Hisia za wananchi mtaani: Kilichomfukuzisha Ndugai ni kuhoji kwake kwa nini Pesa nyingi za mkopo kupelekwa Zanzibar licha ya idadi ndogo ya watu

Missile of the Nation

JF-Expert Member
May 24, 2018
13,489
51,068
Kujiuzulu kwa Ndugai kumeambatana na hisia tofauti za wananchi. Lipo kundi la wananchi libalooamini kuwa kilichomfanya Samia akasirike, kuwa mbogo na kukunjua makucha dhidi ya Ndugai kinyume cha haiba yake ya upole ambayo wananchi wameizoea ni. kutokana na Ndugai kuonyesha mshangao bungeni wa kwa nini takriban shilingi bilioni 230 ambayoni sawa na 17% ya mkopo wote kupelekwa Zanzibar yenye watu wasiofika milioni 2,halafu eti kilichobaki ndo kigawiwe kwa watu milioni moja 58 waliobaki.

Wachambuzi wa Mambo wanasema hilo suala lilimkera Bi Mkubwa na kwa hiyo akawa anatafuta timing tu ya kumla Ndugai kichwa. Watu wanaozungumzia sakata la Ndugai wanasema licha ya mambo mengi mabaya ambayo Ndugai amewahi kutenda, lakini hili suala la kuzungumzia mikopo siyo suala kubwa kivile la kusabanisha rais awe mbogo. Watu wanasema Rais ana Jambo lake, Nalo ni Zanzibar!. Wananchi wanasema ukiigusa Zanzibar, Samia hatokuacha!

Wanaopinga Mihela mingi kwenda Zanzibar wanasema kuwa Zanzibar yenyewe kwa yenyewe hata kama ndiyo iliyokopa kupitia jina la Tanzania, haina uwezo wa kulipa mabilioni yote kwa hiyo at the end of the day Kwenye ulipaji licha ya kuwa ni kweli tutalipa kama nchi, lakini zigo zito litabebwa na watanganyika.

watu wanahoji kuwa, Zanzibar ambayo bajeti yake haijawahi kufika Trillion mbili, yenye kudaiwa deni la Umeme miaka nenda rudi, itapata wapi pesa za kulipa shilingi bilioni 230 kama hilo deni siyo zigo litakalobebwa na watanganyika?

Wapo wanaotetea mabilioni mengi ya idadi hiyo kwenda Zanzibar kwa hoja kuwa Zanzibar ni nchi, hata hivyo watu hao wanajibiwa kuwa Zanzibar kuwa nchi hskumfanyi Mzanzibar astahili zaidi kuliko mtanzania mwingine yeyote.

Wananchi hasa mitandaoni, wamekuwa wakijadili aina ya muungano wetu na kupendekeza ufanyiwe marekebisho. Watu wanahoji, Kwa nini Mranganyika hana power juu ya mambo ya ndani ya Zanzibar yasiyo ya muungano, lakini Mzanzibar anaweza kuwa Mtawala ambaye ana amri juu ya mambo ya Tanganyika yasiyo ya Muungano?

Kujiuzulu kwa Ndugai na namna alivyojiuzulu kumeibua hisia kali na mijadala mikali mitandaoni. Ngoja tuone hili sakata litaelekea wapi!
 
Pamoja na mabaya yote ya Ndugai kaika timua timua ya wabunge wa upinzani pale mjengoni, kutuletea covid-19 MPs mjengoni kwa hili tunasimama nae kuitetea nchi na wananchi wake.
Atake asitake JN bado ni spika tuko nyuma yake.
🐒🐒🐒🐒🐒🐒🐒😂😂😂😂
 
Kujiuzulu kwa Ndugai kumeambatana na hisia tofauti za wananchi. Lipo kundi la wananchi libalooamini kuwa kilichomfanya Samia akasirike, kuwa mbogo na kukunjua makucha dhidi ya Ndugai kinyume cha haiba yake ya upole ambayo wananchi wameizoea ni. kutokana na Ndugai kuonyesha mshangao bungeni wa kwa nini takriban shilingi bilioni 230 ambayoni sawa na 17% ya mkopo wote kupelekwa Zanzibar yenye watu wasiofika milioni 2,halafu eti kilichobaki ndo kigawiwe kwa watu milioni moja 58 waliobaki.

Wachambuzi wa Mambo wanasema hilo suala lilimkera Bi Mkubwa na kwa hiyo akawa anatafuta timing tu ya kumla Ndugai kichwa. Watu wanaozungumzia sakata la Ndugai wanasema licha ya mambo mengi mabaya ambayo Ndugai amewahi kutenda, lakini hili suala la kuzungumzia mikopo siyo suala kubwa kivile la kusabanisha rais awe mbogo. Watu wanasema Rais ana Jambo lake, Nalo ni Zanzibar!. Wananchi wanasema ukiigusa Zanzibar, Samia hatokuacha!

Wanaopinga Mihela mingi kwenda Zanzibar wanasema kuwa Zanzibar yenyewe kwa yenyewe hata kama ndiyo iliyokopa kupitia jina la Tanzania, haina uwezo wa kulipa mabilioni yote kwa hiyo at the end of the day Kwenye ulipaji licha ya kuwa ni kweli tutalipa kama nchi, lakini zigo zito litabebwa na watanganyika.

watu wanahoji kuwa, Zanzibar ambayo bajeti yake haijawahi kufika Trillion mbili, yenye kudaiwa deni la Umeme miaka nenda rudi, itapata wapi pesa za kulipa shilingi bilioni 230 kama hilo deni siyo zigo litakalobebwa na watanganyika?

Wapo wanaotetea mabilioni mengi ya idadi hiyo kwenda Zanzibar kwa hoja kuwa Zanzibar ni nchi, hata hivyo watu hao wanajibiwa kuwa Zanzibar kuwa nchi hskumfanyi Mzanzibar astahili zaidi kuliko mtanzania mwingine yeyote.

Wananchi hasa mitandaoni, wamekuwa wakijadili aina ya muungano wetu na kupendekeza ufanyiwe marekebisho. Watu wanahoji, Kwa nini Mranganyika hana power juu ya mambo ya ndani ya Zanzibar yasiyo ya muungano, lakini Mzanzibar anaweza kuwa Mtawala ambaye ana amri juu ya mambo ya Tanganyika yasiyo ya Muungano?

Kujiuzulu kwa Ndugai na namna alivyojiuzulu kumeibua hisia kali na mijadala mikali mitandaoni. Ngoja tuone hili sakata litaelekea wapi!
upole upi unaongolea?
acheni kumpakazia mtu mambo asiyopenda.
 
Kujiuzulu kwa Ndugai kumeambatana na hisia tofauti za wananchi. Lipo kundi la wananchi libalooamini kuwa kilichomfanya Samia akasirike, kuwa mbogo na kukunjua makucha dhidi ya Ndugai kinyume cha haiba yake ya upole ambayo wananchi wameizoea ni. kutokana na Ndugai kuonyesha mshangao bungeni wa kwa nini takriban shilingi bilioni 230 ambayoni sawa na 17% ya mkopo wote kupelekwa Zanzibar yenye watu wasiofika milioni 2,halafu eti kilichobaki ndo kigawiwe kwa watu milioni moja 58 waliobaki.

Wachambuzi wa Mambo wanasema hilo suala lilimkera Bi Mkubwa na kwa hiyo akawa anatafuta timing tu ya kumla Ndugai kichwa. Watu wanaozungumzia sakata la Ndugai wanasema licha ya mambo mengi mabaya ambayo Ndugai amewahi kutenda, lakini hili suala la kuzungumzia mikopo siyo suala kubwa kivile la kusabanisha rais awe mbogo. Watu wanasema Rais ana Jambo lake, Nalo ni Zanzibar!. Wananchi wanasema ukiigusa Zanzibar, Samia hatokuacha!

Wanaopinga Mihela mingi kwenda Zanzibar wanasema kuwa Zanzibar yenyewe kwa yenyewe hata kama ndiyo iliyokopa kupitia jina la Tanzania, haina uwezo wa kulipa mabilioni yote kwa hiyo at the end of the day Kwenye ulipaji licha ya kuwa ni kweli tutalipa kama nchi, lakini zigo zito litabebwa na watanganyika.

watu wanahoji kuwa, Zanzibar ambayo bajeti yake haijawahi kufika Trillion mbili, yenye kudaiwa deni la Umeme miaka nenda rudi, itapata wapi pesa za kulipa shilingi bilioni 230 kama hilo deni siyo zigo litakalobebwa na watanganyika?

Wapo wanaotetea mabilioni mengi ya idadi hiyo kwenda Zanzibar kwa hoja kuwa Zanzibar ni nchi, hata hivyo watu hao wanajibiwa kuwa Zanzibar kuwa nchi hskumfanyi Mzanzibar astahili zaidi kuliko mtanzania mwingine yeyote.

Wananchi hasa mitandaoni, wamekuwa wakijadili aina ya muungano wetu na kupendekeza ufanyiwe marekebisho. Watu wanahoji, Kwa nini Mranganyika hana power juu ya mambo ya ndani ya Zanzibar yasiyo ya muungano, lakini Mzanzibar anaweza kuwa Mtawala ambaye ana amri juu ya mambo ya Tanganyika yasiyo ya Muungano?

Kujiuzulu kwa Ndugai na namna alivyojiuzulu kumeibua hisia kali na mijadala mikali mitandaoni. Ngoja tuone hili sakata litaelekea wapi!
Inawezekana kweli ila kilichomfukuzisha siyo hicho alichohoji bali ni maovu yake nje na ndani ya Bunge. Yaani mioyo ya wale wote ambao wameumizwa na yeye akiwepo aliyepigwa rungu kule ndani ndani Kongwa na wengineo wengi ndani na nje ya chama chake majibu ya maovu yake yamejibiwa kwa kivuli cha mikopo ya serikali na si vingine.

Hiyo hoja yake ingetolewa mtu muadilifu angeungwa mkono na asingeshambuliwa vile.
 
Kwani wakati mali za umma zinakimbizwa Chato watu si walitetea kwa nguvu kuwa ni sawa sasa hao hao wana guts zipi za kuhoji aina ileile ya tabia ya kiongozi mpya? It is nonsense mimi nilishajisemea Muungano ufe kila mtu apambane kivyake tu kuliko kila siku vilawamalawama kama watoto.
Leo wazanzibar wanashangilia kesho utasikia mayowe yao na wao bahati yao ni kwamba watanganyika hawajitambui tu laiti watanganyanyika wakijitambua kama wazanzibar juu ya nchi yao naamini Muungano utavunjika tu
 
Kwani wakati mali za umma zinakimbizwa Chato watu si walitetea kwa nguvu kuwa ni sawa sasa hao hao wana guts zipi za kuhoji aina ileile ya tabia ya kiongozi mpya? It is nonsense mimi nilishajisemea Muungano ufe kila mtu apambane kivyake tu kuliko kila siku vilawamalawama kama watoto.
Leo wazanzibar wanashangilia kesho utasikia mayowe yao na wao bahati yao ni kwamba watanganyika hawajitambui tu laiti watanganyanyika wakijitambua kama wazanzibar juu ya nchi yao naamini Muungano utavunjika tu
Zanzibar n nchi unapochukua mali za Tanganyika unazipeleka Zenj
tukigawana mbao watazirudisha?
Chato ni sehemu ya Tanganyika.
 
Kujiuzulu kwa Ndugai kumeambatana na hisia tofauti za wananchi. Lipo kundi la wananchi libalooamini kuwa kilichomfanya Samia akasirike, kuwa mbogo na kukunjua makucha dhidi ya Ndugai kinyume cha haiba yake ya upole ambayo wananchi wameizoea ni. kutokana na Ndugai kuonyesha mshangao bungeni wa kwa nini takriban shilingi bilioni 230 ambayoni sawa na 17% ya mkopo wote kupelekwa Zanzibar yenye watu wasiofika milioni 2,halafu eti kilichobaki ndo kigawiwe kwa watu milioni moja 58 waliobaki.

Wachambuzi wa Mambo wanasema hilo suala lilimkera Bi Mkubwa na kwa hiyo akawa anatafuta timing tu ya kumla Ndugai kichwa. Watu wanaozungumzia sakata la Ndugai wanasema licha ya mambo mengi mabaya ambayo Ndugai amewahi kutenda, lakini hili suala la kuzungumzia mikopo siyo suala kubwa kivile la kusabanisha rais awe mbogo. Watu wanasema Rais ana Jambo lake, Nalo ni Zanzibar!. Wananchi wanasema ukiigusa Zanzibar, Samia hatokuacha!

Wanaopinga Mihela mingi kwenda Zanzibar wanasema kuwa Zanzibar yenyewe kwa yenyewe hata kama ndiyo iliyokopa kupitia jina la Tanzania, haina uwezo wa kulipa mabilioni yote kwa hiyo at the end of the day Kwenye ulipaji licha ya kuwa ni kweli tutalipa kama nchi, lakini zigo zito litabebwa na watanganyika.

watu wanahoji kuwa, Zanzibar ambayo bajeti yake haijawahi kufika Trillion mbili, yenye kudaiwa deni la Umeme miaka nenda rudi, itapata wapi pesa za kulipa shilingi bilioni 230 kama hilo deni siyo zigo litakalobebwa na watanganyika?

Wapo wanaotetea mabilioni mengi ya idadi hiyo kwenda Zanzibar kwa hoja kuwa Zanzibar ni nchi, hata hivyo watu hao wanajibiwa kuwa Zanzibar kuwa nchi hskumfanyi Mzanzibar astahili zaidi kuliko mtanzania mwingine yeyote.

Wananchi hasa mitandaoni, wamekuwa wakijadili aina ya muungano wetu na kupendekeza ufanyiwe marekebisho. Watu wanahoji, Kwa nini Mranganyika hana power juu ya mambo ya ndani ya Zanzibar yasiyo ya muungano, lakini Mzanzibar anaweza kuwa Mtawala ambaye ana amri juu ya mambo ya Tanganyika yasiyo ya Muungano?

Kujiuzulu kwa Ndugai na namna alivyojiuzulu kumeibua hisia kali na mijadala mikali mitandaoni. Ngoja tuone hili sakata litaelekea wapi!
Umeenda kumuangalia Mbowe gerezani Leo?
 
Ndugai hana uwezo wa kiakili kuweza kuhoji mambo kama hayo. Spika mwenye akili na anayejielewa asingeweza hata kuentertain yale mambo ya "Magufuli atawale milele atake asitake" kule bungeni, sembuse uwezo wa kuhoji mgawanyo wa fedha kati ya bara na Zanzibar?
 
1. Mgao wa Zanzibar
2. Issue ya Ikulu mbili: Dar & Dodoma
3. Matumizi mabaya ya mali na fedha za serikali
4. Ukopaji holela usiozingatia mantiki na maadili
5. 2025
1. Zanzibar ni sehemu ya Tanzania.

2. Kwa miaka zaidi ya 100 ikulu imekuwepo Dar es Salaam tangu mkoloni hadi sasa!

3. Matumizi mabaya ya mali ya umma ilikuwa kujenga uwanja wa kimataifa Chato tena Kwa kampuni mali ya familia ya mwendazake

Matumizi mabaya Pia ilikuwa ni matibabu ya Ndugai india yaliyotumia bil 2

4. Ukopaji holela ulifanyika Awamu ya Tano huku tukidanganywa kuwa zinatumika fedha za ndani kumbe ni uongo na Ndugai alikuwa kimya

5. Kwa kuangalia 2025 Ndugai na wenzake Sukuma gang waliandaa kikundi cha kum sabotage Rais
 
1. Zanzibar ni sehemu ya Tanzania.

2. Kwa miaka zaidi ya 100 ikulu imekuwepo Dar es Salaam tangu mkoloni hadi sasa!

3. Matumizi mabaya ya mali ya umma ilikuwa kujenga uwanja wa kimataifa Chato tena Kwa kampuni mali ya familia ya mwendazake

Matumizi mabaya Pia ilikuwa ni matibabu ya Ndugai india yaliyotumia bil 2

4. Ukopaji holela ulifanyika Awamu ya Tano huku tukidanganywa kuwa zinatumika fedha za ndani kumbe ni uongo na Ndugai alikuwa kimya

5. Kwa kuangalia 2025 Ndugai na wenzake Sukuma gang waliandaa kikundi cha kum sabotage Rais
Siku tukigawana mbao na Zenji, Tanganyika itarudishaje mali na mikopo iliyoenda Zenj?
Au ndio ya Kenya Kuhodhi mali za EAC baada ya kuvunjika.
Chato ni geita ina produce dhahabu na mpaka saivi kuna route za kwenda huko kila wiki.
uwanja umetumia bil 40 tu.
 
Back
Top Bottom