Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,652
- 218,132
Kuna kila dalili kwamba Mgombea Ubunge wa Chadema Jimbo la Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ambaye pia huitwa 'Rais wa Mbeya' huenda akavunja rekodi aliyoiweka mwenyewe 2015, ya kuwa mbunge aliyechaguliwa kwa kura lukuki kuliko wote.
Hebu angalia hapa Kata ya Nsalanga leo, Eneo la Itezi Mashariki.
Hebu angalia hapa Kata ya Nsalanga leo, Eneo la Itezi Mashariki.