Kwa wema Gani ulio nao mpaka ukatae kutumia uchawi

Kwa wema Gani ulio nao mpaka ukatae kutumia uchawi

mwehu ndama

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2019
Posts
2,005
Reaction score
7,486
Mijitu mingine hovyo kabisa "utalisikia Mimi siamini katika uchawi". Wakati huohuo linachuki dhidi ya wenzake, lisengenyaji, kahaba lakiume/ lakike, tapeli , jizi , linafiki na lioga likubwa.

Ndio manaa binafsi sinaga huruma na ngozi nyeusi wenzangu, hususani wabongo , yaani ukijaa kwenye mfumo lazima nikufanye msukule ukalime mahindi katavi ndanindani.
 
Uchawi ni utapeli Tu. Mf1 Fikiria people wamegundua vitu kama screen touch, huenda hata huyo mganga unaemuamini anatumia screen touch akiwa anafanya utapeli wake na simu yake ikiharibika anakimbilia kwa fundi speed 180 .

Kila MTU aamini anachotaka, binafsi naamini hakuna ukweli wala uongo kwenye fursa & kila MTU ni fursa kwa mwingine kikubwa timing na location
 
Mijitu mingine hovyo kabisa "utalisikia Mimi siamini katika uchawi". Wakati huohuo linachuki dhidi ya wenzake, lisengenyaji, kahaba lakiume/ lakike, tapeli , jizi , linafiki na lioga likubwa.

Ndio manaa binafsi sinaga huruma na ngozi nyeusi wenzangu, hususani wabongo , yaani ukijaa kwenye mfumo lazima nikufanye msukule ukalime mahindi katavi ndanindani.
🙆
 
Mijitu mingine hovyo kabisa "utalisikia Mimi siamini katika uchawi". Wakati huohuo linachuki dhidi ya wenzake, lisengenyaji, kahaba lakiume/ lakike, tapeli , jizi , linafiki na lioga likubwa.

Ndio manaa binafsi sinaga huruma na ngozi nyeusi wenzangu, hususani wabongo , yaani ukijaa kwenye mfumo lazima nikufanye msukule ukalime mahindi katavi ndanindani.
Mkuu unahitaji huduma ya maombi.
 
Uchawi unaanza taratibu utashtuka siku ukianza kula nyama na kukaa na vichwa vya watu ndani
 
Back
Top Bottom