Habari Wana JF ,poleni na majukumu ya kila siku ili mkonouinhie kinywani.
Samahani kwa wazo langu hili .
Natafuta mke wa kuoa Mwenye umri wa miaka 25-40,Dini yeyote,kabila lolote.
Sifa zangu
Naitwa Florian Mwenye umri wa miaka 38,Naishi tabora,kabila ni mnyamwezi. Nipo serious natafuta mke...