KAHAMA NI MJI WA HOVYO SANA.

KAHAMA NI MJI WA HOVYO SANA.

Afcon kinanuka

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2026
Posts
890
Reaction score
2,375
Kahama ni mji unaosifiwa sana na watu washamba ambao hawajatembea miji ya wenzetu ambao wanatumia rasilimali zao vizuri kupendezesha miji yao.

Siku nilipofika kahama nikawa najiuliza hizi sifa zinazomiminwa kuwa kahama ni mji mzuri kwa nini mimi sizioni.Ukianzia miundombinu ya barabara ni mashimo tu na vumbi la kutosha.Mji wenyewe kwa ujumla umejengwa kiholela(hakuna mvuto na unanuka(kila sehemu takataka.

Stendi yenyewe ya hovyo tu licha ya kuwa na mapato makubwa yatokanayo na migodi.NINYI WASHAMBA MNAOSIFIA HUU UTOPOLO MJITAFAKARI AU MJITAHIDI MTEMBELEE NCHI ZA ULAYA AU HATA TU RWANDA.NAHITIMISHA KUWA MIPANGO MIJI TANZANIA NI ZERO.
 
Kahama ni mji unaosifiwa sana na watu washamba ambao hawajatembea miji ya wenzetu ambao wanatumia rasilimali zao vizuri kupendezesha miji yao.

Siku nilipofika kahama nikawa najiuliza hizi sifa zinazomiminwa kuwa kahama ni mji mzuri kwa nini mimi sizioni.Ukianzia miundombinu ya barabara ni mashimo tu na vumbi la kutosha.Mji wenyewe kwa ujumla umejengwa kiholela(hakuna mvuto na unanuka(kila sehemu takataka.

Stendi yenyewe ya hovyo tu licha ya kuwa na mapato makubwa yatokanayo na migodi.NINYI WASHAMBA MNAOSIFIA HUU UTOPOLO MJITAFAKARI AU MJITAHIDI MTEMBELEE NCHI ZA ULAYA AU HATA TU RWANDA.NAHITIMISHA KUWA MIPANGO MIJI TANZANIA NI ZERO.
sasa mdogo wetu kweli wewe wakushuka kituo cha bus unatembea kwa miguu mitaani kwenye vumbi utaionaje kahama nzuri pambana upate pesa ndio ujue uzuri wa kahama kama ulikuwa unajua uzuri wa kahama ni majengo mazuri sijui maua barabarani futa hilo wazo kama una pesa anza itumia sasa uton uzuri wa CAMP
 
Kahama ni mji unaosifiwa sana na watu washamba ambao hawajatembea miji ya wenzetu ambao wanatumia rasilimali zao vizuri kupendezesha miji yao.

Siku nilipofika kahama nikawa najiuliza hizi sifa zinazomiminwa kuwa kahama ni mji mzuri kwa nini mimi sizioni.Ukianzia miundombinu ya barabara ni mashimo tu na vumbi la kutosha.Mji wenyewe kwa ujumla umejengwa kiholela(hakuna mvuto na unanuka(kila sehemu takataka.

Stendi yenyewe ya hovyo tu licha ya kuwa na mapato makubwa yatokanayo na migodi.NINYI WASHAMBA MNAOSIFIA HUU UTOPOLO MJITAFAKARI AU MJITAHIDI MTEMBELEE NCHI ZA ULAYA AU HATA TU RWANDA.NAHITIMISHA KUWA MIPANGO MIJI TANZANIA NI ZERO.
Ungesema hivi enyi washamba wa Tanzania jitahidini mfike Guangzhou Hongkong Instanibul Moscow muone maana halisi ya majiji ila kuitaja kahama tu kama sehemu ya kishamba, hujatenda haki anzia Dar mwanza arusha, Dodoma, tanga mbeya moshi kote huko kwangu mimi ni Vijiji vilivyochangamka tu
 
Ungesema hivi enyi washamba wa Tanzania jitahidini mfike Guangzhou Hongkong Instanibul Moscow muone maana halisi ya majiji ila kuitaja kahama tu kama sehemu ya kishamba, hujatenda haki anzia Dar mwanza arusha, Dodoma, tanga mbeya moshi kote huko kwangu mimi ni Vijiji vilivyochangamka tu
Uko sahihi kabisa.Ndiyo maana nimehitimisha kwa kusema Tanzania bado sana kuhusu mipango miji
 
Kahama ni mji unaosifiwa sana na watu washamba ambao hawajatembea miji ya wenzetu ambao wanatumia rasilimali zao vizuri kupendezesha miji yao.

Siku nilipofika kahama nikawa najiuliza hizi sifa zinazomiminwa kuwa kahama ni mji mzuri kwa nini mimi sizioni.Ukianzia miundombinu ya barabara ni mashimo tu na vumbi la kutosha.Mji wenyewe kwa ujumla umejengwa kiholela(hakuna mvuto na unanuka(kila sehemu takataka.

Stendi yenyewe ya hovyo tu licha ya kuwa na mapato makubwa yatokanayo na migodi.NINYI WASHAMBA MNAOSIFIA HUU UTOPOLO MJITAFAKARI AU MJITAHIDI MTEMBELEE NCHI ZA ULAYA AU HATA TU RWANDA.NAHITIMISHA KUWA MIPANGO MIJI TANZANIA NI ZERO.
CCM haijawahi kufanya jambo lolote zuri. CCM imelaaniwa soma Isaya 50:11
 
Mji mzuri kwa utafutaji babuu, ukitaka kuona wanyama serengeti ipo, au ukitaka fukwe za bahar kuna tanga dsm mtwara na pwani , ukitaka kuona highland pale kilimajaro chuga, manyara penyewe,, Hii nchi ina vivutio lukuki,, hizi kahama na geita ni migodi tu,, makarasha 😂
 
sasa mdogo wetu kweli wewe wakushuka kituo cha bus unatembea kwa miguu mitaani kwenye vumbi utaionaje kahama nzuri pambana upate pesa ndio ujue uzuri wa kahama kama ulikuwa unajua uzuri wa kahama ni majengo mazuri sijui maua barabarani futa hilo wazo kama una pesa anza itumia sasa uton uzuri wa CAMP
Sisi wazurulaji ambao tumezurula vya kutosha ndani na nje kidogo ya nchi tunapaona kahama dar mwanza arusha sijui na wapi huko ni sawa na kijijini tu sumve au ibadakuli
Ukitaka kuamini haya mkuu fika Guangzhou Hongkong Instanibul Moscow mpaka unajiuliza hivi hawa walichora tu ramani
Uko sahihi kabisa.Ndiyo maana nimehitimisha kwa kusema Tanzania bado sana kuhusu mipango ramani
Siyo Tanzania tu ni kwa africa ni baadhi ya nchi angalau zina majiji ila tulio wengi bado tuna Vijiji vilivyochangamka
 
Sisi wazurulaji ambao tumezurula vya kutosha ndani na nje kidogo ya nchi tunapaona kahama dar mwanza arusha sijui na wapi huko ni sawa na kijijini tu sumve au ibadakuli
Ukitaka kuamini haya mkuu fika Guangzhou Hongkong Instanibul Moscow mpaka unajiuliza hivi hawa walichora tu ramani

Siyo Tanzania tu ni kwa africa ni baadhi ya nchi angalau zina majiji ila tulio wengi bado tuna Vijiji vilivyochangamka
NImekumbuka vyuo vimefungwa watoto mpo field tunaweza kukesha hapa bishana maana uzuri wa eneo unaupima kutokana na umri wako na uelewa wako
 
Kahama ni mji unaosifiwa sana na watu washamba ambao hawajatembea miji ya wenzetu ambao wanatumia rasilimali zao vizuri kupendezesha miji yao.

Siku nilipofika kahama nikawa najiuliza hizi sifa zinazomiminwa kuwa kahama ni mji mzuri kwa nini mimi sizioni.Ukianzia miundombinu ya barabara ni mashimo tu na vumbi la kutosha.Mji wenyewe kwa ujumla umejengwa kiholela(hakuna mvuto na unanuka(kila sehemu takataka.

Stendi yenyewe ya hovyo tu licha ya kuwa na mapato makubwa yatokanayo na migodi.NINYI WASHAMBA MNAOSIFIA HUU UTOPOLO MJITAFAKARI AU MJITAHIDI MTEMBELEE NCHI ZA ULAYA AU HATA TU RWANDA.NAHITIMISHA KUWA MIPANGO MIJI TANZANIA NI ZERO.
Mji ikishakuwa na Barabara za vumbi, obvious hiyo ni takataka tu
 
NImekumbuka vyuo vimefungwa watoto mpo field tunaweza kukesha hapa bishana maana uzuri wa eneo unaupima kutokana na umri wako na uelewa wako
Tatizo lako yawezekana umezaliwa kahama umekuliaa kahama umesomea kahama na una mpango wa kuwa na familia kahama, ndyo maana unapaona kahama ni Dubai au London cha kukushauri mkuu hujachelewa jichange uende japo Hongkong uone nini maana ya jiji na nini maana ya mipango miji
 
Back
Top Bottom