Panctuality
JF-Expert Member
- Jun 11, 2019
- 726
- 1,044
Wazee wa "ceteris peribus" habarini.
Bila kuwapotezea muda naomba kujua endapo kama bodi ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu (HESLB) huwa wanatoa mikopo kwa wanafunzi wanaosomea bachelor of accounting and finance mathalani waliopitia diploma ya accounting and finance? Au wanufaika wa mkopo huo ni fresh from school only?
Ninatumaini kupata ufumbuzi toka kwenu,ahsanteni.
Bila kuwapotezea muda naomba kujua endapo kama bodi ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu (HESLB) huwa wanatoa mikopo kwa wanafunzi wanaosomea bachelor of accounting and finance mathalani waliopitia diploma ya accounting and finance? Au wanufaika wa mkopo huo ni fresh from school only?
Ninatumaini kupata ufumbuzi toka kwenu,ahsanteni.