Je, kuna uwezekano wa kushika mimba?

Undeceteris

Member
May 15, 2021
47
29
Habarini,

Kuna mwanamke alikuwa anatumia uzazi wa mpango(vjiti), kakitoa mwezi wa 6, mwezi wa 7 tarehe 21-24 brdi,nikalala nae tar 28, mwezi huu, pia kaanza brid tar 11-14,nimelala nae Leo tar 21.

Je, kuna uwezekano wa kushika mimba? Na kama ndio nitegemee jinsia gani ya mtoto?
 
Habarini,kuna dem alikuw anatumia uzazi was mpango(vjit) kakitoa mwz wa6 ,mwez wa 7 tar 21-24 brdi,nkalal nae tar 28,mwz huu, pia kaanz brid tar 11-14,nmelala nae Leo tar 21 je kuna uwezekan wa kushka mimba? Na kam ndio ntegemee jinsia gan ya mtoto?
Ha!!
 
Habarini,kuna dem alikuw anatumia uzazi was mpango(vjit) kakitoa mwz wa6 ,mwez wa 7 tar 21-24 brdi,nkalal nae tar 28,mwz huu, pia kaanz brid tar 11-14,nmelala nae Leo tar 21 je kuna uwezekan wa kushka mimba? Na kam ndio ntegemee jinsia gan ya mtoto?
Mimba anapata,,,,mtoto atazaa msichana
 
Jinsia ya mtoto baba ndiye anaamua, labda utuambie katika sperms zako ipi uliitoa kwa speed sana kati ya XY. Afu mbona kama umepanic hamkujipanga ama? Kama hamkujipanga why mlitoa vijiti? Na uwe unaandika vizuri, unatutesa wasomaji bana
 
Sasa kama kila mtu akitangaza wa kulala nae,huk jf c kutakuwa kama sehem ya kuchukulia taarifa za vifo na uzazi?grow up brow
 
Habarini,kuna dem alikuw anatumia uzazi was mpango(vjit) kakitoa mwz wa6 ,mwez wa 7 tar 21-24 brdi,nkalal nae tar 28,mwz huu, pia kaanz brid tar 11-14,nmelala nae Leo tar 21 je kuna uwezekan wa kushka mimba? Na kam ndio ntegemee jinsia gan ya mtoto?
Dalili za kukacha mimba zimeonyeshwa na mwandiko wako
 
Mkuu we piga mzigo, kula hiyo mbunye kisawa sawa. Mtoto atakaepatikana huyo huyo tu.

Kaa unajidanganya eti nimelala nae nimelala nae. Piga daily mtoto anatafutwa kwa jasho.

Umenisikitisha sana, toka ametoa vijit mwezi wa sita amemla mara mbili tu? Pole.
 
Jinsia ya mtoto baba ndiye anaamua, labda utuambie katika sperms zako ipi uliitoa kwa speed sana kati ya XY. Afu mbona kama umepanic hamkujipanga ama? Kama hamkujipanga why mlitoa vijiti? Na uwe unaandika vizuri, unatutesa wasomaji bana
Kwenye hizo speed za Y na X ulizoeleza, na tarehe za siku za "hatari" zina mchango.

Kumbuka: Y ina speed kubwa lkn inaishi muda mfupi. Kwaio ikikuta yai halijafika kwenye eneo la utungisho, itakaa muda mchache na itakufa.
X ina speed ndogo lkn inakaa muda mrefu (24 -72hrs) ndani ya mji wa kitungia mimba. Kwaio hata ikikuta yai halijafika, inaweza kusubiri yai likafika na ikatunga.

Kwa dhana hio basi, ndio maana rate ya upatikanaji wa watoto wa kike ni mkubwa hapa duniani!

Naomba kuwasilisha, Asante!
 
Hizo hesabu ulitakiwa ujiulize kabla ya kuanza kudinyana bila kondomu na mwanamke asiye mkeo...

Naona sasa wataka kuziba tundubla panya na kipande cha cheese...
 
Back
Top Bottom