mkopo

  1. B

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Tutaendelea kukopa tumalizie miradi inayoendelea

    Asalam! Rais wa JMT amefafanua kwa kina suala la mikopo ambalo limezua gumzo hasa baada ya Mh. Spika Job Ndugai kubeza suala la ukopaji. Rais ameelezea aina ya mikopo na muda wa ulipaji vs maendeleo yanayotengenezwa. Anasema Tanzania inajipanga kivitendo kuwa kitovu cha biashara kwa ukanda...
  2. Panctuality

    JamiiForums Tanzania Bachelor of accounting and finance (BAF) kupitia diploma in accounting and finance (DAF) as qualification ina mkopo toka HESLB?

    Wazee wa "ceteris peribus" habarini. Bila kuwapotezea muda naomba kujua endapo kama bodi ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu (HESLB) huwa wanatoa mikopo kwa wanafunzi wanaosomea bachelor of accounting and finance mathalani waliopitia diploma ya accounting and finance? Au wanufaika wa mkopo...
  3. Memento

    JamiiForums Tanzania Hadi sasa tumekopa Trillion 8, nashauri tupunguze kasi

    Moja ya vitu ambavyo watu wengi wanapuuzia ni hili suala la mikopo kwa nchi yetu. Lakini hawajui kuwa mikopo hii ndio inayofanya miradi ya Maendeleo. Watu wanafurahia miradi Ila hawajui pesa inatoka wapi. Utawala wa awamu ya 5 ulikopa na taarifa zilitolewa kila mwezi pale BOT lakini hakuna...
  4. C

    JamiiForums Tanzania Mkopo wa dharura unahitajika. Dhamana ni nyumba iliyopo Dar es Salaam

    Ndugu zangu, nimefikiwa na watu wanahitaji shilingi milioni tano (5,000,000) kwa shughuli za kibiashara. Wanasema wako tayari kulilpa mkopo huo kwa riba ya miezi miwili. Nilipowahoji, ili kuwasaidia, wakasema 1) Wanamazao yao ya biashara wanatakiwa kuyaweka sawa na kuyafikisha sokoni kabla...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mkopo wa haraka kutoka kwa mtu binafsi (Dar es Salaam)

    Wadau salaamu, Nahitaji mkopo wa haraka na dharura kutoka kwa mtu binafi wa kiasi cha milioni 2, nitarejesha kwa riba ya 40% baada ya mwezi 1. Dhamana: 1. Gari langu rav4 namba D (nitakabidhi certified copy ya kadi ya gari) 2. Biashara yangu ya bucha (ilioko Bunju B - Mabwepande) Naomba...
  6. A

    JamiiForums Tanzania Mamlaka husika saidieni wanachuo ambao wamepangiwa kupewa Mkopo na hawajapewa

    Ninawasalimia wenzangu wanajukwaa Nimekosa usingizi muda huu nakuamua kutumia fursa hii kufikisha ujumbe wangu. Je mamlaka husika zifahamu kwamba wapo baadhi ya wanachuo hadi mwaka unaisha tangia kufunguliwa vyuo mpaka sasa wapo baadhi ya wanachuo ambao hawajapewa fedha ya kujikimu?. Maswali ya...
  7. Red Giant

    JamiiForums Tanzania Serikali/Mabenki yawe na mkopo special kwaajili ya mwezi wa kwanza.

    Imekuwa ni wimbi wa kila mwaka ifikapo January watu kupiga kelele ukata. Ni wazi kuwa mwezi january uchumi huwa unadorora. Si vizuri kulialia kila mwaka. Serikali/mabenki wangekuja na mkakati wa kutoa mkopo special kwa mwezi january. Kama mtu mshahara wake takehome ni laki sita basi akapeshwe...
  8. Vedasto Leopold

    JamiiForums Tanzania Kupata mkopo online kwa kutumia simu

    Habari zenu wadau. Kama kuna watu wamewahi chukua mkopo online kwa kutumia simu watujuze maana siku hizi matapeli wengi. Kama kuna taasisi za kuaminika kwa njia hiyo mtupe ujuzi.
  9. T

    JamiiForums Tanzania Kuna mwanachuo kaandikiwa taarifa hii hajui kama kapata mkopo au kakosa

    Kwa wanaolewa hapo kapata mkopo au kakosa
  10. K

    JamiiForums Tanzania Yanayoendelea kwenye ujenzi wa Shule na Zahanati wa pesa za mkopo wa IMF

    Habarini wapenda maendeleo. Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa ufupi tu mimi ni mdau katika maendeleo ya nchi yetu na nimekuwa ziarani katika mikoa mbali mbali ya tanzania nakuona muamko wa wadau mbali mbali katika ujenzi wa vituo vya afya na ujenzi wa madarasa...
  11. card78

    JamiiForums Tanzania Mkopo kukua zaidi ya mtaji

    Kumekuwa na ongezeko la uchukuaji wa mkopo kutoka taasisi mbalimbali lakini bado kusimama kiuchumi bila utegemezi wa mkopo umeshindikana. Matarajio ya wengi katika mkopo ni kurudisha mkopo kwa wakati sahihi na kuongeza kiwango cha mkopo baada ya muda nadhani hii imekuwa ni kasumba ya wengi...
  12. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Je, Chanjo ya COVID-19 ilikuwa ni ya kupatia Mkopo? Sisikii tena

    Dr. John Pombe Magufuli was right. Inachukiza na kuumiza kuongea maneno haya sababu sikuwa na upendo kwake. But Ukweli ni kuwa He was Right. COVID-19 (Wabunge wa CDM waliopo Bungeni) ilikuwa ni biashara na itaendelea kuwa biashara. Watu ni kweli wapo waliofariki kwa ugonjwa huo. Sikatai but ni...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Ukweli Kuhusu Deni la Taifa kwa awamu kuanzia ya Tatu.

    Huu ndo ukweli wa mitiririko wa deni la Taifa watu wasiwadanganye. -Awamu ya tatu deni lilikuwa milion 4$ USD. -Awamu ya nne ikatlitoa kutoka milion 4$ mpaka milion 18$ USD -Awamu ya tano imelitoa kutoka milion 18$ USD mpaka 25$ USD _awamu ya Sita imetoa 25$ USD mpaka 28$ USD bado...
  14. Digging deeper

    JamiiForums Tanzania Mkopo kwa Continuos Students huwa unabadilika?

    Nashindwa kuelewa hivi wadau JF ni saidieni hivi kwa continous student mkopo huwa unabadilika maana nimejaribu kuingia kwenye account yangu nakuta mambo tofauti na awali pesa walizoniwekea miaka yote nitofauti kabisa yaani wamepunguza kabisa yapo masifuri je shida hii continous student...
  15. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania Kwako Nape, umeona hela ya mkopo aliyokula Hayati Dkt. Magufuli?

    HELA YA MKOPO ALIYOKULA JPM HII HAPA. Tuliona utendaji wa kuacha alama katika awamu ya tano, tuliona uwajibikaji uliotukuka na kwa hakika Mabadiliko ya kimaendeleo yaligusa kila mmoja wetu, kama uoni basi utashika utagundua Kweli kuna mabadiliko, kama hushiki basi utakanyaga na utagundua...
  16. L

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa Serikali: Riba na bima ya mkopo

    Serikali tangu awamu ya tano haipajandisha mshahara wala kulipa malimbikizo kwa watumishi hata hii ya sita japo inasema wamepandisha lakini ni ongezeko kidogo sana kiasi ambacho hakileti mabadiliko yoyote kwa maisha ya mtumishi japo gharama zinabadilika kila uchao. Pamoja na hayo watumishi...
  17. J

    JamiiForums Tanzania Nape ataka Akaunti ya Deni la Taifa ichunguzwe na iwekwe bayana Fedha hizo zilikopwa na kupelekwa wapi?

    Mbunge wa MTAMA Nape Nnauye amesema deni la Taifa limekuwa kwa kasi sana ndani ya miaka 5 iliyopita na kusema japo Serikali inadai ni himilivu hali sio nzuri Nape ameongeza kuwa Serikali ya awamu ya 5 ilikopa mikopo mingi huku asilimia 40 ya mikopo hiyo ikiwa ni ya kibiashara hivyo kuwa na riba...
  18. Ze Bulldozer

    JamiiForums Tanzania Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi amshukuru Rais Samia Suluhu na IMF

    === Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Hussein Ally Hassan Mwiny amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano Mhe Samia Suluhu Hassan kwa Upambanaji wake kwa Taifa lake la Tanzania na kumtaka aendelee hivyohivyo kuumizwa na umasikini wa watu wake anaowaongoza toka pande...
  19. M

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mkopo wa 2,000,000 kwa dhamana ya kadi ya gari, gari namba D ya karibuni

    Wadau habari za kazi, naweza pata mkopo tajwa hapo juu ndani ya kuanzia miezi sita mpaka mwaka marejesho.
  20. goodhearted

    JamiiForums Tanzania Hii maana yake nini jamani, hapa kuna mkopo au ndiyo basi tena?

    Nimemtumia maombi ya chuo mdogo wangu na hajapewa mkopo kabisa. Sasa najaribu kuapeal napata meseji hii; Sorry!! S.......... is not Eligible for Appeal Because of the following reason(s);- Incomplete Application Form Verification Sasa hapo sijaelewa wanamaanisha nini. Mwenye uelewa...
Back
Top Bottom