mjue

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. kitonsa

    Polisi yapiga marufuku maandamano ya UVCCM ya kuunga mkono Serikali yaliyokuwa yafanyike Julai 18, 2023

    Polisi Tanzania wametoa taarifa kuwa maandamano yaliyopangwa kufanyika na UVCCM nchi mzima hayataruhusiwa. Wametoa sababu kuwa kufanya hivi kunaweza kusababisha taaruki kwenye jamii. My take, Hii Ni mbinu zilizopangwa kati ya uvccm na vyombo ya ulinzi, ili kupata sababu ya kumzuia mwamba...
  2. R

    Dr. Slaa: Waandishi wa habari someni mjue mikutano inahusu nini kabla hamjaenda kwenye mikutano

    Dr. Slaa awaambia Waandishi wa habari wafanye uchunguzi kujua mikutano wanayoenda kuhudhuria kutazungumzwa nini kabla ya siku ya tukio ili wasiende kuwa watu ambao hawana maana kwa kushindwa kupeleka ujumbe unaotakiwa kwa wananchi. Dr. Silaa alisema hayo baada ya mwandishi wa habari kumwambia...
  3. M

    Mjue Prigozhin, Myahudi aliyemtetemesha Vladmir Putin

    Huyu ni mfungwa wa Zamani, aliyekaa Jela kwa miaka 9 kuanzaia miaka ya 1980,s mpaka miaka ya 1990 alipoachiwa kutokana na purukushani za kuvunjika kwa Umoja wa Kisoviet. ---------------------------------------------------------------------------------------------------- Bwana Prigozhin alizaliwa...
  4. Bujibuji Simba Nyamaume

    Mjue James Hardley Chase, Mwandishi maarufu wa Vitabu vya Riwaya

    Mjue james Hardley Chase, kipenzi cha wapenda riwaya za kusisimua, aliyehamasisha wengi kupenda utamaduni wa kusoma vitabu na ung'eng'e Taja jia la James Hadley Chase na wahenga wenzangu wengi watakuambia huyo alikuwa ni mmoja wa waandishi maarufu sana wa riwaya za kusisimua wa wakati huo, na...
  5. Ashampoo burning

    Mama Sinyali Boss la Kariakoo

    Huyo Mama Sinyali anayetrend ni mama mwenye hela za zake japo zimepungua kidogo. Ni rafiki mkubwa wa Davis Mosha pamoja na mtoto wa Rais Mstaafu awamu ya nne. Narudia tena huyo mama ni alikuwa na hela sasa hivi zimeshuka kidogo halafu ni mafia, mtoto wa mjini hasa, siwezi kuandika mengi ila...
  6. KING MIDAS

    Mjue Rais wa zamani wa Haiti, François "Papa Doc" Duvalier aliyewahi kuwa mchawi kuliko Marais wote Duniani

    KUMBUKUMBU: JE, WAJUA? KWAMBA HAITI NDILO TAIFA LINALOSEMEKANA KUONGOZA KWA UCHAWI DUNIANI? Rais wa zamani wa Haiti, Dikteta François "Papa Doc" Duvalier, aliyechaguliwa na wananchi wa taifa hilo kuwa rais wa 32 wa Jamhuri ya Haiti, kuanzia mwaka 1957 hadi mwaka 1971, anasemekana kuwa mchawi...
  7. Justine Marack

    Mjue Maxwell Chikumbutso: Mgunduzi wa Zimbabwe ambaye Marekani imemchukua

    Amegundua TV isiyotumia umeme wa kawaida au solar. Amegundua Generator isiyotumia mafuta. Amegundua Helicopters na Magari ya umeme usio wa kawaida. Alianza kufanya majaribio ya kisayansi tangu mwaka 1997 ambapo alifanikiwa kuunda vifaa kama transmitter na vifaa vingine ambavyo alivipeleka...
  8. Mganguzi

    UDSM utaratibu wa utoaji vyeti kwa wahitimu ni sifuri mjue kuna vijana hawana ndugu hapa Dar

    Hili jambo limenisikitisha sana kama si kunifedhehesha utaratibu wa kutoa vyeti ni wa hovyo kabisa!! Vijana wametoka mikoani na wanawahi ku apply ajira ajabu tangia jumatatu mpaka Leo hawajapata vyeti, wengi wao hawana ndugu hapa Wala pesa ya kujikimu hawajui watalala wapi Kila siku wanapanga...
  9. The Assassin

    Mjue Steve Ndaula, mmiliki wa kampuni ya BMC iliyowatapeli watu zaidi ya Sh. Bilioni 16 kisha kukimbilia Dubai

    Bwana Steve Ndaula ni kijana mdogo ambae alianzisha kampuni ya upatu/pyramid scheme ya Bestways Capital Management ambayo imewatapeli watu zaidi ya Sh. Bilioni 16 na kisha akakimbilia Dubai. Steve alisoma chuo cha IMTU fani ya Udaktari kuanzia mwaka 2012 hadi 2017. Mwaka 2016, mwaka mmoja...
  10. KING MIDAS

    Mjue Judith Mhina, mwanamama aliyetaka kuinunua Vingunguti na Buguruni Mnyamani kabla hajazuiwa na Hayati Magufuli

    Judith Mhina ni mkurugenzi wa makampuni ya PMM 2001 ESTATES LTD ambayo yanamiliki utitiri wa majumba na majengo Msasani, Mikocheni, Oysterbay na Masaki. Pia anamiliki eneo kubwa sana la bandari kavu Vingunguti Nyerere Road. Mama huyu alitaka kununua Vingunguti yote na Buguruni Mnyamani ili...
  11. Idd Ninga

    Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

    MAMBAS ni aina ya nyoka wakali wapatikanao ktk dunia ya leo. Ni nyoka wenye sumu kali na wenye kasi ktk mwendo na wana sifa ya kutaga mayai (oviparous). Kuna aina mbili za mambas : 1. GREEN MAMBAS. 2. BLACK MAMBAS. Green mamba wanasumu aina ya NEUROTOXIC na HAEMOTOXIC. Wanaishi miaka 12 hadi...
  12. Replica

    Mjue Benard Madoff, mtu aliyeendesha 'ponzi scheme' kubwa zaidi duniani mpaka kupelekea kutoaminika kwa 'Wall Street'

    Ponzi scheme inafanana na DECI tofauti yake yenyewe inafanyika kwa wawekezaji. Wawekezaji wa awali wanapata gawio kubwa ili kuvutia uwekezaji mkubwa zaidi. Mpigaji wa kwanza anayetambulika kwenye mfumo huu ni Charles Ponzi na ndipo jina la Ponzi scheme lilipoanzia. Benard Madoff ndie mtu...
  13. R

    CHADEMA ni kama vile wapo serious mjue, Lamadi to Bunda amsha amsha si mchezo

    Naona baada ya Mwanza SASA NI Simiyu to Mara, wananchi wanaonekana walikuwa na kiu Kali Sana. Tofauti na msafara wa Mhe. Rais hakuna mapokezi mengine yanayofanywa na wananchi Kwa wingi huu. Si Katibu Mkuu CCM wala Makamu Mwenyekiti, voluntary show up inaridhisha natumaini kwamba mama ameifungua...
  14. FourTwoNet

    TANESCO vipi lakini?

    Hivi kwa hizi mvua ninazoziona, mpaka mjini zinanyesha, huko milimani ndiyo itakuwaje? Yaani hapo ni tufanye mvua ndiyo sababu ya mito kujaa maji, maana yake vyanzo main ni chemchem. Kama ulikuwa umepanda maharage yako, tegemea kula kande. Ila TANESCO vipi lakini? Hivi kweli 2022 mnatufanyia...
  15. Bujibuji Simba Nyamaume

    Je unapenda chips? Mjue George Speck mgunduzi wa chips

    UNAAMBIWA: Chips za viazi zilianza kutengenezwa rasmi Mwaka 1853 baada ya Mmarekani mweusi George Speck maarufu Crum (Mpishi) kupata hasira kisa Wateja wake kumlaumu kuwa anawawekea viazi vyenye mapande makubwamakubwa. Alipoona Wateja wanamkera akaamua kuwakomoa kwa kukata vipande vidogovidogo...
  16. LIKUD

    Huyu ndiyo mchezaji anayebeba nyota ya mafanikio ya Yanga

    Katika ulimwengu wa roho kinachotofautisha kati ya wanyama na mimea ni kitu kimoja tu nacho ni "Ini". Ndiyo, ini ndiyo kitu pekee kinachotofautisha kati ya wanyama na mimea (katika ulimwengu wa roho). Maana yake ni kwamba, kama kuna kiumbe ambacho kwa muonekano wa nje kina sifa zote za kuwekwa...
  17. Bujibuji Simba Nyamaume

    Mjue RICHARD SPIKES mgunduzi wa automatic gearbox

    RICHARD SPIKES: MVUMBUZI WA INJINI ZA GARI ZA KISASA!! Wengi wetu leo tunaendesha gari za kisasa zenye kubadili mwendokasi bila kuhitaji kubadili gea(automated gear transmission systems), na wengi naamini aghalabu wanapofikiri nani aliwezesha hilo' basi taswira ya mzungu fulani inawajia...
  18. Greatest Of All Time

    Jemedari Said: Kipa wako akiwa "Man of the Match" basi mjue mlizidiwa

    Comment ziwe fupi fupi tafadhali.
  19. Dr Akili

    NHIF mjue kwamba jinsi nchi inavyoendelea ndivyo magonjwa ya kuambukiza yanavyopungua na yale yasiyoyakuambukiza kuonekana zaidi

    Inashangaza kusikia NHIF ikilalamika kuwa magonjwa yasiyo ya kuambukiza (NCDs) yameongezeka sana, gharama ya matibabu yake ni kubwa sana na yanafilisi mfuko. Na kwamba NHIF inakusudia kuacha kugharimia matibabu ya magonjwa haya yasiyo ya kuambukiza. Kama tetesi hizi ni za kweli, basi hakuna...
  20. Amina68

    NECTA ACSEE RESULTS: Shule zilizoongoza kwa kila mkoa, wazazi mjue shule nzuri sasa

    NECTA ACSEE RESULTS: SHULE ZILIZOONGOZA KWA KILA MKOA 1.MWANZA- SUMVE SECONDARY SCHOOL 2.TABORA-TABORA BOYS 3.SIMIYU-MKULA SECONDARY 4.KILIMANJARO-USANGI DAY 5.Morogoro-MZUMBE SECONDARY 6.KAGERA- KEMEBOS 7.ARUSHA -KISIMIRI 8.Manyara-Dareda secondary 9.Tanga-mkindi secondary...
Back
Top Bottom