askofu rashid
Member
- Oct 26, 2020
- 25
- 43
Asee nimekua rafiki sana wa mitandao ya kijamii tangu mwaka 2009 lakini naona hakuna kitu nimegain zaidi ya concentration yangu kuwa katika vitu visivyokuwa na maana. Kama niliweza kushinda jaribu la kupiga punyeto na kuangalia porn nadhani nitashinda.
Nilichogundua mambo mengi tuyaonayo mitandaoni ni tofauti sana na uhalisia wa maisha yetu halisi, Ndo maana kuna watu ambao hawapo katika trend ya mitandao kuna baadhi ya mambo ukiwauliza au ukiwaeleza hamuelewani.
Pia nataka nijiepushe na mambo ya siasa dah yanaudhi sana ndo maaana nataka niache upepo wa mitandao ya kijamii tayari nishaanza kufanya mazoezi jioni baada ya shughuli zangu mi napiga mpira balaa.
Nataka nihamie pia katika upande wa vitabu naombeni mnishauri vitabu vya kusoma au wapi naweza kua napata vitabu vya kusoma ila sio online nataka hard copy,mi ni mpenzi wa kujifunza mambo mengi so nadhani inspiration history, documentary na mapenzi vitanifaaa sana.
Karibuni kwa ushauri wapi naweza kupata vitabu na vitabu gani vizuri nianze navyo.
Nilichogundua mambo mengi tuyaonayo mitandaoni ni tofauti sana na uhalisia wa maisha yetu halisi, Ndo maana kuna watu ambao hawapo katika trend ya mitandao kuna baadhi ya mambo ukiwauliza au ukiwaeleza hamuelewani.
Pia nataka nijiepushe na mambo ya siasa dah yanaudhi sana ndo maaana nataka niache upepo wa mitandao ya kijamii tayari nishaanza kufanya mazoezi jioni baada ya shughuli zangu mi napiga mpira balaa.
Nataka nihamie pia katika upande wa vitabu naombeni mnishauri vitabu vya kusoma au wapi naweza kua napata vitabu vya kusoma ila sio online nataka hard copy,mi ni mpenzi wa kujifunza mambo mengi so nadhani inspiration history, documentary na mapenzi vitanifaaa sana.
Karibuni kwa ushauri wapi naweza kupata vitabu na vitabu gani vizuri nianze navyo.