media

  1. Cannabis

    Mr. Kuku afikishwa Mahakamani akikabiliwa na mashtaka saba ikiwemo kufanya Biashara Haramu ya Upatu kwa kukusanya bilioni 17

    Mfanyabiashara, Tariq Machibya (29) maarufu kama Mr. Kuku, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashtaka saba likiwemo la kufanya biashara ya haramu ya upatu kwa kukusanya fedha za Umma zaidi ya Tsh. 17 bilioni. Machibya ambaye ni mkazi wa Oysterbay amesomewa...
  2. Mackanackyyy

    CHADEMA Media nawaona kama mnapwaya mno

    CHADEMA Media mmezubaa mno, hivi inakuwaje mnashindwa kufanya Livestreaming ya matukio ya Mgombea wetu hadi tunaanza kubambiabambia platforms zingine ambazo zinafanya censorship kubwa sana katika kureport matukio ya Kipenzi chetu, Mteule aliyeyashinda mauti Tundu Antiphas Lissu? Yaani mnazubaa...
  3. Superbug

    Kampeni ya kuwaacha media wapambane na hali zao ianze

    Ndugu wananchi ! Naamini mnaanza kuona mwenendo wa baadhi ya vyombo vya habari kuipendelea CCM. Naomba kuwauliza lisu ameikosea Nini media house ya Tanzania? Lisu alinusurika kuuwawa kwasababu ya kutetea watanzania na madhila mpaka ya kupokonywa ubunge ni kwasababu ya kutetea haki. Hivi...
  4. PAZIA 3

    GE2020 Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma

    Kutoka maeneo mbalimbali kwenye viunga vya mji wa Dodoma, Tundu Lissu leo anachukua Fomu ya Urais. === Tundu Lissu leo kwa Mara ya kwanza anarejea katika mji wa Dodoma akienda kwa ajili ya kuchukua fomu ya kugombea Urais. Ikumbukwe Tundu Lissu mara ya mwisho kuondoka katika mkoa huu ni baada...
  5. S

    Tetesi: Polepole na Dkt. Hassan Abbas wanawatisha watu wa media

    Jamani wanaJF, nimepenyezewa ubuyu hapa na source yangu moja hivi kwamba ktk matukio 2 ya chadema; mkutano mkuu na uchukuaji fomu kule Dodoma. Polepole na mwenzake Hassan Abbas wamekuwa wakivipigia vyombo vya habari simu ili kuvikataza kurusha hotuba za Lisu Kuna audio ya Polepole...
  6. Matope

    Media za Bongo na Mwijaku ifike sehemu lazima wawe serious sasa tumemchoka huyu jamaa

    Huyu jamaa shida ni nini wadau tusaidiane kumdadavua?? Anaitwa Mwijaku binafsi sijawahi kuona lolote la maana kwake leo naona kawafomea waandishi wa habari still bado wanamuuliza maswali tu inashangaza Mara asambaze sijui picha za utupu duh yaani nakuwa hoves kabisa
  7. J

    Kwanini wapinzani wanapenda kutumia media za nje kuzungumzia mambo yetu ‘ya ndani’?

    Sasa imekuwa kama imehalalishwa vile kwa viongozi wa upinzani kuvikacha vyombo vya habari vya ndani na kukimbilia media za nje na za washindani wetu wa kiuchumi. Alianza Zitto na zile fedha za kusaidia elimu ya watoto wa kike lakini kwa bahati nzuri WB wakamshushua na kumpuuza. Zitto aliitumia...
  8. Mlachake

    Wanasiasa wa Upinzani kuweni makini mnapofanya mahojiano na Media za Nje

    Leo nilibahatika kusikiliza Live interview ya Mheshimiwa Tundu Lissu na Televisheni moja nchini Kenya. Mtangazaji Aliegemea kwenye Hoja tatu kama zilivyo orodheshwa hapo chini. 1. Kupigwa Risasi kwa Tundu Lissu 2. Hali ya Covi-19 kwa Tanzania kwa sasa 3. Hali ya haki za Binadamu kwa Tanzania...
  9. M-mbabe

    Mikutano ya teuzi za CHADEMA kwa ajili ya uchaguzi 2020 kutokuwa live kwenye mainstream media: je, chama kiliomba na kukataliwa au hakikuomba kabisa?

    Unajua siye wengine hapa ni CCM. Lakini tangu misingi ya chama ianze kukiukwa baada ya Mwalimu JKN kuondoka (RIP mzee), sisi wana CCM asilia tumejikuta njia panda na imefikia mahala tumejikuta tunatamani chama chetu kiwekwe benchi na upinzani ili kiamke usingizini. Ndiyo maana mnatusoma mara...
  10. K

    Poor media visibility ya Mchakato wa kumpata mgombea Urais CHADEMA

    Ndugu zangu, Napenda kumshukuru Mungu kwa kutupa uhai katika siku ya leo. Uongozi wa CHADEMA, katika kitengo cha media communication kimeprove failure katika jambo hili muhimu la kichama, na hii inanipa maswali mengi ya kujiuliza. Mojawapo ya maswali ni kama yafuatayo: Je, hawa jamaa hawajui...
  11. Dam55

    Ugomvi na Chuki (BIFU) zinazoendelea kwenye Media zetu zina athari gani kwenye Tasnia ya Habari kwa Tanzania yetu?

    Kwa wadau wote wa Tasnia ya hapabari hapa nchini mnaweza mkalitazama hili na kulijadili kwa mapana huenda likawa na matokeo fulani hasi ama chanya kwenye sekta ya habari hapa nchini. Tumeona matukio mengi tu na niseme labda ni tabia inayochipuka kwa kasi kubwa kwenye sekta ya habari kwa hiki...
  12. K

    Media Tanzania bado ni dhaifu sana. Kuna haja ya kujifunza kutoka wa wenzao wa Kimataifa

    Nimejaribu kufuatilia habari mbalimbali zinazotoka katika vyombo mbali mbali vya habari (Media) hapa nchini hasa katika kipindi hiki cha Msiba wa Mkapa. Jambo la kusikitisha ambalo mimi binafsi nimegundua ni kwamba bado wapo mbali saana (nyuma) katika weredi wa jinsi gani ya kuandaa taarifa...
  13. Naton Jr

    Tanzania kinara matumizi ya Social Media za bei ghali

    Kama inaingia Youtube au Instagram kwa kujiibaiba kama unaoga nje bado huwezi kujiita upo huru kwenye Social Media Tanzania tunaongoza katika matumizi ya jumla ya mitandaoni.
  14. and 998 others

    Social media Constituency

    Ipo haja ya kuanzisha Jimbo la Social Media. Kura zihesabiwe kwa idadi likes, followers etc. Humo kina Steve Nyerere, Pilipili, Kapiga, E.mbasha, Mpoki, Dr. Cheni na Zama ndo wachukue fomu, sio haya Majimbo halisi maana hawawezi.
  15. J

    GE2020 Meneja Tehama Clouds Media achukua fomu CHADEMA kuwania Udiwani

    Meneja wa Tehama pale Clouds Media, Stanley William amechukua fomu za kugombea Udiwani kata ya makongo kupitia chama cha CHADEMA Naye mtangazaji Tupatupa amechukua fomu za kugombea udiwani kata ya Mbezi juu kwa tiketi ya CCM. Chanzo: Clouds tv Maendeleo hayana vyama!
  16. victor moshi

    Dulla Planet wa East Africa akabidhiwa gari kali

    Wakuu pita pita zangu kule Instagram nimekutana na post ya Dulla wa planet bongo akishukuru uongozi wa East Afrca kwa kumkabidhi gari aina ya marcediz benz hii ni baada ya kukitumikia kituo hicho miaka 12. Je, hii ni mbinu mpya East Africa redio wamekujanayo baada yakuuona watangazaji wao wana...
  17. Jackal

    Media Zimekuwa Zikidai Huyu Jamaa ni"Racist"!

  18. J

    GE2020 Namba 3: Lazaro Nyalandu achukua fomu ya kugombea Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA, asema watahakikisha mechi wanaipeleka sawasawa

    Lazaro Nyalandu yuko live Clouds tv akiweka wazi mipango yake endapo atachaguliwa kuwa Rais wa JMT. Maendeleo hayana vyama! ======= Nyalandu: Mbowe ni mtu ambae amestahimili, amepambana na amekuwa muaminifu kwa chama hiki. Amekuwa ni kiongozi ambae ni mfano wa kuigwa na historia itamkumbuka...
  19. Pascal Mayalla

    Madhara ya COVID-19, Kwenye Media, NMG ya Kenya Kupunguza Waandishi 100!. Ukiona Mwenzako Ananyolewa..

    Wanabodi, Tangu kuingia kwa Janga la Corona, mimi kama mwandishi wa habari wa kujitegemea, nimekuwa nikipiga kelele kuwa media needs to be rescued ili ziweze ku survive, kilio hiki 0has been falling on deaf ears!. Ukiona mwenzako ananyolewa.... Kibano cha madhara ya Covid 19, yameanza...
  20. Erythrocyte

    Media za Tanzania hazina uwezo wa kujitengenezea vipaji ?

    Imebidi niulize , maana huko waendako wanaelekea kulogana , B Dozen kang'olewa Clouds na sasa Musa Husein naye yuko mbioni . Hivi haiwezekani media hizi zikafanya kazi na watangazaji wapya kabisa na zikatoboa ? hii tabia ya kupora watangazaji kwa kuwaongeza dau imetokea wapi ?
Back
Top Bottom