mimba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Kula karanga mbichi kutasaidia kumpa mimba?

    Nimebahatika kupata mdada huko nyuma alishawahi kuolewa akapata watoto wawili. Ni muda mrefu hajapata ujauzito. Mimi pia nataka nimjaze fasta. Mitaani wadau huwa wanadai karanga mbichi huwa ziongeza sperm count hivyo kusadia uja uzito. Wadau wa shoo za ukweli hivi ni kweli karanga mbichi huwa...
  2. Uchumi wa Mifugo

    SoC01 Mimba za utotoni ni "kaburi" la ustawi wa Watoto wa Kike nchini

    Amina (siyo jina halisi)mwanafunzi wa kidato cha tatu katika mojawapo ya shule za sekondari wilayani Kibaha mkoa wa Pwani kila siku anaamka saa 11 ili awahi kwenda shule,shule iliyopo umbali wa kilometa sita kutoka nyumbani kwao.Kila siku anaenda na kurudi kwa miguu, nyumbani hapati kifungua...
  3. B

    Kiwango gani cha mbegu za kiume kinaweza kupelekea mimba?

    Wakuu, Kama uzi unavyojieleza hapo juu, napenda kufahamu ni kiwango gani cha manii chahitajika ili kuweza kurutubisha yai la mwanamke ambaye yupo tarehe za kupata mimba? Nina maana endapo hujatumia kondomu na ulipanga kuchomoa wakati wa ejaculation na kwa bahati nzuri au mbaya ukachelewa...
  4. Doctor Mama Amon

    Ombwe la elimu ya ujinsia na mimba za wanafunzi 980 katika siku 180 wilayani Kidondo: Sera ya Elimu Tanzania inakidhi mahitaji?

    Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mwanaidi Ali Khamis akiongea na wananchi na viongozi Wilayani Kibondo Taarifa kwamba huko mkoani Kigoma, kila siku ya miezi sita iliyopita, angalau wanafunzi 5 walio chini ya miaka 18 walikuwa wanafanya ngono ya jenitalia kwa...
  5. Kichochoro

    Nimempa mimba mwanamke asiye mke wangu

    Habar wanajukwaa, Mimi ni baba wa mke mmoja wa ndoa na mtoto mmoja mwanzoni mwa mwezi February niliamua kuazisha mahusiano na mwanamke wa nje ya ndo yaan asiye Mke wangu tumekuwa tukisafri mikoa mbalimbali kwa Siri bila mama watoto wangu kujua. Mwezi june alinijuza kwamba anahisi kama ana...
  6. S

    Rungwe, Mbeya: Shaka Hamdu Shaka alaani faini kwa wazazi wa wanafunzi wanaopata Mimba

    Na Mwandishi Wetu, Busokelo-Rungwe *Ataka sheria zisimamiwe kuzikomesha Atoa Maelekezo mazito kwa DC wa Rungwe. *Alaani watendaji kuvunja sheria za nchi kwa maslahi yao Chama cha Mapinduzi kimesikitishwa na ongezeko la matatizo ya ujauzito na utoro yaliokithiri kwa wanafunzi wa shule za...
  7. Billie

    Ana Mimba yangu, ila nimeoa na sitaki mtoto nje ya ndoa

    Kuna Mwalimu fulani anamfundisha mwanangu shule niliyomuhamishia baada ya Mimi kuhamishwa kikazi. Ili kumfanya awe karibu na mwanangu nikawa nampa hela Mara kwa mara kumbe mwenzangu amevutiwa na mimi si tukafika point tukaanza kulana kichuri. Kifupi amepata mimba ya mwezi mmoja na hataki...
  8. pascal luoga

    Ameniambia haoni siku zake, naomba ushauri tafadhali

    Habari wakuu, poleni na mihangaiko ya hapa na pale. Naombeni msaada juu ya hili ninaloliona mbele yangu. Iko hivi nini mpenzi wangu ambaye yeye yuko kwao na mimi pia niko kwetu il nin ka, yangu ya maana ninafanya. Mara ya mwisho nilisex na huyu bidada kama last 2 weeks na alisema kwamba...
  9. ndege JOHN

    Miaka 27 sijawahi kumpa mimba mwanamke

    Wakuu hii kitu ni hali ya kawaida au nafeli mahali nguvu za kiume ninazo nina uhakika tatizo ni kwamba sijawahi kuletewa hata stori kwamba nimempa mimba nimpe hela akatoe. Puli napiga kidogo tu sio sana mademu wapo kitaa ila mpaka ninywe pombe ndo niongee nao bila pombe nakuwa sina lomoni...
  10. Shujaa Mwendazake

    Dkt. Leonard Akwilipo: Wanafunzi waliopata mimba Tanzania kurejea masomoni kupitia vyuo vya maendeleo ya wananchi

    Serikali ya Tanzania imetangaza kuwaruhusu wanafunzi waliokatiza masomo yao kwa kwasababu ya kupata mimba kurejea masomoni kupitia vyuo vya maendeleo ya wananchi. Akizungumza na wakuu wa vyuo vya maendeleo ya wananchi nchini humo, Katibu mkuu wa wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia , Dk...
  11. BradFord93

    Siku hizi kubambikiwa ujauzito imekuwa kawaida

    Mshikaji alikuwa na mwanamke kwa muda kama mwaka hivi. Mwanamke anaenda analala na kusepa asubuh kwa mama yake Yule dada wengi walikuwa wanajua tabia zake za kurukaruka. Wengi walikuwa wanasema kuwa huko mtaani kwao watu kibao walikuwa wanajilia kama utani (kuna washikaji zangu wana camp flan...
  12. Analogia Malenga

    Mwalimu adaiwa kumpa mimba mtoto wa mwalimu mwenzake

    Mwalimu wa shule ya Sekondari Lugulu iliyopo Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro anadaiwa kumpa ujauzito mwanafunzi wa kidato cha tatu, mwenye umri wa miaka 17 na kisha kutokomea kusikojulikana. Mei 27 mwaka huu shule hiyo iliwapima wanafunzi wote wa kike ujauzito na mwanafunzi huyo alibainika...
  13. MTV MBONGO

    Nawakumbusha tu: Kutoa mimba ni kuua, tujihadhari na dhambi hii kubwa kuliko maelezo

    Huwa kuna kishawishi kuwa Mimba ni Kama kauvimbe tu, kwa hakika hata Kama ni mimba ya siku moja, kuitoa ni dhambi na wale wote wanaoshiriki kuitoa mf. Madaktari na Wauguzi waliofanikisha Mpango huo, Mume au boyfriend aliyesupport kwa namna yoyote, wote wana hatia mbele ya Muumba. Kila kiumbe...
  14. Kifaru86

    Msaada: Baada ya kumpa mimba nataka nijitokeze kwao kujitambulisha kuwa mimi ndio mhusika

    Baada ya binti kubeba ujauzito wangu kwa takribani siku kadhaa sasa nataka niende kwao nikajitokeze kama mhusika. Kwa wale wazoefu wa haya mambo naombeni mwongozo naanzaje kujipanga Kama mhusika pili nitakapokwenda kwao
  15. Mboka man

    Mpe mimba mpenzi wako iwe kama kishika uchumba, kama kweli unampenda

    Kwa wale wanaume wenzangu mliopo katika mahusiano ya muda mrefu na mnawapenda sana wapenzi wenu na hamtaki kuwapoteza basi tieni mimba hao wachumba zenu kama vishika uchumba mtoto akizaliwa mtajua mtaleaje. Haya mambo ya kupeleka barua sijui posa sijui nyumbani kwao wanaitambua kwetu wanamjua...
  16. GENTAMYCINE

    Wanafunzi wa Kidato cha 5 wanaanza lini Kusoma?

    Tafadhali Wizara husika na Serikali iliangalie hili tena ( Upya ) kwani Wanafunzi wa Kidato cha Tano ( 5 ) Kumaliza Shule November na kukaa Idle ( Mtaani ) mpaka July mwaka unaofuata ni Kuhatarisha sana Ustawi wao wa Kitaaluma na Kuwaathiri Kimaadili na hata Kisaikolojia pia. Kiukweli 24/7...
  17. Dumuzii

    Eti "Mwanamke ukimjaza mimba ndio anatulia" nani kakudanganya?

    Habari zenu! Naona wanaume tunaendelea kujitengenezea maisha magumu, maisha ya kuhangaika na ada za watoto Hadi uzeeni. Kwanini naongea hivi? Kama mtakuwa na kumbukumbu Kuna siku niliwaletea uzi humu nimekula mke wa mtu baada ya kutegwa Sana na kujilengesha mwenyewe bila Mimi kujua. Sasa juzi...
  18. F

    Kisa cha mapenzi: Kama asingetumia kondomu huenda angelea mtoto asiyewake au kupata maradhi

    Kevin alikua akifanya mapenzi na Aisha wakitumia kondomu. Waliendelea tendo kwa muda wa dakika tano. Ghafla Aisha akamwambia kevin avue mpira ili waendelee kufanya mapenzi bila mpira wa kondomu. Kwa vile Kevin hakujua hali ya Asha ya UKIMWI na pia hakutaka kumpa mimba. Kevin alikataa...
  19. Wildlifer

    Mwanafunzi aelezea alivyomsingizia Mwalimu ujauzito

    Hii dunia ina mambo complicated sana. Ila hii michezo ya kusingizia mimba inafanyika sana kwa ushirikiano wa wazazi wa binti na mtia mimba halisi. Wazazi wanakatiwa chao na jamaa, halafu binti anapangwa jinsi ya kusema. Bahati mbaya na Polisi wetu bongo weledi ni tatizo, mtu anakula nyundo 30.
  20. SuperHb

    Msaada: Mwanamke anataka kuachwa, ana mimba na ashatolewa mahari

    Rejea hapo juu....naomba niende kwenye mada husika.. Nina mdogo wangu alimtambulisha binti nyumbani kwa wazazi wetu, wazazi wakambariki baada ya hapo binti aliendelea kuishi kwao Kwa bahati mbaya au nzuri binti alipata Ujauzito ,ikabidi binti atoroke aje kwa mwanaume ili Nyumbani wasigundue...
Back
Top Bottom