Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,969
- 156,221
UNAAMBIWA: Chips za viazi zilianza kutengenezwa rasmi Mwaka 1853 baada ya Mmarekani mweusi George Speck
maarufu Crum (Mpishi) kupata hasira kisa Wateja wake kumlaumu kuwa anawawekea viazi vyenye mapande makubwamakubwa.
Alipoona Wateja wanamkera akaamua kuwakomoa kwa kukata vipande vidogovidogo sana lakini ndio kwanza Wateja wakavipenda, baadaye vikaanza kuchanganywa na mayai na kutengenezwa kiepe na sasa Crum ndio Legend na Baba wa Chips duniani 😀
Kwa heshima ya Chips, mpe neno moja Bwana Crum.
Alipoona Wateja wanamkera akaamua kuwakomoa kwa kukata vipande vidogovidogo sana lakini ndio kwanza Wateja wakavipenda, baadaye vikaanza kuchanganywa na mayai na kutengenezwa kiepe na sasa Crum ndio Legend na Baba wa Chips duniani 😀
Kwa heshima ya Chips, mpe neno moja Bwana Crum.