Mungu mmoja ni lugha ya wanasiasa tu watu wakae kwa amani, umoja na kushirikiana wasivurugane ikawa vigumu kuwatawala.Angelikuwa Mungu ni mmoja, huyu asingeli ruhusu ya 29.10.2025 yatokee. Angelimuogopa Mungu aliyemfumbia mikono kwa unyenyekevu mkubwa!
Fazafaka ni mcha Iblis!Angelikuwa Mungu ni mmoja, huyu asingeli ruhusu ya 29.10.2025 yatokee. Angelimuogopa Mungu aliyemfumbia mikono kwa unyenyekevu mkubwa!
Mungu mkuu wakuabudiwa ni Yehova pekee, Mungu wa Ibrahim,Isaka na Yakobo. Aliyeziumba mbingu na nchi,na vyote vinavyoonekana na visivyoonekana. Anayetawala vyote mbinguni na duniani.Angelikuwa Mungu ni mmoja, huyu asingeli ruhusu ya 29.10.2025 yatokee. Angelimuogopa Mungu aliyemfumbia mikono kwa unyenyekevu mkubwa!