mbowe

  1. Erythrocyte

    Wasaliti waanza kujuta, James Mbowe awa wa kwanza

    Kijana Huyo Tayari amejitokeza mitandaoni akikiri hadharani kwamba uamuzi wa Chadema wa kususia uchaguzi wa kizushi wa oktoba 29 ulikuwa sahihi. Taarifa zingine zinaeleza kwamba anayefuatia kuja kapiga goti hadharani ni Yerricko Nyerere ambaye inaelezwa kwamba huko Kigamboni aliambulia namba za...
  2. Pakome

    Mbowe angekuwa ndiye Mwenyekiti wa CHADEMA, hakuna mwanachama wake angepoteza maisha Oktoba

    Kiongozi mwenye busara analinda Wanachama wake lakini kiongozi asiyekuwa na hekima Wanachama wake watapoteza uhai Mbowe angekuwa ndiye Mwenyekiti wa CHADEMA, hakuna mwanachama wake angepoteza maisha October Hii ni kwasababu Mbowe alikuwa anatumia hekima na busara kuongoza CHADEMA kwa miaka...
  3. Kazanazo

    Baada ya NRNE chini ya Lissu na maridhiano chini Mbowe kufeli huu ndio ushauri wangu kwa Chadema

    Ni ukweli usiopingika kuwa hizo mbinu zote mbili zilizotumika katika vipindi tofauti katika uongozi wa mwenyekiti Mbowe na Lissu zote zimeangukia pua baada ya kushindwa na mbinu za ccm za miaka yote. Hadi sasa madai yote ya chadema hakuna hata moja lililotekelezwa hasa Yale yanayohusu uchaguzi...
  4. Wazolee

    Tetesi: Inasemekana TEC ndio waliomng'oa Mbowe CHADEMA

    Hili dubwana linaloitwa TEC Lina mambo mengi sana nyuma ya pazia Hadi inafika wakati mtu unashindwa kuelewa hi TEC iliundwa Kwa ajili ya dini au kazi nyingine ambayo sisi hatuijui Nilipopata hizi habari kuwa Mbowe pale CHADEMA alikuwa king'ang"anizi ila TEC ndio wamemuondoa nilikuwa sijaamini...
  5. Bawabu wa pili

    Boni Yai: Mbowe kunyamaza kimya nyakati kama hizi sio sawa

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Pwani, Boniface Jacob maarufu kama Boni Yai, amesema kuwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Taifa wa chama hicho, Freeman Mbowe, ana haki ya kuchagua kupumzika kwenye siasa, lakini si sahihi kwake kubaki kimya kuhusu masuala makubwa ya...
  6. ngara23

    Lissu agoma kuwa kama Mbowe, agoma kuachiliwa Ikulu anataka aachiliwe mahakamani

    Lissu wewe ni mwamba. Yaani wanataka kukuachilia Kwa kupeana mkono pale jumba jeupe ila unagoma. Lissu unatunyima usingizi sisi machawa. Umegoma kwenda Ikulu kama Freeman umegoma. Kazi yetu inakuwa ngumu sisi machawa mbele ya kimataifa. Lissu legeza kamba umetushika pabaya Upo gerezani...
  7. Idugunde

    Rais akiwa anatakiwa kutambua kuwa hii CHADEMA ya sasa ni ya Lissu na sio ya Mbowe

    Jana ulikuwa Tanga na wakuu wa vikosi vya JWTZ. Ni mkutano muhimu na mkubwa kwa taifa lefu. Japokuwa sio sana kwa maana mamlaka ya kutawala nchi hii yanatoka kwa wananchi na wala sio Jeshi wala vyombo vya usalama na majeshi. Ibara ya 8(1)(a) imetanabaisha wazi . Wananchi ndio wana mamlaka ya...
  8. Pakome

    Je, ni nani aliyeharibu CHADEMA kati ya Mbowe aliyepeleka wanachama Bungeni na Lissu aliyeondoa wanachama Bungeni?

    Je, ni nani aliyeharibu CHADEMA kati ya Mbowe aliyepeleka wanachama Bungeni na Lissu aliyeondoa wanachama Bungeni? HIi ni hoja nzito sana na sii ya kuchukuliwa kirahisi Ili Chama cha Siasa kikue lazima kiwe na idadi kubwa ya Wanachama wenye wadhifa mkubwa katika nchi Mbowe alizalisha viongozi...
  9. stakehigh

    Hata kama Mbowe alikuwa ana mapungufu yake, lakini alikuwa anakiokoa sana hiki chama! Master of politics

  10. aise

    PostGE2025 Mwenyekiti msaatafu wa CHADEMA, Freeman Mbowe Yuko wapi?

    Mwenyekiti msaatafu wa Chama kikuu Cha Upinzani Freeman Mbowe yuko wapi? Anakaa vipi kimya kwenye hali mbaya ya kisasa kama hii kuwahi kutokea nchini? Carlos The Jackal
  11. F

    Mbowe aliona mbali sana aliposema Samia must go

    Haya mambo tunayoona yakiwekwa kwenye agenda ya 9D kuhusu SSH Must Go Mbowe aliyasema siku nyingi na sasa tunaona yanakaribia. Twende mbele.
  12. and 998 others

    Enzi za Mwenyekiti Aikael uchaguzi ungepita kimya kimya

    Enzi za Kamanda wa Anga. Sasa hivi tungekua tunawaza mengine. Huku akichekelea kibunda
  13. R

    Freeman Mbowe, sijasikia kauli yako kuhusu mauaji ya watanganyika, wanachama "wako". Umeyafurahia mauaji haya? Hapana!

    Pamoja na yoooote yaliyotokea mpaka sasa ndani ya Chadema na may be kukuweka/kukukatisha tamaa, nilitegemea ulaani kwa nguvu ya Mungu wetu wa Mbinguni mauaji ya watanganyika wenzako. Umenyamaza kimyaaaaa. Si sawa. Jitafakari sana. Mchango wako ni mkubwa kisiasa kwa taifa hili. Usiharibu historia...
  14. Carlos The Jackal

    Mwambieni Msajili aifute haraka CHADEMA au Mahakama iwafunge viongozi wake. Wampe chama Mbowe, Wakae wafurahie amani yao wanayoiimba

    Si mnajitoa ufahamu? Mnaangushia Jumba bovu CHADEMA. kifuteni haraka, wafungeni CHADEMA ,Mpenzi Mbowe chama Kwa lazima. Alafu sasa Mtulie mfurahie hiyo Amani ya Matumbo na familia zenu. Mnazidisha sana Hasira za Wananchi , DEC 9 mtaelewa tu mbona Ugaidi ni nini na Uhaini ni nini ...
  15. Dalton elijah

    Yeriko Nyerere, Peter Madeleka, Salim Mwalimu Na James Mbowe, Je Uchaguzi umeisha?

    Nauliza Mbona Hawasemi Kitu Hawa Wagombea Kwenye Uchaguzi Mkuu Wa 2025...kipi Kimewapata..?
  16. R

    Baada ya Wenje, naona wameisha, Bado Mbowe sasa. Au mnasemaje kuna " vigogo" bado Chadema watahama?

    Bado Mbowewe. Namshauri Mbowewe asifanye hivyo. Bado akitubu na kumrudia Mungu anaweza akawa na mawazo chanya. Najua haitajiki na walio wengi, but time heals! Akienda CCM ni uchuro! Ya Chauma yameisha....DEAD ALREADY
  17. F

    Nataka nijue kama muda alokaa Lissu jela umeshafikia ule aliokaa Mbowe halafu nitasema kitu

    Wenye kumbukumbu sahihi tafadhali niambieni kama muda alokaa Tundu Lissu jela kwa sasa kama umeshafikia muda aliokaa jela Freeman Mbowe. Nikijua basi nitaweza kusema kitu flani hapa.
  18. Mi mi

    Mbowe ni mlamba asali Lissu ni mwanaharakati unaweza umia kipuuzi na usifanikiwe kwa lolote

    Kama Mbowe ni mlamba asali na Lissu ni mwanaharakati wa haki kama anavyoitwa na wafuasi wake waliokuwa wafuasi wa Mbowe hapo awali kwa hali ya Tanzania na watanzania mbowe katumia akili lissu akiendelea na harakati hisia zitakuwa zimezidi akili. Kwa Watanzania ni bora siasa za ulamba asali za...
  19. M

    Siwezi kumlaumu Mbowe kulamba asali, kupigania watanzania ni kazi ngumu sana

    Siku zote raia ndio hufanya maamuzi ya mwisho, hata mitandaoni ukosoaji uwe mkubwa kiasi gani, kama raia hawataingia kwa ground huwa hakuna kinachotokea. Siwezi kumlaumuMbowe kulamba asali, kupigania watanzania ni kazi ngumu sana. Wanaharakati wana 20% tu, lakini raia wana 80% ya mageuzi...
  20. Griss

    Zitto na Mbowe nao ni Wanamtandao?

    Kuna Habari za ndani zinasema mfadhili mkuu wa ACT wazalendo na mtu aliyemshawishi Zitto kuondoka chadema ili chadema ife baada ya vikao kadhaa ni Rostam Azziz. Je inawezekana ndio sababu ya Mbowe kuwasaliti Lissu,Mnyika na Slaa na kuamleta Lowassa chadema mwaka 2015? Je Mbowe na Zitto ni...
Back
Top Bottom