Hivi karibuni mwanzoni mwa mwezi ujao nitazindua kampuni yangu Mpya ya Uchwara Media Group...tutaanza na Online Digital Tv na Radio.
Uchwara Media Group itakuwa ni platform kwa watangazaji wote wanaojitafuta kuweza kuandaa na kurusha contents zao na kwenda viral kwenye mitandao ya jamii ikiwemo kuwahoji Superstars wakubwa na wadogo katika platform mbalimbali za kijamii.
Nawasilisha
Uchwara Media Group itakuwa ni platform kwa watangazaji wote wanaojitafuta kuweza kuandaa na kurusha contents zao na kwenda viral kwenye mitandao ya jamii ikiwemo kuwahoji Superstars wakubwa na wadogo katika platform mbalimbali za kijamii.
Nawasilisha