Mwana FA na AY baada ya kujitoa ECT walikua wanaachia pini juu ya pini kali tupu.
Mfano hii Pini ya Usije Mjini, dah ilikua inanikosha sana kuanzia biti hadi AY anavoimba na FA kuchana.
Kuna mstari verse ya kwanza FA alisema: "... huku huku kwenye ufisadi, waliopo hawataki kurudi, ata mbunge...