Kagera: Katibu wa Mbunge Jimbo la Muleba Kusini atiwa hatiani kwa kujipatia milioni 60 fedha za mfuko wa vijana

Kobe123

Member
Jul 4, 2023
82
216
KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA MULEBA, MKOANI KAGERA

Leo tarehe 3/10/2023 katika Mahakama ya Wilaya Muleba mbele ya Mh Lilian Mwambeleko, imeamriwa kesi ya Jinai namba 91/2023 Jamhuri dhidi ya Adilelius Vedasto Apolinary mwenyekiti wa kikundi cha ujasiliamali cha Umoja wa Vijana Youth Fund cha Muleba pia ni Katibu wa Mbunge, ambapo alishitakiwa kwa kosa la kutoa taarifa za uwongo kwa Mkurugenzi kuhusu matumizi ya fedha za uwezeshaji vijana Milioni sitini, zilizotolewa na Halmashauri ya Muleba mwaka 2022. Kinyume na kif cha 122 cha Kanuni za Adhabu Sura ya 16 Marejeo ya 2022, Kesi iliongozwa na Wakili Kelvin Murusuri.

Katika Kutoa ushahidi upande wa Jamhuri ulisema ya Kuwa Mnamo Mwezi Oktoba 2022 na January 2023 Mtuhumiwa aligushi Nyaraka na Saini za wanakikundi Cha Vijana wilayani hapo Na kudanganya Benki na Ofisi ya DED kuwa fedha anaitoa kwa Matumizi ya Mradi wa Kikundi hicho wa kufyatua tofali. Katika Hali isiyo ya Kawaida Mtuhumiwa Alichukua fedha husika na kuziingiza kwenye matumizi mengine huku Kiasi Cha Milioni 16 zikiingia kwenye akaunti ya Mke wake na nyingine Milioni 11 zikiingia kwenye akaunti Binafsi.

Pia mwendesha Mashtaka aliieleza mahakama kuwa Mtuhumiwa alijipatia Kiasi Cha Milioni 60 na mradi wa kifyatua tofali ambao ulilengwa kwa ajili ya fedha hizo haujafanyika Hadi sasa. Na mali zote alizodai kanunua hakuna hata Moja inayoonekana.

Aidha alipoulizwa na Mahakama juu ya Makosa hayo Mtuhumiwa alijitetea kuwa Madai hayo si kweli na anaiomba Mahakama imhurumie kwani Ana mke na ana watoto wadogo na anategemewa na Familia yake.
Mtuhumiwa ametiwa Hatiani na kuamriwa alipe faini ya Tsh. Laki tano 500,000/- au jela miezi sita

Pia kufuatia maombi ya Wakili Murusuri mtuhumiwa ameamriwa arejeshe fedha zote Milioni Sitini ndani ya miezi mitatu na tayari amelipa Milioni Tisa katika akaunti ya Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Muleba, na amelipa faini na kuachiwa.

Screenshot_20231003-173001.jpg
 
Leo tarehe 3/10/2023 katika Mahakama ya Wilaya Muleba mbele ya Mh Lilian Mwambeleko, imeamriwa kesi ya Jinai namba 91/2023 Jamhuri dhidi ya Adilelius Vedasto Apolinary mwenyekiti wa kikundi cha ujasiliamali cha Umoja wa Vijana Youth Fund cha Muleba pia ni Katibu wa Mbunge, ambapo alishitakiwa kwa kosa la kutoa taarifa za uwongo kwa Mkurugenzi kuhusu matumizi ya fedha za uwezeshaji vijana Milioni sitini, zilizotolewa na Halmashauri ya Muleba mwaka 2022. Kinyume na kif cha 122 cha Kanuni za Adhabu Sura ya 16 Marejeo ya 2022, Kesi iliongozwa na Wakili Kelvin Murusuri.

Katika mwendelezo wa kesi hiyo. Inadaiwa Mnamo mwaka 2022 Mwezi Oktoba na January 2023 Mtuhumiwa aligushi Saini za wanakikundi na kutoa fedha benki Bila makubaliano ya Kikundi kizima na alipobanwa na Mamlaka akadai wanakikundi wote walihusika.

Baada ya Upelelezi wa Muda mrefu ikagundulika kuwa Mtuhumiwa aliidanganya Ofisi ya DED Muleba na CRDB Muleba alitumia kivuli Cha Mbunge wa Jimbo hilo kwa kugushi Saini za wanakikundi na katika mlolongo huo Fedha aliihamishia kwenye akaunti yake binafsi na nyingine kwenye akaunti ya Mke wake Ili kutekeleza Jinai hiyo.

Mahakama imemkuta Mtuhumiwa akiwa na Tuhuma za kudanganya Mamlaka Ili kujipatia mali kinyume na utaratibu.

Mtuhumiwa ametiwa Hatiani na kuamriwa alipe faini ya Tsh. Laki tano 500,000/- au jela miezi sita

Pia kufuatia maombi ya Wakili Murusuri mtuhumiwa ameamriwa arejeshe fedha zote Milioni Sitini ndani ya miezi mitatu na tayari amelipa Milioni Tisa katika akaunti ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Muleba, na amelipa faini na kuachiwa.
 
KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA MULEBA, MKOANI KAGERA
Leo tarehe 3/10/2023 katika Mahakama ya Wilaya Muleba mbele ya Mh Lilian Mwambeleko, imeamriwa kesi ya Jinai namba 91/2023 Jamhuri dhidi ya Adilelius Vedasto Apolinary mwenyekiti wa kikundi cha ujasiliamali cha Umoja wa Vijana Youth Fund cha Muleba pia ni Katibu wa Mbunge, ambapo alishitakiwa kwa kosa la kutoa taarifa za uwongo kwa Mkurugenzi kuhusu matumizi ya fedha za uwezeshaji vijana Milioni sitini, zilizotolewa na Halmashauri ya Muleba mwaka 2022. Kinyume na kif cha 122 cha Kanuni za Adhabu Sura ya 16 Marejeo ya 2022, Kesi iliongozwa na Wakili Kelvin Murusuri

Mtuhumiwa ametiwa Hatiani na kuamriwa alipe faini ya Tsh. Laki tano 500,000/- au jela miezi sita
Pia kufuatia maombi ya Wakili Murusuri mtuhumiwa ameamriwa arejeshe fedha zote Milioni Sitini ndani ya miezi mitatu na tayari amelipa Milioni Tisa katika akaunti ya Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Muleba, na amelipa faini na kuachiwa.View attachment 2770755
Huyu ilibidi awe jela tu
 
KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA MULEBA, MKOANI KAGERA
Leo tarehe 3/10/2023 katika Mahakama ya Wilaya Muleba mbele ya Mh Lilian Mwambeleko, imeamriwa kesi ya Jinai namba 91/2023 Jamhuri dhidi ya Adilelius Vedasto Apolinary mwenyekiti wa kikundi cha ujasiliamali cha Umoja wa Vijana Youth Fund cha Muleba pia ni Katibu wa Mbunge, ambapo alishitakiwa kwa kosa la kutoa taarifa za uwongo kwa Mkurugenzi kuhusu matumizi ya fedha za uwezeshaji vijana Milioni sitini, zilizotolewa na Halmashauri ya Muleba mwaka 2022. Kinyume na kif cha 122 cha Kanuni za Adhabu Sura ya 16 Marejeo ya 2022, Kesi iliongozwa na Wakili Kelvin Murusuri

Mtuhumiwa ametiwa Hatiani na kuamriwa alipe faini ya Tsh. Laki tano 500,000/- au jela miezi sita
Pia kufuatia maombi ya Wakili Murusuri mtuhumiwa ameamriwa arejeshe fedha zote Milioni Sitini ndani ya miezi mitatu na tayari amelipa Milioni Tisa katika akaunti ya Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Muleba, na amelipa faini na kuachiwa.View attachment 2770755
Sheria zetu zinahitaji marekebisho, ndiyo maana wizi na ufisadi wa mali za umma hauogopewi.



Anaiba million 60 faini laki tano? Hivi ni vichekesho.
 
Maeneo yote ya halmashauri fedha za vijana,walemavu na wazee ndio zinavyotafunwa na wahuni wa ccm,wanajiundia vikundi hewa wanachota mihela wanapotea.
 
KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA MULEBA, MKOANI KAGERA
Leo tarehe 3/10/2023 katika Mahakama ya Wilaya Muleba mbele ya Mh Lilian Mwambeleko, imeamriwa kesi ya Jinai namba 91/2023 Jamhuri dhidi ya Adilelius Vedasto Apolinary mwenyekiti wa kikundi cha ujasiliamali cha Umoja wa Vijana Youth Fund cha Muleba pia ni Katibu wa Mbunge, ambapo alishitakiwa kwa kosa la kutoa taarifa za uwongo kwa Mkurugenzi kuhusu matumizi ya fedha za uwezeshaji vijana Milioni sitini, zilizotolewa na Halmashauri ya Muleba mwaka 2022. Kinyume na kif cha 122 cha Kanuni za Adhabu Sura ya 16 Marejeo ya 2022, Kesi iliongozwa na Wakili Kelvin Murusuri.

Katika Kutoa ushahidi upande wa Jamhuri ulisema ya Kuwa Mnamo Mwezi Oktoba 2022 na January 2023 Mtuhumiwa aligushi Nyaraka na Saini za wanakikundi Cha Vijana wilayani hapo Na kudanganya Benki na Ofisi ya DED kuwa fedha anaitoa kwa Matumizi ya Mradi wa Kikundi hicho wa kufyatua tofali. Katika Hali isiyo ya Kawaida Mtuhumiwa Alichukua fedha husika na kuziingiza kwenye matumizi mengine huku Kiasi Cha Milioni 16 zikiingia kwenye akaunti ya Mke wake na nyingine Milioni 11 zikiingia kwenye akaunti Binafsi.

Pia mwendesha Mashtaka aliieleza mahakama kuwa Mtuhumiwa alijipatia Kiasi Cha Milioni 60 na mradi wa kifyatua tofali ambao ulilengwa kwa ajili ya fedha hizo haujafanyika Hadi sasa. Na mali zote alizodai kanunua hakuna hata Moja inayoonekana.

Aidha alipoulizwa na Mahakama juu ya Makosa hayo Mtuhumiwa alijitetea kuwa Madai hayo si kweli na anaiomba Mahakama imhurumie kwani Ana mke na ana watoto wadogo na anategemewa na Familia yake.
Mtuhumiwa ametiwa Hatiani na kuamriwa alipe faini ya Tsh. Laki tano 500,000/- au jela miezi sita
Pia kufuatia maombi ya Wakili Murusuri mtuhumiwa ameamriwa arejeshe fedha zote Milioni Sitini ndani ya miezi mitatu na tayari amelipa Milioni Tisa katika akaunti ya Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Muleba, na amelipa faini na kuachiwa.View attachment 2770755
Ze mbunge him/herself is not serious as to why accommodate a guy of that caliber.
 
KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA MULEBA, MKOANI KAGERA
Leo tarehe 3/10/2023 katika Mahakama ya Wilaya Muleba mbele ya Mh Lilian Mwambeleko, imeamriwa kesi ya Jinai namba 91/2023 Jamhuri dhidi ya Adilelius Vedasto Apolinary mwenyekiti wa kikundi cha ujasiliamali cha Umoja wa Vijana Youth Fund cha Muleba pia ni Katibu wa Mbunge, ambapo alishitakiwa kwa kosa la kutoa taarifa za uwongo kwa Mkurugenzi kuhusu matumizi ya fedha za uwezeshaji vijana Milioni sitini, zilizotolewa na Halmashauri ya Muleba mwaka 2022. Kinyume na kif cha 122 cha Kanuni za Adhabu Sura ya 16 Marejeo ya 2022, Kesi iliongozwa na Wakili Kelvin Murusuri.

Katika Kutoa ushahidi upande wa Jamhuri ulisema ya Kuwa Mnamo Mwezi Oktoba 2022 na January 2023 Mtuhumiwa aligushi Nyaraka na Saini za wanakikundi Cha Vijana wilayani hapo Na kudanganya Benki na Ofisi ya DED kuwa fedha anaitoa kwa Matumizi ya Mradi wa Kikundi hicho wa kufyatua tofali. Katika Hali isiyo ya Kawaida Mtuhumiwa Alichukua fedha husika na kuziingiza kwenye matumizi mengine huku Kiasi Cha Milioni 16 zikiingia kwenye akaunti ya Mke wake na nyingine Milioni 11 zikiingia kwenye akaunti Binafsi.

Pia mwendesha Mashtaka aliieleza mahakama kuwa Mtuhumiwa alijipatia Kiasi Cha Milioni 60 na mradi wa kifyatua tofali ambao ulilengwa kwa ajili ya fedha hizo haujafanyika Hadi sasa. Na mali zote alizodai kanunua hakuna hata Moja inayoonekana.

Aidha alipoulizwa na Mahakama juu ya Makosa hayo Mtuhumiwa alijitetea kuwa Madai hayo si kweli na anaiomba Mahakama imhurumie kwani Ana mke na ana watoto wadogo na anategemewa na Familia yake.
Mtuhumiwa ametiwa Hatiani na kuamriwa alipe faini ya Tsh. Laki tano 500,000/- au jela miezi sita
Pia kufuatia maombi ya Wakili Murusuri mtuhumiwa ameamriwa arejeshe fedha zote Milioni Sitini ndani ya miezi mitatu na tayari amelipa Milioni Tisa katika akaunti ya Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Muleba, na amelipa faini na kuachiwa.View attachment 2770755
Ila suti ni ya Muleba kweli.
 
Ze mbunge him/herself is not serious as to why accommodate a guy of that caliber.
Tena ndo alikua mstar wa MBele kumtetea. Hii issue Ina zaidii ya Miezi 8 tangu imeanza kupigiwa kelele Mbunge ndo alikua anamkwamisha. Juzi waliposikia Waziri Mkuu anaenda Muleba wakamkimbiza Mahakamani Ili kuzima moto kwa wananchi. Kesi imeendeshwa kwa siku 4 na hukumu imetoka Leo. Mbunge ndo chanzo Cha hili jambo
 
Oktoba 3, 2023 katika Mahakama ya Wilaya Muleba mbele ya Mhe Lilian Mwambeleko, imeamuliwa kesi ya Jinai na. 91/2023, Jamhuri dhidi ya Adilelius Vedasto Apolinary.

Adilelius ambaye ni Mwenyekiti wa kikundi cha ujasiriamali cha 'Umoja wa Vijana Youth Fund' kilochopo Muleba, alishtakiwa kwa kosa la kutoa taarifa za uwongo kwa Mkurugenzi wa Halmashauri kuhusu matumizi ya sh. Milioni 60 ambazo zilitolewa na Halmashauri ya Muleba Mwaka 2022 kwa ajili ya uwezeshaji wa vijana.

Kosa hili ni kinyume na kif cha 122 cha Kanuni za Adhabu Sura ya 16 Marejeo ya 2022.

Kesi hii iliongozwa na Wakili Kelvin Murusuri kutoka TAKUKURU na mshtakiwa ameamriwa alipe faini ya sh. Laki tano 500,000/- au kutumikia kifungo cha miezi sita jela.

Pia kufuatia maombi ya Wakili Murusuri mshtakiwa huyo ameamriwa arejeshe fedha zote sh. Milioni Sitini ndani ya miezi mitatu na tayari amelipa sh. Milioni Tisa katika akaunti ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Muleba.
 
Back
Top Bottom