Tuko Milioni 60,Serikali kwanini isitulipe wananchi kila Mwezi milioni 1 ambazo kwa ujumla itakuwa milioni 60?

TUKANA UONE

JF-Expert Member
Jan 3, 2018
1,816
5,151
Ukihitaji salamu subiri kwanza nilipwe Milioni 1 yangu,Tofauti na hapo utaula wa chuya!


Watanzania tuko milioni 60,kwanini serikali isilitulipe kila mtanzania milioni 1 kila mwezi?,Mbona ni hela ndogo tu hiyo!.

Watu milioni 60 × 1 milioni kila mwezi = Milioni 60.

Nadhani hii iwekwe kwenye katiba

Au mnasemaje wananzengo😂😂
 
Ukihitaji salamu subiri kwanza nilipwe Milioni 1 yangu,Tofauti na hapo utaula wa chuya!


Watanzania tuko milioni 60,kwanini serikali isilitulipe kila mtanzania milioni 1 kila mwezi?,Mbona ni hela ndogo tu hiyo!.

Watu milioni 60 × 1 milioni kila mwezi = Milioni 60.

Nadhani hii iwekwe kwenye katiba
Nimecheka sana aseee 🤣🤣🤣🤣🤣. Hesabu umekosea hapo

1,000,000 * 60,000,000 = 60,000,000,000,000 hiyo ni 60 Trillion nchi itatoa wapi hiyo hela.

Ni sawa na 24 billion dollars per month
 
Ukihitaji salamu subiri kwanza nilipwe Milioni 1 yangu,Tofauti na hapo utaula wa chuya!


Watanzania tuko milioni 60,kwanini serikali isilitulipe kila mtanzania milioni 1 kila mwezi?,Mbona ni hela ndogo tu hiyo!.

Watu milioni 60 × 1 milioni kila mwezi = Milioni 60.

Nadhani hii iwekwe kwenye katiba
labda kila mtanzania shilingi 1
 
Ukihitaji salamu subiri kwanza nilipwe Milioni 1 yangu,Tofauti na hapo utaula wa chuya!


Watanzania tuko milioni 60,kwanini serikali isilitulipe kila mtanzania milioni 1 kila mwezi?,Mbona ni hela ndogo tu hiyo!.

Watu milioni 60 × 1 milioni kila mwezi = Milioni 60.

Nadhani hii iwekwe kwenye katiba
TUKANA UONE naomba mods msifute huu uzi
 
Nakubali🤒
FB_IMG_16937605145827325.jpg
 
Back
Top Bottom