini?
Je, wewe Mara ya mwisho mpenzi wako kukutamkia anakupenda ilikuwa lini?
Dah! Ebwana nimewalatea huu uzi hivi vitu vinatokea eti. Na vimenitokea sana hii ni mara ya pili nakumbuka mara ya kwanza nikiwa na demu wangu alinitambulisha kwa rafiki ake Y, hapo ndipo mambo yalipoanzia, kila siku alinitafuta ooh!! Shem mzima nataka nije nikutembelee mara sijui rafiki yangu...
1. Kwanza niwe mpole na mvumilivu na kukubaliana na hali halisi kuwa nimeachwa.
2. Pili nivute subra kwa muda flani kwanza upite na akili yangu ikae sawa
3. Sijui nafanyaje
Leo ilikuwa ni Birthday ya Girlfriend wangu so nimeamua kwenda kazini kwake kumsurprise.
Nilipofika nikamvizia kwa nyuma nikamziba macho Kisha nikawa nampa mabusu motomoto shingoni, ghafla nikamsikia akisema JOMONI DAVID HAPA TUPO KAZN SI USUBIRI BAADAE.
To cut story mimi naitwa Jeff 😢, hapa...
Kuna mtu unaweza ukakaa nae ukamsikia anakwambia bila uoga na hofu (mimi nilikua mmoja wao katika hao watu) utamsikia anakwambia Mimi unavyoniona hapa sina rafiki/marafiki yani rafiki yangu ni yule mama/baba angu au ni mpenzi wangu au ni huyu mwanangu ndio rafiki yangu.
Mwingine ni...
Habarini wana jamvi. Natumai mko pouwa kabisah.
Kama heading inavyojieleza, hivi ni jambo gani ambalo mpenzi wake alilifanya siri ili wewe usilijue lakini kwa bahati mbaya ukalifahamu, kwa njia nyngne tofauti na yeye kukwambia, na ulichukua uamuzi gani baada ya kulifahamu hilo?
Jamani naombeni ushauri demu wangu alikuja jana Geto ,kimsingi mimi ni mkristo na Yeye ni mwislamu, Mimi natabia ya kununua kilo ya nguruwe na kuitengeneza mwenyewe nyumban kutokana sipendi itengenezwe magengeni au mtaani nje na nyumbani.
Sasa mimi huwa mafuta yanayobaki huwa nayatunza ktk...
Kuna dem alikuwa ananikubali mbaya na kazi zake anafanyia jirani na napoishi nikamuaproach dem akakubali na ni pisi kali sio poa, mwanzo alikuwa anapenda sana kuniita ofisini kila saa mara njoo nikuone usipoenda bac ananuna na vile vile anajua madem wa hapa home wananipenda mno nikaona niwe...
Dodoma. Mshtakiwa katika kesi ya mauaji ya mpenzi wake, Helena Sambo (52) ameieleza Mahakama Kuu Dodoma kuwa siku ya tukio walipeana penzi zito ambalo halijawahi kutokea tangu walipoanza uhusiano wa kimapenzi.
Mshtakiwa huyo alisema hayo katika utetezi wake kwenye kesi ya mauaji namba 160/2017...
Unakuta basi mmegombana huko na mpenzi wako full kununiana hata simu hazipokelewi na ukifika home hamuongeleshani zaidi ya salam.
Sasa siku ya siku umeamua kuomba msamaha au mpenzi wako kakuomba msamaha, hapo mara nyingi mtakumbatiana na kifuatacho huwa ni tendo.
Yani hapo.....
Hebu tiririkeni
nakumbuka kuna manzi wangu mmoja miaka ya 2016 tulikuwa tunapendana sana ila nilivyoona
1.kila siku asubuhi mimi ndio naanzisha good morning na nisipoanzisha mpka inafika saa 5 mchana hajanicheki nilijua huyu sio wangu tena japo naitwa niliopo penzini
2.ikifika usiku najikausha mpaka inafika...
Wanajukwaa la MMU habarini za mapambano dhidi ya magonjwa ya kuambukizwa na yasiyo ya kuambukizwa.
Binafsi huwa nikipata shida na kukopa pesa kwa marafiki huwa nipo faster Sana kurudisha mkopo, bora nipitie kipindi kigumu lakini pesa zirudi....kosa nikipitia niliyomkabidhi shemeji yenu ya...
Wasalaam
Kama kichwa kinavyojishulisha hapo juu wakuu
Miaka miwili hapo nyuma, 2018 , ilikuwa green city nlikutana na pini moja kali chotara ya kimwambao
Huyu mdada alikuwa mrembo kwelikweli, alikuwa na sifa zote isipokuwa sifa moja tu ambayo machotara na watoto hawa kiarabu wanaikosa WOWOWO...
Binafsi haya mambo ya kugandana kila mahali tuko wote, ikitokea tuko ndani basi weekend nzima tupo tu tumegandana mi huwa siwezi kwakweli yani ntajikuta nadanganya kuwa naenda kuangalia mpira ili nipate some space kukaa na mwananmke muda zaidi ya masaa 12 siwezi kabisa.
Sijui wenzangu kwemu...
Awe na sifa zifuatazo:
Umri 20-25
Muislam
Mweupe
Mwenye elimu yeyote
Mchapakazi
Mkazi wa Dar es salaam
Umri wangu 26
Nmejiajiri fundi AC
Naishi Tegeta
Njoo pm kma upo tayari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.