mke

The MPT (stands for Turkish: Millî Piyade Tüfeği, English: National Infantry Rifle) is a modular rifle family designed by MKEK and produced by MKEK, Sarsılmaz Arms and Kalekalıp to meet the demands of the Turkish Armed Forces and to replace its aging rifles such as Heckler & Koch G3 and Heckler & Koch HK33 due to most of them being near the end of their service life. The MPT was designed for robust high altitude, all weather combat, capable of functioning in extreme hot and cold weather. The MKEK MPT is a rifle intended to take abuse and extreme mistreatment and still maintain high accuracy and reliability in order to survive in true battle environments. The Turkish government has invested US$22 million into the project.It made its first public appearance at the Eurosatory 2014, ADEX 2014 and the MSPO 2014 events.

View More On Wikipedia.org
  1. Desierto

    Vipi hapo ulipo umeoa mke au umeoa mke na familia nzima

    Kwa bahati mbaya kuna watu badala ya kuoa mke ila wanajikuta wanahudumia mke na familia nzima yaani hii ni utake hsitake. Hasa ukiaa muoga kuaachana wanahamiavwote kwako.
  2. Kisesetusese

    Hii mke akiona atachukulia sisi wote ni mbwa.

    Katika maisha nilikutana na bek3 wengi niliokula na sasa na umri huu yananitokea haya
  3. Sigonella Island

    Madhara ya kuzini na mke au mume wa mtu

    Nimeshuhudia ndoa zikivunjika kwa tatizo la uzinifu baina ya mke au mume wa mtu. Na madhara makubwa huenda hasa kwa watoto ambao hawahusiki na kosa la mzazi mzinifu. Mzinifu wa kike unatakiwa utambue ukiachika sehemu za Siri zitaenda kuumia na kuchakaa zaidi huko mtaani kuliko hapo kwa mumeo...
  4. tpaul

    Je, ungekuwa wewe mke au mume ungefanyaje?

    Kama clip inavyojieleza, ungekuws wewe ndiye mke au mume ungefanyaje ukitokewa na hali kama hii?
  5. Waufukweni

    Mke wa Prof. Janabi alivyosimamishwa Wabunge wamuone

    Wabunge wameibua shangwe baada ya kutambulishwa kwa Profesa Mohamed Janabi, Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika, pamoja na Dk Magdalena Lyimo, mjane wa Dk Faustine Ndugulile. Tukio hilo limefanyika leo Juni 2, 2025, wakati wa kikao cha Bunge jijini Dodoma, wakati Waziri...
  6. S

    Nahitaji mchumba tukiridhiana aje awe mke

    Mimi ni kijana umri 33 Rangi black Mrefu wastani Nahitaji mwanamke mtulivu aje awe mpenzi tukiridhiana aje awe mke. Makazi yangu dsm
  7. kp kipanya44

    Niachaba na aliyekuwa mke wangu..,tulikuwa na watoto wawili,naombeni ushauri

    Mods naomba heading isomeke nimeachana na .. Naam wapendwa, naombeni ushauri wenu tafadhari.., niliachana aliyekuwa mke wangu hambaye tulizaa watoto wawili baada ya kufanyiana matukio mazito ya kutosha., aliniachia watoto wawili, mmoja ana miaka 2 na mwingine ana miaka 4 ,kimsingi ni wadogo...
  8. Miss Natafuta

    Mume watoto watatu nje mke mmoja

    Kuna rafiki yangu ameniomba ushauri nimekosa cha kumshauri Yeye ana mtoto mmoja ni single maza.kapata mwanaume ana watoto 3 .boys Anataka wafunge ndoa kabisa. Sasa anawaza Bora apambane na mwanae mmoja au Bora aolewe akapambane na WA nne? Uchumi WA jamaa ni WA Kati na yeye mwanae analea...
  9. SankaraBoukaka

    Bila Mchepuko, Ndoa Nyingi za Sasa ni Ngumu Kudumu – Unahitaji “Catalyst” ya Mahusiano

    Kwa mtazamo wa sasa juu ya ndoa na mahusiano ya kimapenzi, kuna ukweli mchungu ambao wengi hawataki kuukubali hadharani: bila mchepuko, ndoa nyingi za siku hizi hazidumu kwa amani wala furaha. Kabla hujanihukumu au kunishambulia, tafadhali nielewe vizuri. Sipromoti usaliti, bali najaribu...
  10. Y

    Mke wa bakabaka amekubali ofa ya kwenda out

    Hodi jukwaa la malavidavi. Nipo zangu kijiwe na mwanangu mmoja hivi ghafla anapigiwa simu na jamaa yake, Mazungumzo yao ni kwamba, mke wa bakabaka amekubali ofa ya kwenda out kwenye makulakula na manyamanyama, akisisitiza kuwa bakabaka amesafiri kwenda Dodoma na anarudigi mwisho wa wiki...
  11. kyagata

    Mke wa mtu kaniomba tukapumzike Zanzibar weekend hii.

    Habari zenu Kuna mchepuko wangu ni mke wa mtu,sasa kazini kwao weekend hii wanatakiwa kwenda training somewhere huko arusha ila yeye kaniambia hatoenda huko kwenye hiyo training instead kaniambia twende zetu zanzibar tukale raha. Nikubali au nikatae wakuu?
  12. kuntakinte9320

    Natafuta mke

    Habari wakuu,natafuta mwanamke umri kuanzia 28 mpk 35 asiwe na mtoto maana silei mbegu ya mtu kazi yangu ni daktari(MD)kwenye moja ya hospitali za rufaa hapa Dar alie interested aje inbox.ahsanteni
  13. Daby

    Je, ingekuwaje kama Rais Macron angemsukuma mke wake?

    Katika masuala ambayo huwa siyaelewi ni hili. Huu ni mfano mmoja tu kuwa wanaume tunapitia mengi chini ya mapaa ya nyumba zetu wenyewe. Wanaume wanaopigwa na wake zao sio wengi saana lakini wanaume wanaokuwa verbally, emotionally na psychologically abused/tortured na wanawake ni wengi saana...
  14. W

    Ni hatua zipi za kuchukua kupunguza upotevu wa mali kwa mzazi mwenye mashamba na nyumba nyingi lakini hashirikishi mke wala watoto ?

    Sio lazima arithishe familia yake, Tatizo hashirikishi hata ndugu zake. Ni kwa lengo la kupunguza upotevu wa mali, Matapeli kujimilikusha vitu kiholela, n.k. Wala hakuna ugomvi familia inaishi vizuri lakini unakuta mzee hataki kabisa kuzungumzia ishu za mali, Mali mnazijua kupitia watu...
  15. Small letter

    CHAUMMA hata ikipata viti viwili maalum vya Ubunge vitakuwa vya Mke wa Mwalimu na Kigaila akina mama wengine pambaneni Kwa tahadhari

    Yale ya COVID 19 kule CHADEMA ni ngumu kutokujirudia huko CHAUMMA, Wanawake mnakwenda CHAUMMA Kwa malengo ya viti maalum fanyeni hivyo Kwa tahadhari Sehemu sahihi ni CCM tu.
  16. ELI COHEN

    KITAA INTELEJENSIA: Wanaoongoza kula wake za watu.

    1: Doctors 2: Marafiki wa mitandaoni 3: Headmasters/Mwalimu wa mwanao 4: Boda Boda 5: Boss wake kazini 6: Garden boys 7: Graduate alieko kitaa muda wote 8: Mfanyakazi mwenzio 9: Mpangaji mwenzio/Jirani 10: Wachungaji/Manabii feki/Mashehe ubwabwa 11: Wauzaji dukani
  17. dorge

    Ukweli kuhusu maisha yangu na mke wangu. Mimi ni muislam

    Ukweli. Baada ya mzee magu kutangulia mbele ya haki kipato kiliyumba. Ukweli ni kwamba mzee yule alimuweka kila msomi na mtumishi alipostahili. Nilimpata nafasi ofisi ya umma yenye kipato na posho za wastan. Wife alifurahia maisha, anapoona hali sio nzr anakuwa hayuko kwenye Ibada, hali ikiwa...
  18. Ngongo

    Mke wa Mrisho Gambo aondolewa uafisa elimu

    Heshima sana wanajamvi. Vita ya ubunge Arusha baina ya Gambo na Makonda vyazidi kupamba moto. Mkutano wa Mbunge Gambo Soko Kuu Arusha ambao kwa kiasi kikubwa ulitumika kumnanga Makonda umeanza kuzaa matunda. Mke wa Gambo Afisa elimu alipanda jukwaa na kumtetea mume wake Gambo. Kitendo hicho...
  19. KyemanaMugaza

    Mke jeuri

    kuna ndugu yangu analalamika hana maelewano mazuri na majirani zake kisa mkewe yaani mkewe amekuwa mtu wa vituko mara kamchamba jirani huyu mara kamuona huyu katema mate mara kesi ya kutupa taka hovyo ,imefikia akipika mayai anatupa maganda mlangoni kw jirani kifupi ni mtu wa shari Anaomba...
  20. stakehigh

    Sheria gani inaweza tumika kumhukumu mke wa huyu jamaa?

    https://www.tiktok.com/@samonsojuri68/video/7504665112372956447
Back
Top Bottom