Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,548
- 217,821
Jabali Maalim Seif akiingia kwenye mkutano wa Kampeni za Tundu Lissu Moshi Mjini
Ni heshima isiyo na maana, kwa kuwa wote wawili hawatashinda!Jabali Maalim Seif akiingia kwenye mkutano wa Kampeni za Tundu Lissu Moshi Mjini
View attachment 1605141
Joined Thursday .Ni heshima isiyo na maana, kwa kuwa wote wawili hawatashinda!
Kwakua wewe bado ni member sina chakukujibuNi heshima isiyo na maana, kwa kuwa wote wawili hawatashinda!
Veteran in the name Paul Sylivester humu JF. Ameona haitoshi kaamua kurefusha zaidi.Joined Thursday .
Sema ni heshima iliyoje kwani wamekubalika na wote watashinda.Msema kweli ni mpenzi was Mungu.Ni heshima isiyo na maana, kwa kuwa wote wawili hawatashinda!
Utakufa kwa roho mbaya kutabiri uchakachuaji wizi wa kura wa NECCCM TumeccmNi heshima isiyo na maana, kwa kuwa wote wawili hawatashinda!
mkuu kazi imeanzaRaha tupu!
Dakika za majeruhi tunaongeza mashambulizi.mkuu kazi imeanza
Ni heshima isiyo na maana, kwa kuwa wote wawili hawatashinda!
With another ID hahahaJoined Thursday .
Ahaaa ahaaa hizi ni id maingizo mapya ya ccm toka septemba 20, huu ni muendelezo wa id hizo. Ni mkakati wa kina Polepole, na wanapiga hela za bwerere kuwajaza haya matikikiti maji humu jukwaani.Joined Thursday .
Du? Unatumia mlija kunywa pombe?Sema ni heshima iliyoje kwani wamekubalika na wote watashinda.Msema kweli ni mpenzi was Mungu.
Ni heshima yenye maana sana. Huyu ni Waziri Kiongozi mstaafu wa Zanzibar, Makamo wa Kwanza wa Rais mstaafu wa Zanzibar lkn pis ni kiongozi mwandamizi wa CCM aliyefukuzwa wanachama kwa msimamo wake usioyumba.Ni heshima isiyo na maana, kwa kuwa wote wawili hawatashinda!
Msamehe Bure Anachotetea HakijuiJoined Thursday .
Ushindani ni wakiwango Cha juu Sana,asiye kubali sii mkweli hats kwenye nafsi take mwenyewe,hats Kuna upande unaelemewa.Kana kuna kitu kinanipa raha uchaguzi huu ni kuwa tuna wagombea wa kweli wa upinzani. Hakuna kampeni zilinitesa kama zile zilizopita za yule mzee tapeli aliyerejea ccm. Safari hii nina raha ya ajabu maana tunapambana na ccm, tena baada ya wapinzani kufanyiwa ukatili, uhayani na unyama wa wazi ili tufutike. Uchaguzi huu ndio umeonyesha wazi upinzani ni imani na haumalizwi kwa ujenzi wa bwawa la umeme, au wachumia tumbo kadhaa kununuliwa na ccm kwenda kuunga juhudi.
Ni aibu, siku zote alikuwa wapi? Au ID mpya kudanganya idadi ya reactions.Joined Thursday .