mbowe

  1. Ritz

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Freeman Mbowe kutimkia CHAUMMA

    Wanaukumbi. Taarifa za ndani zinaweka wazi kuwa Mbowe ameamua kujinga na CHAUMMA. Mbowe kwenda CHAUMMA.. kwanini wafuasi wa Chadema hawataki na wanamshambulia mbona Lissu, alikuwa NCCR Mageuzi au? Tatizo lipo waoi. Pambaneni kuzuia uchaguzi si mlisema mwaka huu hakuna uchaguzi sasa...
  2. T

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mbowe kupokelewa CHAUMMA Agosti 06 ukumbi wa Mlimani City

    Habari ndio hiyo. Wajumbe tayari wako njiani wanakuja. Jiandaeni kupata mgombea Urais wa Upinzani wa CCM B.
  3. Mikael Aweda

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kama Mbowe atajiunga Chaumma, atakuwa amemaliza Heshima yake, na Kumaliza siasa kwa aibu kama Mrema. Very Sad!!. Pigia Matari neno "Kama"

    Mimi siyo Nabii Wala sijaota ndoto yoyote ya Kimbingu, lakini Ninatumia Logic ya kawaida sana. Nasema kama Mbowe atajiunga Chauma. Asipojiunga ni story nyingine. Soma statement tatu zifuatazo; 1. Kwamba kufungia Chadema kutamsaidia Mbowe akose mtu wa kumkosoa na kwamba atafanikiwa na...
  4. E

    JamiiForums Tanzania GE2025 Heche: Tunaheshimu uamuzi wa Mbowe kukaa kimya

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA (Bara), John Heche amesema viongozi wa chama hicho wanaheshimu uamuzi wa aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe kuwa kimya na kwamba wanamheshimu kama mwasisi wa chama na mjumbe wa kudumu wa kudumu wa Kamati kuu. Ameyasema hayo leo Julai 21 katika...
  5. chiembe

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Ushauri: Heche afanye kama Mbowe, aikopeshe Chadema milioni 300 ili ilipe mishahara ya miezi mitano iliyopita

    Namshauri John Heche akikopeshe chama milioni 300 ili kilipe mishahara, maana tangu January watu hawajalipwa. Hela zote zinaishia kumlipa posho. Uongozi sio maneno tu, pia kujitoa. Mbowe alikuwa akitoa fedha yake kukopesha chama. Najua Heche ni mkulima wa ufuta, atakuwa amevuna
  6. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Hiki anachokifanya Mbowe ni ujuzi au ujinga?

    Tangu kushindwa katka uchaguzi wa ndani wa Chadema katka nafasi ya uenyekiti kwa mwenyekiti wa mda mrefu Freeman Aikael Mbowe na mwenyekiti wa sasa Tundu Antiphas Lissu ni kuwa jamaa alikipotezea moja kwa moja chama hiko. Japo kikatiba alibaki kua mwanachama na mjumbe wa Baraza kuu la CHADEMA...
  7. tpaul

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Polepole kufukuzwa CCM; nafasi yake kuchukuliwa na Mbowe

    Dar es Salaam: Habari za chinichini zinapenyeza kuwa uongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) upo mbioni kumfukuza na kumfuta uachana Mh Balozi Humprey Polepole na pia kumuondolea hadhi ya ubalozi. Hayo yanajiri wakati mwanachama huyo nguli wa CCM akiitisha mkutano na waandishi wa habari kwa njia ya...
  8. R

    JamiiForums Tanzania Sheikh Mwaipopo: CHADEMA muigeni Baba yenu Mbowe ile ndiyo siasa, acheni chuki

    "Mbowe kaonesha leo ukomavu wa kisiasa na zile ndio siasa Chadema muigeni baba yenu Mbowe ile ndio siasa acheni chuki , chuki haitupeleki popote , zaidi ya kutuletea matatizo tu " Hayo yamesemwa na Sheikh Mwaipopo kufuatia tukio la kuonekana kwenye uzinduzi wa Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025 -...
  9. DR HAYA LAND

    JamiiForums Tanzania Tatizo la baadhi ya wafuasi wa Chadema , huwa wanakosea sana katika kuelezea mambo ikiwemo swala la kutaka Mbowe kuongea jambo kuhusu wanayoyapitia.

    Lema alikuwa hana sababu ya kuongea kuhusu Mbowe . Ikiwa mtu hayupo upande wenu Ila nyie mnasapotiwa na mamilion ya watu ambao wanawasikiliza , na kutoa sapoti zao sasa Mbowe yeye ni nani ?. Nafikiri mtaji mkubwa katika siasa ni watu . Ukizungumzia mapito msijifikirie nyie Ila mjue kuna watu...
  10. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Kwenye Squad game 2, Mbowe ndiye Mhusika 001, Wengine tulishamjua tangu 2015, Vijana muwe Makini, Siasa inahitaji akili na macho, Mtauzwa! Mtamalizwa!

    Habari za jioni! Sisi wengine, kutokana saikolojia ya kuzaliwa, sosholojia na falsafa ya damuni. Tukimwona mtu anaongea tunaweza kubaini mtu huyo ni mzuri au Mbaya. Mwaminifu au Msaliti. Wapo watu wapo Chadema lakini ukiwasikiliza na kuwaona unajua kabisa huyu ni CCM. Na wapo watu wapo CCM...
  11. S

    JamiiForums Tanzania Mama kashikana mkono na Mbowe mbele ya hadhara ili kuihadaa Jumuiya ya kimataifa ila ajue .Kesi ya Lissu ndio kila kitu sio Mbowe

    Huu ndio ukweli mchungu CCM hawajui walitendalo! Wanasahau Mbowe kashindwa uchaguzi na anaonekana kuwa na kinyongo. Wanasahau wazungu wanafika mahakama kufuatilia kesi ya Lissu na huyo Mbowe haonekani. Hata wageni leo watakuwa wamemshangaa Mbowe asiefika mahakamani kufuatilia kesi ya Lissu...
  12. Benson Mramba

    JamiiForums Tanzania Mbowe anakuwa Sub ya Askofu Gwajima CCM

    Wakati fulani nyuma niliandika humu kuwa siasa za mwaka huu zitakuwa kama za Kenya ambapo Rais ataungana na kiongozi mkuu wa upinzani kwenye jukwaa moja kama Uhuru na Odinga walivyoungana. Nilisema Mbowe ataungana na Mama Samia na kuunda timu moja ya Kampeni wakati Lissu ataungana na Sukuma...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema amlilia Freeman Mbowe kwa waraka mzito

    WARAKA WA GODBLESS LEMA KWA MBOWE!Mhe. Godbless Lema amemuandikia waraka Mhe. Freeman Mbowe. Kwa kuwa waraka huo umebeba maudhui yenye maslahi mapana, sisi tunauweka hapa kusudi kupanua wigo wa fikra.Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!Askofu Emmaus...
  14. R

    JamiiForums Tanzania Watu wameumia sana rohoni Mbowe kuonekana Dodoma ufunguzi wa Dira 2050 na kukosa mahakamani

    Nimesoma mitandao hasa X (tweeter), habari ni hiyo! Kila mmoja analalamika na uhahisi hasa uchungu watu walio nao.... na kila mmoja ana speculations zake. 1. Anagombea Urais Chaumma 2. Atapewa ubunge katika viti 10 vya Rais na kuwa Kiongozi wakambi ya upinzani 3. Chauma watapewa viti kuweza...
  15. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mbowe akwepa kuzungumzia No reforms No Election, asema yeye sio kiongozi wa Chama

    Mwenyekiti Mstaafu wa CHADEMA aliyesaliti mapambano Freeman Mbowe akizungumza na Waandishi wa Habari baada ya kumalizikwa kwa uzinduzi wa Dira ya Taifa 2050 amekwepa kujibu swali la Mwandishi wa Habari kuhusu kampeni ya No reforms no election inayoanzishwa na Chama chake. Mbowe akijibu hilo...
  16. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kwamba CCM walicheza na upepo baada kusikia press ya Polepole leo wakamuita Mbowe

    Ina maana Dar to Dodoma ni karibu kuliko anapoishi Mbowe kwenda kisitu kusikiliza kesi ya Lissu. CCM washajijua kuwa hawasikilizwi na hawafatiliwi.Kumuita Mbowe ni kuchanganya masafa ya wasikilizaji ambayo watu wengi walitaka kujua polepole anasema nini.
  17. A

    JamiiForums Tanzania Pamoja na figisu zote za kisiasa anazofanyiwa Lissu na CHADEMA kutoka kwa Mbowe na CCM, bado naamini atashinda

    Sijafurahishwa kabisaa na kitendo cha Mbowe kuungana na CCM kumshughulikia kisiasa Lissu, naamini kabisa haya yote anyopitia Lissu na CHADEMA ni mchoro wa Mbowe moja kwa moja. Wengi walitutahadharisha humu, tusimuamini Mbowe ila tuliwakatilia kabisaa, lakini kuanzia leo imedhihirika rasmi...
  18. Mto wa mbu

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Imevuja Freeman Mbowe kuhamia CHAUMMA mwezi August

    Tetesi hizi zilikuwepo toka kipindi cha nyuma, Sasa ni dhahiri Freeman Mbowe atahamia CHAUMMA mwezi August. CCM walikuwa wanaumiza sana kichwa kumpata mgombea mwenye ushawishi atakaegombea na Samia, Ili kuizuga jamii ya kimataifa kuwa Kuna uchaguzi wa ushindani mwaka huu. Mbowe amefikia...
  19. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Ninasikitishwa na upinzani dhaifu unaomjadili Mbowe badala ya dira ya taifa iliyozinduliwa leo

    Kazi ya upinzani ni kuleta balance kwenye kuiendesha nchi (checks and balance) ila ninasikitishwa sana na jinsi upinzani wetu ulivyo dhaifu na usiojitambua kabisa. Wanaachaje kuijadili dira ya taifa badala yake kumjadili Mbowe aliyehudhuria uzinduzi? Acha tu CCM iendelee kuongoza kwa sababu...
  20. M

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli kabisa? Kwa miaka zaidi ya Ishirini, Chadema hamkujua Mbowe ni Tapeli wa kiaiasa?

    Katika mambo ambayo Chadema mliferi na kusababisha safari yenu kuelekea Ikulu kuwa ngumu, ni kukaa miaka na miaka na mtu ndumila kuwili Mtu huyo, badala ya kung'amua mapema nyendo zake kisha kumtimua, bahati mbaya kabisa, yeye aliwasoma nyinyi nyote Mbowe anawajua wote wenye misimamo mikali...
Back
Top Bottom