The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,503
- 2,046
Hizi zilikua akili zangu nikiwa mdogo kule kijijini Ndolezi. Mawazo haya yalitokana na changamoto kubwa sana tuliyokua nayo pale kijijini kwetu katika uzungumzaji wa lugha ya kiswahili.
Mara zote niliwaonea shauku wanafunzi wa mijini nilidhani kwamba uwezo wao wa kukimudu vizuri kiswahili ungewasaidia kutushinda kwenye mitihani. Jambo la ajabu ni kwamba tulipoingia kwenye vyumba vya mitihani tuliwashinda wengi sana. Ndipo nikagundua kwamba kujua lugha hakuna uhusiano na uwezo wa mtu kiakili.
Tuache kupima uwezo wa mtu kwa kuangalia umahili wake kwenye lugha fulani, tumpime mtu kwa kuzingatia umadhubuti wake na uwezo wake wa kujenga hojaj
Mara zote niliwaonea shauku wanafunzi wa mijini nilidhani kwamba uwezo wao wa kukimudu vizuri kiswahili ungewasaidia kutushinda kwenye mitihani. Jambo la ajabu ni kwamba tulipoingia kwenye vyumba vya mitihani tuliwashinda wengi sana. Ndipo nikagundua kwamba kujua lugha hakuna uhusiano na uwezo wa mtu kiakili.
Tuache kupima uwezo wa mtu kwa kuangalia umahili wake kwenye lugha fulani, tumpime mtu kwa kuzingatia umadhubuti wake na uwezo wake wa kujenga hojaj