mjini

Mjini is a settlement in Kenya's Central Province.

View More On Wikipedia.org
  1. G Sam

    Hili la Rais mstaafu Mkapa kufanyia vikao vya baraza la usalama la taifa mjini Dodoma enzi za utawala wake ni kuwa ikulu ya Magogoni haiaminiki!

    Miongoni mwa kauli nzito aliyotoa Rais mstaafu wa awamu ya tatu mzee Benjamin Mkapa ni kuwa enzi za utawala wake vikao vyote vya baraza la usalama la taifa vilifanyikia mjini Dodoma. Tafsiri yake ni kuwa kikao hiki kilikuwa kinajadili mambo ya siri za usalama wa nchi (Labda ikiwemo upotezaji)...
  2. mamayoyo1

    Ufaransa yaipatia Serikali mkopo nafuu kujenga mradi wa maji mjini Morogoro

    Serikali ya Tanzania na Shirika la Maendeleo la Ufaransa (AFD) zimetiliana saini mkataba wa mkopo wenye masharti nafuu wa Euro milioni 70, sawa na takriban shilingi za Tanzania bilioni 175.6 kwa ajili ya kugharamia Mradi wa Maji Safi na Usafi wa Mazigira Mjini Morogoro (MORUWASA). Mkataba wa...
  3. 4

    Pongezi kwa Mbunge wa Bukoba Mjini, Wilfred Rwakatale. Badilisha nia ya kuacha siasa

    Naenda kwenye mada moja kwa moja Mkuu kwanza; katika kipindi hichi umeonyesha ukomavu mkubwa sana pamoja yaliyotokea pitia Chama chako . Ulitangaza kuacha siasa,sawa ila nikushauri huna sababu ya kufanya hivyo tafadhali badilisha mawazo yako . Nimeona clip zako zimenigusa sana ,Haijalishi...
  4. kilimomaarifa.tajiri

    Nyumba (Boma) inauzwa Ituha-Mbeya Mjini kwa Shilingi 10.5 Milioni

    -Nauza nyumba yangu, ambayo bado sijaezeka (boma limeshafika kwenye lenta), ina vyumba viwili (kimoja ni master), pamoja na sebule, -Nyumba (Boma) Ipo barabarani kabisa, ni umbali wa kilomita 1 kutoka Ituha mwisho wa lami. -Saizi ya kiwanja ni 20m kwa 20m, nyumba iko ituha-mbeya, karibu kabisa...
  5. K

    Ujenzi wa Soko kuu Mwanza

    Wananchi wa Jiji la mwanza walifurahi sana walipoona Soko la zamani likivunjwa kupisha ujenzi wa soko mpya. Soko lilipovunjwa wafanyabiashara walisambaa maeneo mbalimbali ili wapate nafasi ya kuendelea na biashara zao. Kibaya zaidi maeneo waliopelekwa ni maeneo hatarishi na hakuna huduma za...
  6. G

    Vita ya Corona: Nahodha wetu katelekeza chombo Baharini, tutaponaje?

    Hapa naandika kwa majonzi kwa kusikia jinsi Watanzania wenzetu wanavyougua Corona na wengine kupoteza maisha. Poleni nyote. Kinachoumiza zaidi ni namna baadhi yetu tunavyoteteana hata kunapokuwa na uzembe kwenye hatua zinazochukuliwa kutulinda na Corona. Kuna wanaosema Nahodha wetu ni shujaa...
  7. Bwegemsela

    Kiwanja kinahitajika Sengerema mjini

    Natafuta kiwanja Sengerema mjini kiwe katika eneo zuri la kibiashara ofa yangu 10m
  8. Gily Gru

    Swali kwa mliokulia vijijini: Mlivyokuwa mnasikia Dar mlidhani ikoje?

    Nikiwa moshi tunazungumza na baba mkubwa habari za Manzese darajani, kuna dogo akadandia “pale Manzese kuna mamba wengi sana”. Kichwani nikafikiri anamaanisha labda Ruvu au Wami. Kwa watu ambao tumekulia Dar huwa tunaiona ya kawaida sana ila kwa watu waliozaliwa nje kabla hawajaja Dar wanapaona...
Back
Top Bottom