Mpaka sasa moja,moja baada ya maandamano tutajua nan? Anaongoza

Mpaka sasa moja,moja baada ya maandamano tutajua nan? Anaongoza

Kevzy

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2026
Posts
969
Reaction score
1,697
Gent,s

Tutajua baada ya timbwili hiyo 7/7 kama yasemwayo yapo tutajua nan? Anaongoza

Wamaji walichapwa sana na Mh.. mwenda zake, wa awamu ya 3, aliwanyoosha kweli kweli bwana yule na wao waliweka moyoni tu na kujiuliza lini watalipiza kisasi

Si wakajipindua na kujisahaulisha wannchi kavu wakataka kuandamana 0mbilitisa , wamaji wakasema waache hawa wamejifanya wamesahau walivyotunyoosha kipindi kile, wakawa wanawaombea dua msighairi kuandamana mkajiroga mkaandamana , wakawanyoosha kisawa sawa, kisasi ni haki Kikaenda sawa wakawa wamelipiza

Sasa ni moja moja, inasubiriwa mtu ajichanganye apigwe la pili, waandamanaji wakiwaweza wanakuwa wa nchikavu wanaongoza mbili ikitokea wakiandamana na wannchi kavu wakidundwa wanamaji wanakuwa wanaongoza wao mbili moja

Mtanange utakuaje hiyo 7/7

Nitasikitika sana baadhi ya I’d zikiwa hazipo active baada ya maandamano itaniuma sana aisee, tumewazoea ila mapambano ni muhimu sana
 
Ibara ya 20(1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977. Ibara hiyo inasema:

"Kila mtu anastahili kuwa huru, bila ya kuathiri sheria za nchi, kukutana na watu wengine kwa hiari yake na kwa amani, kuchanganyika na kushirikiana na watu wengine, kutoa mawazo hadharani..."

Hii ndiyo ibara inayotambuliwa kama msingi wa kikatiba wa uhuru wa kukusanyika na kuandamana kwa amani nchini Tanzania.
 
“Tunataka kuona katika Taifa hili vijana jeuri na wenye kujiamini , si vijana waoga ,akina ndiyo bwana mkubwa, vijana wenye ujasiri wa kuhoji na kupiga Vita mfumo wa jamii isiyo shabihiana na matakwa na matalajio ya jamii ya Kitanzania. Tunataka vijana waasi dhidi ya mfumo kandamizi, ubwana na ufisadi katika Taifa”.

Mwalimu JK Nyerere.
 
Unapotosha sana.
Hata hivyo, safari hii hakuna boya wala fala wa kuacha familia yake kwenda barabarani kuwasafishia njia ya ulaji wake wa wabelgiji.
 
Ibara ya 20(1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977. Ibara hiyo inasema:

"Kila mtu anastahili kuwa huru, bila ya kuathiri sheria za nchi, kukutana na watu wengine kwa hiari yake na kwa amani, kuchanganyika na kushirikiana na watu wengine, kutoa mawazo hadharani..."

Hii ndiyo ibara inayotambuliwa kama msingi wa kikatiba wa uhuru wa kukusanyika na kuandamana kwa amani nchini Tanzania.
''Bila kuathiri sheria za nchi"
Hiyo ni kanuni ya katiba sasa unaposema wanatakiwa vijana wa vita na jeuri si tayari utaenda kinyume na katiba?
Hapo ndo uhalali wa kudundwa unapokuja.
 
Back
Top Bottom