Ni muda mwingine tena salaam,
Kwa kweli sina hamu ya kuangalia local channels maana hawana mpangilio wa vipindi ili kumvutia mtazamaji zaidi huwa naangalia taarifa ya habari saa mbili, bbc swahili saa tatu na vipindi vya comedy hapo (bongo movies) unikamata.
Sasa kuanzia huu mwaka umeanza...