Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
Ni suala ambalo watanzania bado linawaumiza kichwa maana kwa tozo tunazokamuliwa alafu tukaambiwa na Ummy Mwalimu kuwa tozo zinatumika kujenga madarasa, zahanati vituo vya afya na kununua vifaa tiba.
Ghafla bin vuu tukasikia ili kukabiliana na uhaba wa madarasa mkopo wa Uviko upatao tril 1.3 umekopwa na madarasa yatajengwa, kweli yamejengwa. Lakini je tril 1.3 zote zimetumika kujengea madarasa?
Wastani wa darasa moja kwa forced account ni mil 35 za kitanzania. Sasa je kwa kata moja zimetumika mil ngapi? Je tril 1.3 ndio zote zimetumika kwa huu ujenzi wa madarasa?
Je, ndio ule usemi umetimia kuwa bunge letu ni dhaifu?
Ghafla bin vuu tukasikia ili kukabiliana na uhaba wa madarasa mkopo wa Uviko upatao tril 1.3 umekopwa na madarasa yatajengwa, kweli yamejengwa. Lakini je tril 1.3 zote zimetumika kujengea madarasa?
Wastani wa darasa moja kwa forced account ni mil 35 za kitanzania. Sasa je kwa kata moja zimetumika mil ngapi? Je tril 1.3 ndio zote zimetumika kwa huu ujenzi wa madarasa?
Je, ndio ule usemi umetimia kuwa bunge letu ni dhaifu?