Ni nani aliita polisi? ? Nimesikitika sana!
Kwa hali zilivyo karne hii ya 21, Nikipata habari kuwa kijana wangu wa miaka 13 ametia mimba mwanamke wa miaka 33:
Nitamuita nimuulize hizi habari ni kweli au si kweli? Swali ni rahisi sihitaji maelezo.
Akisema ni kweli, namuambia haya nenda...