ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 24,801
- 60,648
Singida ina potential kubwa sana ambayo bado haijatumika kikamilifu. Imagine katikati kabisa ya mji kuna view ya mabwawa mawili, hali ya hewa ya kawaida, mazingira yenye utulivu na maji yanayoweza ku-refresh akili. Kwa mipango mizuri ya mji, Singida ingeweza kuwa moja ya miji yenye kuvutia zaidi kuishi Tanzania.
Moja ya mawazo muhimu ni eneo la Shule ya Sekondari Mwenge ambalo lipo katikati ya mji na limechukua eneo kubwa sana. Badala ya kuendelea kuwa sekondari tu, serikali ingeangalia uwezekano wa kuligeuza kuwa chuo kikuu kikubwa. Hii ingeongeza population ya vijana, biashara, apartments, cafes, usafiri na mzunguko wa fedha mjini.
Zaidi ya hapo, eneo la hifadhi ya chanzo cha maji chini ya hospitali ya mkoa linaweza kubadilishwa kuwa sehemu nzuri ya mapumziko, walking areas na city attraction bila kuharibu mazingira. Singida ina nafasi ya kuwa mji wa kisasa wenye utulivu, mazingira mazuri na tourism ndogo ya ndani kama ikipewa maono sahihi ya urban planning.
Moja ya mawazo muhimu ni eneo la Shule ya Sekondari Mwenge ambalo lipo katikati ya mji na limechukua eneo kubwa sana. Badala ya kuendelea kuwa sekondari tu, serikali ingeangalia uwezekano wa kuligeuza kuwa chuo kikuu kikubwa. Hii ingeongeza population ya vijana, biashara, apartments, cafes, usafiri na mzunguko wa fedha mjini.
Zaidi ya hapo, eneo la hifadhi ya chanzo cha maji chini ya hospitali ya mkoa linaweza kubadilishwa kuwa sehemu nzuri ya mapumziko, walking areas na city attraction bila kuharibu mazingira. Singida ina nafasi ya kuwa mji wa kisasa wenye utulivu, mazingira mazuri na tourism ndogo ya ndani kama ikipewa maono sahihi ya urban planning.