milioni 60

The Six Million Dollar Man is an American science fiction and action television series, running from 1973 to 1978, about a former astronaut, USAF Colonel Steve Austin, portrayed by Lee Majors. After a NASA test flight accident, Austin is rebuilt with superhuman strength, speed and vision due to bionic implants and is employed as a secret agent by a fictional U.S. government office titled OSI. The series was based on Martin Caidin's 1972 novel Cyborg, which was the working title of the series during pre-production.Following three television films intended as pilots, which all aired in 1973, The Six Million Dollar Man television series aired on the ABC network as a regular episodic series for five seasons from 1974 to 1978. Steve Austin became a pop culture icon of the 1970s.
A spin-off television series, The Bionic Woman, featuring the lead female character Jaime Sommers, ran from 1976 to 1978. Three television movies featuring both bionic characters were also produced from 1987 to 1994.

View More On Wikipedia.org
  1. BARD AI

    Waziri wa Fedha aliyefukuzwa kazi Ghana akiri kupokea Rushwa ya Tsh. Milioni 99.9 kutoka kwa mwekezaji

    A now-sacked Ghanaian government minister has admitted that he accepted a cash gift of $40,000 (£33,000) "in order not to offend the sensibility of a potential wealthy investor", according to an official report into the incident. Charles Adu Boahen was dismissed as a minister last November...
  2. The Supreme Conqueror

    Nchi inaliwa na Macartel wachache, nani atawanusuru Watanzania Milioni 60?

    Picha hii inajieleza mara milioni 1, kuliko maneno yangu Pichani Mmoja wa mtoto wa James Rugemalira baada ya kupata mgao wa ESCROW Mwaka 2014 alienda marekani kula bata na mwanamuziki rihana ambaye table dresing anatumia dola laki 3 kwa mwezi ambazo sawa na takribani zaid ys milioni 500 kwa...
  3. K

    Katibu wa Mbunge ahukumiwa kwa kifungo cha miezi sita kwa utapeli wa Tsh Milioni 60

    Leo tarehe 3/10/2023 katika Mahakama ya Wilaya Muleba mbele ya Mh Lilian Mwambeleko, imeamriwa kesi ya Jinai namba 91/2023 Jamhuri dhidi ya Adilelius Vedasto Apolinary mwenyekiti wa kikundi cha ujasiliamali cha Umoja wa Vijana Youth Fund cha Muleba pia ni Katibu wa Mbunge, ambapo alishitakiwa...
  4. K

    Kagera: Katibu wa Mbunge Jimbo la Muleba Kusini atiwa hatiani kwa kujipatia milioni 60 fedha za mfuko wa vijana

    KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA MULEBA, MKOANI KAGERA Leo tarehe 3/10/2023 katika Mahakama ya Wilaya Muleba mbele ya Mh Lilian Mwambeleko, imeamriwa kesi ya Jinai namba 91/2023 Jamhuri dhidi ya Adilelius Vedasto Apolinary mwenyekiti wa kikundi cha ujasiliamali cha Umoja wa Vijana Youth Fund cha...
  5. TUKANA UONE

    Tuko Milioni 60,Serikali kwanini isitulipe wananchi kila Mwezi milioni 1 ambazo kwa ujumla itakuwa milioni 60?

    Ukihitaji salamu subiri kwanza nilipwe Milioni 1 yangu,Tofauti na hapo utaula wa chuya! Watanzania tuko milioni 60,kwanini serikali isilitulipe kila mtanzania milioni 1 kila mwezi?,Mbona ni hela ndogo tu hiyo!. Watu milioni 60 × 1 milioni kila mwezi = Milioni 60. Nadhani hii iwekwe kwenye...
  6. H

    Watanzania milioni 60 tunaamka asubuhi kila siku tunakula chakula kinachopikwa kwa mkaa na kuni is a Terrible.Ni uharibifu mkubwa wa mazingira

    Weekend ikiwa inaishia nawasalim. Wakati mjadala wa bandari ukiendelea basi tusitingwe sana kiasi cha kusahau mambo mengine muhimu Ukiona unakula umeshiba ujue kuna mti umedondoka uko porini na kufanya idadi kupungua na kufanya nafasi tupu kuonekana ambayo hatutegemei kama itazibwa na mti...
  7. Exorcist

    Watanzania milioni 60 tumeshindwa kununua Crane za kushusha mizigo kwa ufanisi bandarini?

    Tanganyika tunalipa Trillion 12 kila mwaka ikiwa ni pamoja na riba za madeni tuliyokopa. Sasa najiuliza katika mikopo yooote hii tunayolipa, hakuna hata trillion 1 iliyotumika kununua Crane kubwa kama za DPWorld? Zinauzwa trillion ngapi kwani hizi mashine?
  8. FRANCIS DA DON

    Je, inawezekanaje watu milioni 60 kuwalillia kwa machozi ya damu watu wasiozidi 20 na bado wakaleta dharau?

    Hivi hii mifumo ya kiutawala hapa duniani na nchini kwetu huwa ina siri gani ndani yake? Mfano kwa hapa Tanganyika, watu milioni 60 wanalia na kusaga meno, tena huku wakiwapigia magoti Watu wasiozidi 20, kuwaomba wasiingize nchi utumwani kwa kugawa bure rasilimali za taifa, lakini kwa dharau na...
  9. The Evil Genius

    Ushauri: Gari ya milioni 60

    Wakuu, salama? Nimeombwa ushauri hapa wa gari nzuri ya kununua isiyozidi milioni 60. Rafiki yangu mmoja yuko huko kwenye machimbo Geita kapata pesa anata gari nzuri. Vile mimi sio mtaalamu wa hayo mambo nikaona niombe ushauri humu kwa niaba yake. Gari anayotaka ni ya kutembelea. Shukrani sana.
  10. BARD AI

    Dar: Aliyedai kuporwa Tsh. Milioni 60 aonesha alipozificha

    Deodatus Thadei Luhela, Mhasibu wa Kampuni ya ‘Your Home Choice’’ amekamatwa kwa kutoa taarifa za uongo akidai Majambazi walimjeruhi na kumpora fedha za Mwajiri wake. Mtuhumiwa alifungua kesi ya unyang'anyi kituo cha Polisi Chang’ombe, baada kubanwa kwa maswali ya Askari, aliwapeleka Chanika...
  11. Tindikali

    Rais wa miaka 10 wa watu milioni 60, siku yake kubwa kuliko zote maishani ilikuwa kukutana na Michael Jackson na Rihanna!

    Mzee, hujatutendea haki, hujarudisha heshima tuliyokupa. The biggest day of your life haiwezi kuwa siku uliyokutana na Rihanna na Michael Jackson... Jamani! Kwa miaka kumi ukiingia bafuni Mikocheni sisi tunaanza kusimamishwa Kiwalani kujiandaa kukupisha unaenda Airport, ukija msibani na...
  12. Nakadori

    Ndugu wa marehemu Erick Kisauti wawatuhumu bongo movies kufuja milioni 60 za rambirambi

    Ndugu wa msanii wa vichekesho Eric Kisauti ambaye alifariki siku kadhaa zilizopita wametoa tuhuma nzito wakiwatuhumu waliosimamia msiba wa ndugu yao kupora kiasi cha shilingi milioni 60. Tuhuma hizi zilijibiwa na wasanii waliopata nafasi ya kwenda kuzika kwa kuweka wazi kwamba bajeti ya safari...
  13. JanguKamaJangu

    Kiungo wa Real Madrid, Casemiro akubali kwenda Man United kwa Paundi Milioni 60

    Manchester United imekubali kutoa Paundi Milioni 60 (Tsh. Bilioni 167) kwa ajili ya kumsajili kiungo mkabaji wa Real Madrid, Casemiro baada ya klabu hizo kufanya mazungumzo kwa siku kadhaa. Inaelezwa kuwa Mbrazili huyo anatarajiwa kufanyiwa vipimo vya afya wikiendi hii na kila kitu kikienda...
  14. Sky Eclat

    Watu milioni 60 ni idadi kubwa kwa soko la ndani la bidhaa zinazohitajika kila siku mfano maziwa, mayai, matunda na mbogamboga

    Huku kwetu Kwamtogole mayai na maziwa ni vyakula vya mgonjwa. Hata wale wenye magonjwa sugu wanaamini wakinywa maziwa yanapunguza nguvu ya dawa. Maziwa yananunuliwa haraka inapobainika mtu amekunywa sumu. Matunda ni starehe hasa kwa kipato cha wengi. Baba akifanikiwa kupata robo au nusu kilo...
  15. B

    Haiwezekani Mtumishi wa Serikali umiliki gari ya milioni 60, halafu unaendelea kuwa mtumishi

    Wakuu habari. Msiseme naingilia maisha ya mtu. Hivi kweli Mtumishi wa Serikali unamiliki gari ya milioni 60 na kuendelea, bado unataka kuwa Mtumishi. Huo ni mtaji tosha, achia kiti wengine waajiriwe, ukafanye maisha mengine.
  16. mdukuzi

    Hayati Magufuli aliwezaje kutunyamazisha Watanzania milioni 60?

    Tangu nikiwa mdogo nilipenda kufuatilia visa vya viongozi waliotawala kwa mkono wa chuma kama vile Stalin, Mussolini, Lenin, Hitler, Suharto, Iddi Amin, Mobutu, Kagame, Bokassa na wengineo. Nikawa najiuliza hawa wababe waliwezaje kuwanyamazisha wananchi wao kirahisi wasipate watu wa kuwapinga...
  17. RWANDES

    Mara: Wilaya ya Bunda yatumia milioni 60 kujenga msingi wa jengo moja la kituo cha afya

    Ally Hapi mkuu wa mkoa wa Mara anga'ka baada ya kupata taarifa ya ubadhirifu huo wa fedha za umma ametoa agizo kwa mkuu wa wilaya hiyo JOSHUA NASSARY kumoa taarifa za wote waliohusika ili apeleke majina hayo TAMISEMI wapangiwe majukumu mengine Hata hivyo mkuu wa wilaya hiyo ameeleza kwamba...
Back
Top Bottom