Nchi inaliwa na Macartel wachache, nani atawanusuru Watanzania Milioni 60?

The Supreme Conqueror

JF-Expert Member
Feb 13, 2017
324
910
Picha hii inajieleza mara milioni 1, kuliko maneno yangu Pichani Mmoja wa mtoto wa James Rugemalira baada ya kupata mgao wa ESCROW Mwaka 2014 alienda marekani kula bata na mwanamuziki rihana ambaye table dresing anatumia dola laki 3 kwa mwezi ambazo sawa na takribani zaid ys milioni 500 kwa mwezi.

Wakati mtoto huyu wa James Rugemalira aliyepata mgao huu wa mabilioni ya fedha na kwenda kula raha USA na rihana kule kwenu, Tarime, Kigoma, na Bukoba, kwa wahaya wananchi walikamatwa na kupolwa mali zao zikiwemo mbuzi,kuku na ng'ombe kwa ajili ya mchango wa serikali yani maabara.na sio bukoba, tarime,na Kigoma tu bali ni nchi nzima msako huu wa ubabe wa michango ya sekondary na maabara uliendeshwa nchi zima mwaka 2014-2020

1. Mgao wa Umeme
2. Bei ya Mafuta
3. Kodi na tozo kubwa
4. Mfumuko wa bei ya vyakula
5. Rais Samia kuingiliwa na kutishwa hadharani na Vigogo wa ccm
6. Vyombo vya Ulinzi na Usalama kuwekwa mfukoni na Kigogo na kushindwa kumsaidia Mhe Rais.

Nchi yangu nakupenda Sana Ila Kuna Mtandao wa Watu wachache Sana Nchi wanafaidika na Rasilimali za Watu milioni60 kweli?

Usalama wa Taifa ipo tuu na ndiyo kwanza wanatumika na hao Macartel hao wachache kwa maslahi yao,Jwtz nayo ipo ipo tuuu Wala hata hawalindi Rasilimali za Nchi kwajili ya Wananchi nao wamekuwa ni Jeshi la Kulinda maslahi ya Macartel.

Inauma saaaaana.
 

Attachments

  • 1696487569231.jpg
    1696487569231.jpg
    59.4 KB · Views: 6
Picha hii inajieleza mara milioni 1, kuliko maneno yangu Pichani Mmoja wa mtoto wa James Rugemalira baada ya kupata mgao wa ESCROW Mwaka 2014 alienda marekani kula bata na mwanamuziki rihana ambaye table dresing anatumia dola laki 3 kwa mwezi ambazo sawa na takribani zaid ys milioni 500 kwa mwezi.

Wakati mtoto huyu wa James Rugemalira aliyepata mgao huu wa mabilioni ya fedha na kwenda kula raha USA na rihana kule kwenu, Tarime, Kigoma, na Bukoba, kwa wahaya wananchi walikamatwa na kupolwa mali zao zikiwemo mbuzi,kuku na ng'ombe kwa ajili ya mchango wa serikali yani maabara.na sio bukoba, tarime,na Kigoma tu bali ni nchi nzima msako huu wa ubabe wa michango ya sekondary na maabara uliendeshwa nchi zima mwaka 2014-2020

1. Mgao wa Umeme
2. Bei ya Mafuta
3. Kodi na tozo kubwa
4. Mfumuko wa bei ya vyakula
5. Rais Samia kuingiliwa na kutishwa hadharani na Vigogo wa ccm
6. Vyombo vya Ulinzi na Usalama kuwekwa mfukoni na Kigogo na kushindwa kumsaidia Mhe Rais.

Nchi yangu nakupenda Sana Ila Kuna Mtandao wa Watu wachache Sana Nchi wanafaidika na Rasilimali za Watu milioni60 kweli?

Usalama wa Taifa ipo tuu na ndiyo kwanza wanatumika na hao Macartel hao wachache kwa maslahi yao,Jwtz nayo ipo ipo tuuu Wala hata hawalindi Rasilimali za Nchi kwajili ya Wananchi nao wamekuwa ni Jeshi la Kulinda maslahi ya Macartel.

Inauma saaaaana.
Wewe ndio utawanusuru.
 
Picha hii inajieleza mara milioni 1, kuliko maneno yangu Pichani Mmoja wa mtoto wa James Rugemalira baada ya kupata mgao wa ESCROW Mwaka 2014 alienda marekani kula bata na mwanamuziki rihana ambaye table dresing anatumia dola laki 3 kwa mwezi ambazo sawa na takribani zaid ys milioni 500 kwa mwezi.

Wakati mtoto huyu wa James Rugemalira aliyepata mgao huu wa mabilioni ya fedha na kwenda kula raha USA na rihana kule kwenu, Tarime, Kigoma, na Bukoba, kwa wahaya wananchi walikamatwa na kupolwa mali zao zikiwemo mbuzi,kuku na ng'ombe kwa ajili ya mchango wa serikali yani maabara.na sio bukoba, tarime,na Kigoma tu bali ni nchi nzima msako huu wa ubabe wa michango ya sekondary na maabara uliendeshwa nchi zima mwaka 2014-2020

1. Mgao wa Umeme
2. Bei ya Mafuta
3. Kodi na tozo kubwa
4. Mfumuko wa bei ya vyakula
5. Rais Samia kuingiliwa na kutishwa hadharani na Vigogo wa ccm
6. Vyombo vya Ulinzi na Usalama kuwekwa mfukoni na Kigogo na kushindwa kumsaidia Mhe Rais.

Nchi yangu nakupenda Sana Ila Kuna Mtandao wa Watu wachache Sana Nchi wanafaidika na Rasilimali za Watu milioni60 kweli?

Usalama wa Taifa ipo tuu na ndiyo kwanza wanatumika na hao Macartel hao wachache kwa maslahi yao,Jwtz nayo ipo ipo tuuu Wala hata hawalindi Rasilimali za Nchi kwajili ya Wananchi nao wamekuwa ni Jeshi la Kulinda maslahi ya Macartel.

Inauma saaaaana.
Acha kulia lia humu kama kondoo mpumbavu. Mbona wewe unadokoaga chakula jikoni kwa shemeji yako na kuiba kuku, vitunguu na nyanya huko gengeni?

Mwizi ni mwizi tu. Kila mtanzania ni mwizi katika nafasi yake. Potezea na songa mbele.
 
Kuhusu huyo mtoto wa Rugemalira naweza kumtetea. Hiyo familia imekuwa inajihusisha na Biashara tangu miaka ya 90.

Mzee wao ana kiwanda cha beer cha Heineken na biashara nyingine ikiwemo kampuni ya kuzalisha Umeme wa IPTL kama mbia.

Ndiyo maana hata baada ya kufungwa na JPM kuhusu Uhujumu Uchumi, yeye aliishia kutolewa baada ya kukosekana ushahidi wa kumtia hatihani.

Kumbuka Familia ya Rugemalira sio watumishi wa Umma.

Hivyo ni ngumu wao kuingia Benki Kuu kuchota fedha za Umma isipokuwa Watumishi na Viongozi waliopewa dhamana ya kutuongoza.

Kama kuna lawama, nadhani wanaostahili ni Viongozi wa Umma na sio hao akina Rugemalira.

Tujitahidi kuchagua Viongozi waadirifu kwenye nafasi zote za Uongozi badala ya kuwachagua Viongozi wezi, mafisadi, wachafu, wenye skendo n.k
 
Wameshindwa kusimamia swala la mafuta vitu vingi vitawasumbua sijaelewa Mama anashindwa vip kusimamia hili jambo la muhimu na anaonekana yupo makini mafuta yana 26% yeye anachukua ushauri wa Msingida waweke Ruzuku ambayo haisaidii chochote badala ya kufuta baadhi ya kodi wao wapo tuu na ruzuku huku mafuta yakiendelea kupanda bei...
 
Nchi inaliwa na Macartel wachache, nani atawanusuru Watanzania Milioni 60?
Kila Mtanzania, hata mtoto mdogo, anajua nchi inaliwa ila tatizo ni moja tu...Watanzania wenyewe wameruhusu na wameridhika na hali hiyo!

Dunia ina binadamu wa aina mbili...watesaji na wateswaji. Kwa Tanzania hizi sifa mbili, kula na kuliwa, ni za hiyari na katu hazijalazimishwa.

Tanzania tunao aina mbili ya viumbe...wanaokula na wanaoliwa. Mungu alipoiumba dunia aliumba viumbe viwili...vyenye akili na visivyo na akili!

Viumbe vyenye akili Mungu alivijaalia uwezo wa kutambua mema na mabaya lakini viumbe visivyo na akili havikujaaliwa uwezo kama huo.

Viumbe vyenye akili vilijulikana kama binadamu na viliongezewa na uwezo wa kuboresha maisha yao tofauti na viumbe vya porini.

Ingawa binadamu mwenye akili alipewa uhuru mpana wa kuchagua aishi vipi alitakiwa pia kuutumia kuboresha maisha yake yawe bora zaidi.

Anayekula anatumia uhuru wake na anayeliwa pia anatumia uhuru wake. Swali ni hili...katika Watanzania 60 milioni wasio na akili ni asilimia ngapi?

Hivi sasa tunashuhudia Watanzania milioni mbili wanavyoichachafya Watanganyika milioni 60! Sasa mwenzangu The Supreme Conqueror unashangazwa nini?

Binadamu ataendelea tu kuwala viumbe wa porini...case closed!
 
Picha inaongea zaidi ya maneno 1000,namuona rihana.hana raha...jamaa nmporipori...ila mawe yapo...endelea
Sasa ulitaka amtekenye 😂😂😂😂mbona mshkaji kashika fegi(muhuni tuu) mi naona rihanna kachoka.Ratiba ngumu kukusanya maokoto wadosi wenye pesa wakitaka company inabidi haijalishi jana yake alitoka mkesha.
 
Sema nini, issue ya Rugemalira sio ya kuiongelea leo,
Leo tuongelee mafuta na Umeme,

Huyo dogo kula bata na Rihana haituhusu, kwa sababu ni pesa zake, hata akiamua kutoa 1T kula bata ni zake,

Issue ya IPTL wa kulaumiwa ni kina kikwete na wenzake
 
Back
Top Bottom