mmoja

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Hizo propaganda zina mwisho wake mmoja au wawili lazima anywe kikombe

    Kumekuwa na storie niseme propaganda zikiongozwa na mtu mzima Rais wa Marekani huku zikijibiwa kwa vitendo na Iran Wenye akili walishajua kuna mtu alikuwa anajazwa kwenye mfumo naye kajaa kisawasawa kituo kinachofwata Israeli inaenda kufutwa kwenye Uso wa dunia na Marekani atapoteza kambi zake...
  2. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Wabobevu wa maandiko ni nini maana ya kuwa mwilini mmoja?(Mwanzo 2:24)

    Mwanzo 2:24 [24]Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja. Therefore shall a man leave his father and his mother, and shall cleave unto his wife: and they shall be one flesh. Nimeweke na tafsiri ya kiingereza ili ilete maana yenye...
  3. Pakome

    Sio kweli kuwa Fisi mmoja ana jinsia mbili, fahamu ukweli kuhusiana na mkanganyiko huu

    Mkanganyiko huu unasababishwa na Fisi Jike Maumbile ya Fisi Jike Fisi jike ana kisimi kirefu kinachoitwa pseudo-penis ambacho kinafanana sana na uume wa dume. Pia, midomo yake ya uke imejishika na kutengeneza mfuko unaofanana na korodani (pseudo-scrotum) Uzazi Licha ya kuwa na maumbile...
  4. MK254

    Mpaka sasa Iran na makombora yao wamefaulu kuua mama mmoja Israel

    Iran wamerusha makombora kwa nguvu zao zote na kuelekeza kwenye makazi ya raia wa Israel, ila mpaka sasa wamefaulu kuua mama mmoja tu, hata hivyo upande wa Iran hakuna kiongozi aliyesazwa hadi hata yule mzee na lile livazi lake. Inasemakana hata rais wao hayupo, maana kuna maandalizi ya...
  5. A

    KERO Responded Shule ya Msingi Kishangazi (Tanga) ina Mwalimu mmoja, wengine wanashinda tu mtaani

    Mimi ni Mkazi wa Kijiji cha Kishangazi, Kata ya Shaghayu, Wilaya ya Lushoto Mkoani Tanga. Shule yetu ya Msingi Kishangazi, hapa kijijini ina Mwalimu mmoja tu kuanzia chekechea hadi darasa la saba, hivyo tunaomba serikali iliangalie hili. Walimu wameajiriwa lakini hawataki kuingia shuleni...
  6. radhiya

    Plot4Sale Plot For Sale at Mnazi Mmoja

    Plot For Sale at Mnazi Mmoja. - It's 2nd plot on the corner from Bibi Titi road. Location: Aggrey/Jamhuri st. Plot size: SQFT 3010 (SQM 279.64) Price: TZS 2.5B, Negotiable. Document: Title Deed. For more information or to schedule a viewing, kindly contact us. A small viewing fee will apply...
  7. JanguKamaJangu

    ATWOLI: Wanaume mlio na mwanamke mmoja 'Shenzi Zenu'

    Katiku Mkuu wa vyama vya wafanyakazi Kenya - Cetral Organization of Trade Unions Kenya (COTUK)
  8. K

    Tofauti ya Lissu na Samia ni kwamba mmoja wao ni fake!

    Tofauti ya Lissu na Samia ni kwamba mmoja wao ni fake!. Magufuli alipata wafuasi wengi kwasababu hakuwa fake pamoja na mapungufu yake. Lissu naye hajawahi kuwa fake. Mama Samia ndiyo maana halisi ya mtu fake. Mama Samia watanzania wanajua anasema chaguzi zilikuwepo lakini hazikuwepo, ushindi...
  9. Magical power

    Jamaa mmoja alikuwa akifika bar anaagiza bia tatu tofauti safari, castle na kilimanjaro kisha anatafata meza yenye viti vitatu.

    Jamaa mmoja alikuwa akifika bar anaagiza bia tatu tofauti safari, castle na kilimanjaro kisha anatafata meza yenye viti vitatu anakaa nakunywa zile bia moja bada ya nyingine zote tatu nakuondoka. Alirudia hii tabia mara kadhaa ndipo mhudumu wa ile bar akashindwa vumilia ikabidi amuulize...
  10. R

    Mungu siyo mmoja, kuna Mungu wengi. Why?

    Mungu wa CCM na Mungu wa Mwenyekiti wa CCM, siyo sawa na Mungu wa CHADEMA na Lissu. Hawa ni Mungu tofauti. Mungu wa Mafwele, Wambura na Mkunda, Mulilo siyo sawa na Mungu wa wengine. Na inawezekana Mungu wa Waislamu siyo sawa na Mungu wa Wakristo
  11. Dogoli kinyamkela

    Unaweza kuoa mama mwenye mtoto wa mwaka mmoja, halafu miaka 20 baadaye mtoto anakuambia: "Wewe si baba yangu" 🙄😏😏.Mnaotaka kuoa singo maza

    Unaweza kuoa mama mwenye mtoto wa mwaka mmoja, halafu miaka 20 baadaye mtoto anakuambia: "Wewe si baba yangu" 🙄😏😏. Mnaotaka kuoa singo maza kaujumbe hakoo Japo siyo wote ....
  12. Genius Man

    Hoja ya bunge kutaka kumsifia rais halina msingi wowote wala faida kwa wananchi na linaegemea maslahi ya mtu mmoja yasiyo na maana

    Hoja ya bunge kutaka kumsifia rais halina msingi wowote wala faida kwa wananchi na linaegemea maslahi ya mtu mmoja yasiyo na maana. Hizi ndio baba wa taifa anaziita siasa za kimalaya, bunge Tuacheni siasa za kimalaya kusifia mtu hakuwezi kuleta maendeleo kwa wananchi na kuwaondoa kwenye...
  13. JanguKamaJangu

    Una maoni gani kuhusu staili ya kuendesha Bajaji mguu mmoja juu inayofanywa na madereva wa Chuga?

    Askari usalama barabarani wanajitahidi sana kutoa elimu ya Usalama barabarani lakini mara nyingi kama haizingatiwi na wanaonekana kama wanapiga kelele ni vyema hatua zikachukuliwa kuhusu vitendo hivi hii ni maeneo ya barabara ya Ngulelo kuna uendeshaji wa bajaji kunyanyua mguu mmoja na kutembea...
  14. Waufukweni

    Profesa Mkumbo: Pato la mtu mmoja nchini laongezeka karibu mara tatu

    Tathmini ya utekelezaji wa mipango mitatu ya maendeleo ya miaka mitano imebaini mafanikio makubwa ya kiuchumi yaliyopatikana kupitia Mpango Elekezi wa Maendeleo wa Muda Mrefu (LTPP) 2025, hususan kuongezeka kwa pato la mtu mmoja mmoja. Akizungumza Bungeni jijini Dodoma leo Jumatatu, Februari 2...
  15. Meja Jenerali Isamuhyo

    Je huyu ni mmoja ya wasiojulikana?

    Askari huyu anapatikana mkoani Geita maeneo ya Katoro. Askari huyu ana rasta, kimuonekano tu anatumia vitu vikali. Juzi wamemnyakua huyo mwenyekiti wa wachimbajji wadogo wadogo hapo Geita. Huyu na wenzake wakija kukuchukua usiku wanakupoteza bila shida yoyote kwa muonekano tu na roho yake...
  16. Intelligent businessman

    Mwanaume mmoja akamatwa na polisi, kwa tuhuma ya kumbaka mbuzi hadi kumsababishia kifo

    Mwanamume mmoja anayeaminika kuwa na umri wa miaka 40 aliyetambulika kama Mitchell Dopoh amedaiwa kumlawiti Mbuzi na kusababisha kifo cha mnyama huyo. Kulingana na ripoti, uchunguzi wa awali unaendelea kwa sasa, kwani maafisa wa sheria waliopewa eneo hilo bado hawajatoa matokeo rasmi kuhusiana...
  17. ELI COHEN

    Taja ukweli mmoja mchungu kuhusu maisha ambao imebidi ukubaliane nao?

    HAKUNA ATAKAEKUJA KUKUOKOA: Hakuna jambo linaloundwa special kwa ajili yako, hakuna muujiza wa kukuuokoa, hakuna rafiki atakae kung'oa katika hilo pito lako, hakuna malipo ya unyenyekevu wako, hakuna karma ya mateso uliopitia eti uje upate raha. Watu wamegeukwa hadi na baba zao wa kuwazaa, watu...
  18. NostradamusEstrademe

    Kuitwa hili neno sio tusi. Dini zetu zote tupendani tunamuabudu Mungu mmoja tofauti ni njia za kuabudu

    Jana nilikutana na raia mmoja wa Misri akanifafanulia mambo ambayo sikuyajua. Mimi kwa mawazo yangu nilidhani hakuna wakristo Misri ila aliniambia wapo wengi tu japo idadi kubwa ni waislam na yeye mwenyewe ni mkristo. Akaniambia hata Iraq kwenyewe kuna wakristo hata Tariq Azizi aliyekuwa waziri...
  19. Imani rubaba

    🐖 Nguruwe mmoja anaweza kuuzwa hadi Tsh 1,000,000?👉 Unakubali au Unakataa?

    Hiki ni kipande kidogo (teaser) cha Episode ya Kwanza ya podcast yetu mpya SHAMBA TALKS 🎙️. Baada ya kusikiliza madai kutoka kwa wafugaji, sasa tunaingia upande wa kitaalamu— ✔️ Je, kibiashara inawezekana kweli? ✔️ Ni aina gani ya nguruwe? ✔️ Ni ufugaji wa namna gani unaofikisha thamani hiyo...
  20. radhiya

    Plot4Sale Plot For Sale at Mnazi Mmoja

    Plot For Sale at Mnazi Mmoja. - It's 2nd plot on the corner from Bibi Titi road. Location: Aggrey/Jamhuri st. Plot size: SQFT 3010 (SQM 279.64) Price: TZS 2.5B, Negotiable. Document: Title Deed. For more information or to schedule a viewing, kindly contact us. A small viewing fee will apply...
Back
Top Bottom