ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 24,594
- 59,919
Kigamboni ilikuwa na potential kubwa kuwa mji wa kisasa zaidi Tanzania kutokana na beach nzuri, usalama, nafasi kubwa ya ardhi na ukaribu na city centre. Watu walitegemea baada ya daraja kujengwa ingejaa hotels kubwa, malls, arenas na majengo marefu kama Dubai au Miami.
Lakini imebaki local sana kwa sababu miradi mingi iliishia kwenye mipango kuliko utekelezaji. Infrastructure kama barabara, drainage, maji na usafiri haikukua kwa speed ya kuvutia wawekezaji wakubwa. Pia wawekezaji wengi walibaki upande wa Masaki na Oysterbay ambapo biashara tayari zilikuwepo.
planning ya Dar kuwa ni ya hovyo na ukuaji wa kiholela badala ya kujenga modern skyline yenye apartments na commercial towers. Kigamboni iliahidiwa sana kama future city lakini haikutendewa haki kwenye utekelezaji wa maendeleo.ilikuwa inatakiwa wageni wengi wanaofikia tanzania wakakae kigamboni ingekuwa vizuri sana..ilikuwa inatakiwa ukisimama huku ferry kigamboni unaiona kama posta..sasa nashangaa mpaka sasa hivi hakuna hata mall moja ndo kwanza wametengenezewa kfc hivi karibuni..
Lakini imebaki local sana kwa sababu miradi mingi iliishia kwenye mipango kuliko utekelezaji. Infrastructure kama barabara, drainage, maji na usafiri haikukua kwa speed ya kuvutia wawekezaji wakubwa. Pia wawekezaji wengi walibaki upande wa Masaki na Oysterbay ambapo biashara tayari zilikuwepo.
planning ya Dar kuwa ni ya hovyo na ukuaji wa kiholela badala ya kujenga modern skyline yenye apartments na commercial towers. Kigamboni iliahidiwa sana kama future city lakini haikutendewa haki kwenye utekelezaji wa maendeleo.ilikuwa inatakiwa wageni wengi wanaofikia tanzania wakakae kigamboni ingekuwa vizuri sana..ilikuwa inatakiwa ukisimama huku ferry kigamboni unaiona kama posta..sasa nashangaa mpaka sasa hivi hakuna hata mall moja ndo kwanza wametengenezewa kfc hivi karibuni..