Ponjoro wa Kinondoni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2024
- 3,542
- 9,626
Leo nimemkumbuka sana demu wangu wa SUA. Nikiwa mwaka wapili wao walikuwa first year, tulikutana CRDB bank kipindi natoka kutoa boom langu yeye akawa kwenye foleni, siku hiyohiyo tukakutana tena kwenye restaurant moja hivi tukila chakula.
Siku hiyo hiyo tena majira ya saa 1 jioni tukakutana chuoni tukajikuta tunatabasamu nikasimama akasimama tukasalimiana tukaulizana majina na namba.
Basi nikawa mwenyeji wake nikampa ABC za chuo na maisha ya mji kasoro bahari, baada ya mwezi mmoja tukaanza kujamiiana😋 Kalikuwa kananipenda sana hakakuwahi kuniomba hela labda nikape mimi. Nilienjoy sana penzi la mtoto wa kichagga. Najua yuko humu na anaijua hii id😂
Baada ya mimi kumaliza chuo nikaenda Arusha, wakifunga chuo lazima aje kwanza arusha tukae then anaenda Marangu.
Kwasasa sote tunamaisha yetu ila tunawasiliana na kuna elements za upendo bado zinatawala nivile tuna maadili tu.
Amehusika sana kwenye kunifundisha biashara ya hardware. Tumekipa kisogo kilimo tunafanya biashara.
UKITAKA TRUE LOVE OA MCHAGGA.
Siku hiyo hiyo tena majira ya saa 1 jioni tukakutana chuoni tukajikuta tunatabasamu nikasimama akasimama tukasalimiana tukaulizana majina na namba.
Basi nikawa mwenyeji wake nikampa ABC za chuo na maisha ya mji kasoro bahari, baada ya mwezi mmoja tukaanza kujamiiana😋 Kalikuwa kananipenda sana hakakuwahi kuniomba hela labda nikape mimi. Nilienjoy sana penzi la mtoto wa kichagga. Najua yuko humu na anaijua hii id😂
Baada ya mimi kumaliza chuo nikaenda Arusha, wakifunga chuo lazima aje kwanza arusha tukae then anaenda Marangu.
Kwasasa sote tunamaisha yetu ila tunawasiliana na kuna elements za upendo bado zinatawala nivile tuna maadili tu.
Amehusika sana kwenye kunifundisha biashara ya hardware. Tumekipa kisogo kilimo tunafanya biashara.
UKITAKA TRUE LOVE OA MCHAGGA.